Gentleman. . .

Gentleman. . .

Niliogopa kufungua nisije kutana na madongo. Embu niongezee mistari nifanye tathmini, . . . . !

anaimba ' nipe rahaaaa mpenzi wangu nipe rahaaaaaaaaaa,nipe rahaaa na mimi nikupe zangu'lol.....hayo ndio mashairi,lol...mdedikeshie na wewe,haiwezekani ukataja afu ikawa ndio mwisho wa thread.....sie wapambe nuksi tungependa kuona mapenzi yenu yanagrow mpaka tunapata ki mini-jf greti thinka lol(sijui na mie nimeanza upambe?? hahhaahahah)
 
Haya ngoja niende zangu kule nnakoLIKEwa japo kizushi. Kongosho baki na nduguyo, mwambie bahati aliyochezea hatokaa aipate tena.
 
anaimba ' nipe rahaaaa mpenzi wangu nipe rahaaaaaaaaaa,nipe rahaaa na mimi nikupe zangu'lol.....hayo ndio mashairi,lol...mdedikeshie na wewe,haiwezekani ukataja afu ikawa ndio mwisho wa thread.....sie wapambe nuksi tungependa kuona mapenzi yenu yanagrow mpaka tunapata ki mini-jf greti thinka lol(sijui na mie nimeanza upambe?? hahhaahahah)

Hahahaha. . .
Huo wimbo ninao, ngoja ntausikiliza vizuri baadae ila hamna cha mapenzi kugrow wala kukua.
 
Haya ngoja niende zangu kule nnakoLIKEwa japo kizushi. Kongosho baki na nduguyo, mwambie bahati aliyochezea hatokaa aipate tena.
Tuishie zetu mwaya...kachezea shilingi chooni, ishatumbukia...atajibebelea.
 
dont do this to me
nshaasi, nshaambiwa na kihere

na kwa kispaniola kihere ni laana
maana ni mboga iliwayo wakati wa njaa tu

sasa nimeambiwa nina vihere viwili
eti kihere here
dah, ntakufa leyo!

Haya ngoja niende zangu kule nnakoLIKEwa japo kizushi. Kongosho baki na nduguyo, mwambie bahati aliyochezea hatokaa aipate tena.
 
dont do this to me
nshaasi, nshaambiwa na kihere

na kwa kispaniola kihere ni laana
maana ni mboga iliwayo wakati wa njaa tu

sasa nimeambiwa nina vihere viwili
eti kihere here
dah, ntakufa leyo!

Jamani sasa unataka nipende nisipopebdwa badala ya kupenda nnapopendwa?

Kweli we hata hunipendi. . .
We na huyo kaka yako lenu moja.
 
hiyo id ya kule i-study
afu uangalie dots vizuri
kuna kitu japo sijakipata vizuri hapo

Haya ngoja niende zangu kule nnakoLIKEwa japo kizushi. Kongosho baki na nduguyo, mwambie bahati aliyochezea hatokaa aipate tena.
 
hiyo id ya kule i-study
afu uangalie dots vizuri
kuna kitu japo sijakipata vizuri hapo

Hhhhm, usijaribu kunambia kakako anahusika. Hata kama yule nae anafanania na wa kwenu.
 
Back
Top Bottom