Gentleman. . .

Gentleman. . .

SL ntarelax vipi wakati ndani ya siku moja nimefunguka nikamwaga sifa kibao, nikafunguka tena zaidi, nikatolewa nishai, nikasema kilugha na bado Kongosho akataka kuniingiza town na tafsiri matata?

Ngoja nichukue mapumziko ya muda, ntarudi aibu na uchungu vikiisha.

@NN japo umenidissapoint kwa kunisema/nijibu kwa kilugha chenu nakuachia ugentleman wako. Japo sitakufagilia zaidi , sitoua.

@Kongosho sikupendi tena, umenivuta weeeee mpaka nikaangukia uso alafu hata hukuninyanyua ukanikanyaga na kunikanyaga.

@Mr. Rocky, nafurahi nimegundua mapema kwamba wewe sio rafiki yangu.

@Boss hayo mashtaka potezea tu bana, adhabu yangu nimeshaipata.

@Mbu nimerudi rasmi nilipokuwepo, sasa hivi hamna cha vigezo wala viwango kufikiwa, narudi kuwa mwanajeshi.

@Michelle. . . dearest uniletee ice cream ya kujiliwaza.

@Kurwa usiache kuja kunibembeleza.

@Wengine wote fanyeni kama hamjaona kwanzia nilipomtaja huyo gentleman.

So long. . . . .

dah........
 
You are being too hard on him.

Mie nshasaliti, sasa sijui ntaenda wapi.
Ntalala hata jikoni kwako sitaiba mboga kwenye kabati la mbeho

See. . . . eti unamtetea.
How can I be too hard on him wakati mie ndo nimeshusha mistari mpaka watu wakashangaa alafu mwenyewe akashindwa kutoa hata kaasante ka uongo na kweli.

Alafu pa kulala ntakuombea kwa Boss. . . .
 
Hahahahaha. . . eti damu ya wifi nzito zaidi.

Nwy bado naona dalili za usanii.
Usanii tena wa hali ya juu Lizzy. Ameshindwa nini kusema kwa kiswahili? Kongosho leo utatukoma na huyo kakako wa leo leo!
 
Usanii tena wa hali ya juu Lizzy. Ameshindwa nini kusema kwa kiswahili? Kongosho leo utatukoma na huyo kakako wa leo leo!

halafu wewe nna kesi na wewe
bora uje ujisalimishe huku....pm haraka...
 
hahahah aaaaaaa..wanawake tukiwezeshwa tunaweza.......kongosho na sweetlady mmepamba wee mpaka mwenzenu kamtaja,kweli mnahitaji tuzo kwa kazi yenu.....

lizzy,do you feel embarassed now umemtaja??i have feelings you do.....hauko kny buble yako anymore....na you are not sure na NN kama kakureject au kakukubali lol,pole.......

thread ya kuanzia mwaka hii lol

na mie namzimia fidodingo...(kongosho na sweetlady tulieni msije mkafanya nikafa kwa presha lol
 
hahahah aaaaaaa..wanawake tukiwezeshwa tunaweza.......kongosho na sweetlady mmepamba wee mpaka mwenzenu kamtaja,kweli mnahitaji tuzo kwa kazi yenu.....

lizzy,do you feel embarassed now umemtaja??i have feelings you do.....hauko kny buble yako anymore....na you are not sure na NN kama kakureject au kakukubali lol,pole.......

thread ya kuanzia mwaka hii lol

na mie namzimia fidodingo...(kongosho na sweetlady tulieni msije mkafanya nikafa kwa presha lol


Most people are only alive because it is illegal to shoot them...
 
duh, unakoniombea pa kulala hana pa kulala
kabebwa hostel ya mabibo

kwa yule, itabidi nikufundishe some ABCs za anakotokea, labda utaelewa kidogo

lakini hata wewe umesema 'uncompromising'

Alafu pa kulala ntakuombea kwa Boss. . . .
 
See. . . . eti unamtetea.
How can I be too hard on him wakati mie ndo nimeshusha mistari mpaka watu wakashangaa alafu mwenyewe akashindwa kutoa hata kaasante ka uongo na kweli.

Alafu pa kulala ntakuombea kwa Boss. . . .

lakini Lizzy si kakupa dedikesheni ya wimbo najiamini,umeusikiliza????mzuri kwa wapendanao....kupendwa ndio huku lol,sijakuona na wewe ukirudisha 'affection' hii aliyoionyesha...lol
 
Kumbe unajua
afu wajitapa
una hila wewe?!!

Sijui, nilisikia tu mahali. Alafu hata kama ni kweli sidhani kama wote ndivyo walivyo. Kubali tu umeniingiza kwenye chaka la miiba.
 
hahahah aaaaaaa..wanawake tukiwezeshwa tunaweza.......kongosho na sweetlady mmepamba wee mpaka mwenzenu kamtaja,kweli mnahitaji tuzo kwa kazi yenu.....

lizzy,do you feel embarassed now umemtaja??i have feelings you do.....hauko kny buble yako anymore....na you are not sure na NN kama kakureject au kakukubali lol,pole.......

thread ya kuanzia mwaka hii lol

na mie namzimia fidodingo...(kongosho na sweetlady tulieni msije mkafanya nikafa kwa presha lol

Nakwambia. . . kujiamini sasa ni 2/10, ujanja 1/10, embarassment 10/10. . .kweli huu mwaka si wangu.
 
lakini Lizzy si kakupa dedikesheni ya wimbo najiamini,umeusikiliza????mzuri kwa wapendanao....kupendwa ndio huku lol,sijakuona na wewe ukirudisha 'affection' hii aliyoionyesha...lol

Niliogopa kufungua nisije kutana na madongo. Embu niongezee mistari nifanye tathmini, . . . . !
 
Back
Top Bottom