Gentleman. . .

Gentleman. . .

Right here in JF. . . .

There is a certain gentleman,
who posseses the qualities of a real man
One with uncompromising principles,
And great ambitions.
His irresistible charm. . . takes me by storm.
Lizzy

Natamani kuwe na wakaka wanaofanana na huyu in the real world, wanaojielewa na kuelewa wengine. Wenye mawazo ambayo sio ya kibinafsi kama ya wengine tuliowazoea, wenye mioyo ya dhahabu kama wake, wenye msimamo kama yeye, heshima na akili kama zake. A real husband material. . . a man worth loving.

Haaahaa! Mtu kashafika bei, lol! That is how it works in the real world, unbelievable!!!!
 
@ Lizzy usiondoke vile mimi nipo upande wako bana..... Gentleman anajipanga sawa sawa akija hapa hutaamini macho yako....

Where is Nyani Ngabu jamani?

We na Kongosho wamoja, mnachofurahia ni drama tu.
 
@Lizzy
wasiwasi wako
nachojua NN kajibu tena kwa lugha ya heshima
alichoshindwa kujua ni kwamba anavyothamini ku-declear his Love kwa lugha yake inaweza kuwa si muhimu hivyo kwako.

Kama dada wa leo, nakuhakikishia kasema ' he loves you, so much' na neno really lilikuwepo ila sijui hapo nilichomeke wapi.
Kizungu lugha ngeni.

Unajua nakufagilia hata kama sisemi.
Ukinichukia unanionea, ukinipenda unajipendekeza kwa ajili ya fulani.

Mie nshatost for this kapo
my wish is 'Health, Love and money'

Kongosho kwasababu tu nilifeli chekechea haina maana ni mjinga bana.
 
ukimuona utamhurumia
katupa kila kitu chini
anatafuta nguo ya kuja kukonfesi yaliyo moyoni mwake kwa kiswahili

nimemwambia mwishowe atatoka na taulo
eti kabati lote leo halifai!!!?
He he he! Avae vyovyote ila ahakikishe hatoki kisharobaro manake Lizzy na masharobaro mbali mbali...kazi ipo leo.
 
Unataka uelekee wapi?

Hapa

Hopeful one day you will get a chance to meet her in a real Life..
Trust me she is so different, loving, trustworthy, incredibly nice ,
when comes to looks, i can't even try to describe her beauty. ( stunning, breathtaking)
Marvelous personality, .................. will be back soon.

Source - Afrodenzi
 
really Lizzy?
Nifurahie drama toka kwako?
Wakati moyo unahusika!

Big NO, nasema hayo sababu naamini hayo
kama kanidanganya, basi ni wote tumerushwa
We na Kongosho wamoja, mnachofurahia ni drama tu.
 
nyie mwatoka migombani

sie twatoka machimboni
unadhani sitaki 'my wii' mkali
nikipeleka umbea kwake ananikimbiza?ambaye anaamini katika uaminifu?

Machungu ya Lizzy ni yangu pia
msinitenge
Lizzy!!! Umesahau twatoka mgombani pamoja? Machungu yako yangu pia...
 
really Lizzy?
Nifurahie drama toka kwako?
Wakati moyo unahusika!

Big NO, nasema hayo sababu naamini hayo
kama kanidanganya, basi ni wote tumerushwa
Ungekua hupendi mbona ungeshanitafsiria kila kitu neno kwa neno. . . .

Ngoja na wewe siku nikugeuke.
 
kwa kiswahili kasema ivi,
NN, naomba nikusaliti hapa
nimegundua damu ya wifi nzito kuliko ya kaka wa leo tu


'Nampenda sana huyu binti'

Lizzy, nikipigwa ban ya maisha umenitakia wewe, roho yangu ya id na iwe juu yako.
Ungekua hupendi mbona ungeshanitafsiria kila kitu neno kwa neno. . . .

Ngoja na wewe siku nikugeuke.
 
kwa kiswahili kasema ivi,
NN, naomba nikusaliti hapa
nimegundua damu ya wifi nzito kuliko ya kaka wa leo tu


'Nampenda sana huyu binti'

Lizzy, nikipigwa ban ya maisha umenitakia wewe, roho yangu ya id na iwe juu yako.

Hahahahaha. . . eti damu ya wifi nzito zaidi.

Nwy bado naona dalili za usanii.
 
You are being too hard on him.

Mie nshasaliti, sasa sijui ntaenda wapi.
Ntalala hata jikoni kwako sitaiba mboga kwenye kabati la mbeho

Hahahahaha. . . eti damu ya wifi nzito zaidi.

Nwy bado naona dalili za usanii.
 
Back
Top Bottom