Gentleman. . .

Duuuh tangu niwe JF hakna uzi nimeufatilia from page 1 mpk the last km huu...
 
Ngoja na mm nijifunze muenendo wa NN yawezekana nami nikaja kudondokewa humu...
 
naomba ni-assume udada wa NN
Lizzy, welcome to our family.

Culture inahusu hapa, mwanamme ku-declear in public ni taboo.

Yani wewe ndio umkubalie?
Sindo mwanzo wa madongo ya "hata sikukutaka" huo?
 
hio yangu so ishu
jibu lake ni zito sana
anaona noumer sijui nikisema hapa

ntakuPM maana yake.
Ila nilitaka aseme hayo maneno japo kwa kiswahili
maana kwa kiingereza na wifi ningeona wivu lol
. . . . . . . . ?
Usiponitafsiria kila kitu sasa hivi nakunyang'anya shea kwenye "Sikujui. . . "..
 
si kasema mwenyewe
nimegundua unapokuwa kwenye mshtuko lugha ya kwanza ndo unaweza iongea

mbina kaweza sema yaliyomo moyoni kwa lugha yake?
Kizungu na kiswahili kimegoma

Yani wewe ndio umkubalie?
Sindo mwanzo wa madongo ya "hata sikukutaka" huo?
 
hio yangu so ishu
jibu lake ni zito sana
anaona noumer sijui nikisema hapa

ntakuPM maana yake.
Ila nilitaka aseme hayo maneno japo kwa kiswahili
maana kwa kiingereza na wifi ningeona wivu lol

Poa basi nawaacheni.
 
si kasema mwenyewe
nimegundua unapokuwa kwenye mshtuko lugha ya kwanza ndo unaweza iongea

mbina kaweza sema yaliyomo moyoni kwa lugha yake?
Kizungu na kiswahili kimegoma

Haya bana. . . .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…