George Floyd (RIP) ni nani, alikuwa anajishughulisha na nini?

George Floyd (RIP) ni nani, alikuwa anajishughulisha na nini?

Mungu yupi anayefurahia kifo cha mwenye dhambi? Labda god sio God. Ifike mahali tupokee dini zitusaidie sio zitupoteze kabsa
Kwani humjui Mungu gani aliye ichoma miji ya sodoma na gomora? wee unafikiri amebadilisha msimamo wake dhini ya mashoga na wafiraji? ebu acheni kabisa ku support vitendo vichafu vichafu kama ushoga na uchawi, yaani hawa hawastahili kuishi kwa namna yoyote...
 
Ushamba mzigo sana

Kesho uta google na kuambiwa mama yako alilala na George Floyd ukatokea wewe mjinga


Taarifa na historia kamili hivi hapa, na kumbuka kwa USA wako so transparent hizo habari za Porn star ungezisikia hata CNN.maana kule porn stars ni matajiri mjinga wewe, jamaa kama akiwa truck driver...


Soma historia yake hapa, nyie gullible ndio mmekuwa target ya waongo na wazushi duniani.

Amka bana

George Floyd - Wikipedia

sikia wee fala wa sengerama!

hata umpambe pambe kwa namna gani, ukweli utabikia ukweli tuu huyu 'basha' ako alikuwa mhalifu aliye jificha kwenye mwamvuli wa u-'truck driver & security guards', na upo uwezekano adi ana - uwawa alikuwa bado hajaacha uhalifu, kwani hao polisi walikuwa wamem-'arrest' kwa tuhuma gani? na pia aliwahi kufungwa takriban miaka5 kwa kosa gani? mbona hayo yote hayamo kwenye hicho ki -Wikipedia chako? hiyo 'fentanyl' iliyo kutwa kwenye mwili wake unajua shughuli yake,?waulize mateja utapata jibu ……...msiwe mnadandia dandia msivyo vielewa mtakuja tumbukia bahari, wengine hatujui kupindisha pisha ukweli wee kama mhalifu tutakwambia bila kificho…..
 
We mburura wa ngudu uchezaji wa porn wa huyu jamaa unaupata wapi mpaka anakufa alikuwa truck driver ...angekuwa mcheza porn hata kukamatwa angeitwa tu kituoni wale jamaa wana hela ndefu

Acha ujinga wewe
Acha povu Hilo..aliwahi kucheza porn, au tukuletee video yake kabisa?
Pia aliwahi kuiba na kufungwa, na alikua mtumiaji wa ngada
 
Sio kweli hii

Acha wamuweke mama yako na Membe siku moja ndio utaamini

Nenda wikipedia acha ushamba
Wikipedia nani kakudanganya ndio source ya kuaminika ya Kila kitu, we jamaa mshamba kweli, hiyo Wikipedia si mtu yoyote anafungua account na kuandika Historia vile anavyotaka? Au hujui Wikipedia inafanyajr kazi?
 
Kwani ushawahi sikia amepelekwa Mahakamani kwa kesi ya kufla????? Mbona unakula fwalaa hivyooo... Kucheza porno ilikuwa sehemu ya maisha tu mambo yanakuwa magumu mpaka unaona huna namna lakini kizuri zaidi ailitubu nakuacha lakini wewe hadi leo ukute ndo mzinzi sababu camera hazikuoni
Ulijuaje Kama alitubu? Maana Toba Ni Siri ya mtu na Muumba wake
 
baada ya ku-google na kutambua kuwa jamaa alikuwa mfiraji yaani siku yangu imeharibika kabisaa, huruma yangu kwake imepotea kabisa na kwa kweli alistahili kuuwa tena kwa kuchomwa moto kama Mwenyezi Mungu alivyo fanya kwa watu wa sodoma naoa gomora!
Washa moto utembee tembee sehem zote za Tz ukiwalamba wafiraji na wafirwaji halafu kaa pembeni ukisikilizia na kushuhudia mass ya watz ikiteketea kwa moto.
 
Huyu jamaa nahisi alikuwa ni gigolo
...

Hata mke wake kwenye ile press yale makucha anaonekana kama vulture...

Damnn... Damnn...

Masons wameichukua damu yao.
Yaani watu wa namna yako huwa hawakosekani kwenye jamii,yaani Kila kitu wanakihusisha na Freemason....Sasa hapo nkuulize Freemason imeingiaje
 
Kwani humjui Mungu gani aliye ichoma miji ya sodoma na gomora? wee unafikiri amebadilisha msimamo wake? ebu achene kabisa ku support vitendo vichafu vichafu kama ushoga na uchawi, yaani hawa hawastahili kuishi kwa namna yoyote...
Aliyeangamiza sodoma na gomora aliwapa nafasi ya kutubia dhambi zao na wakashindwa, na marehemu alikuwa ameshaacha kazi alokuwa anaifanya ya video za porn iweje kifo chake ufurahie ww? Umemuumba wewe? Aliyemuumba anampenda huenda alishatubu kwann ww uendelee kushikilia past event? By the way wema na waovu wote wanakufa usichokijua ni kuwa pamoja na wema alofanya Yesu ndo mtu pekee alokufa kifo cha aibu ba ukatili zaidi duniani kati ya wema n waovu.

Hakuna asiye na dhambi wote wamepotea na kupungukiwa na ufalme wa Mungu. Anayepaswa kutoa hukumu ni mmoja tu, yule asiye na kosa wala mhukumu ambaye ni Mungu peke yake. Kumbuka kipimo umpimiacho nduguyo na wewe utapimiwa hicho hicho na kuzidi. Usihukumu ili usije ukahukumiwa na wewe, kwakufurahia kifo cha floyd ni kuunga juhudi za askari waliotoa hukumu kinyume na sheria za nchi na sheria ya Mungu.

Dini ifike mahali itusaidie sio kutupandikizia chuki dhidi ya viumbe wa muumba wetu.
 
sikia wee fala wa sengerama!

hata umpambe pambe kwa namna gani, ukweli utabikia ukweli tuu huyu 'basha' ako alikuwa mhalifu aliye jificha kwenye mwamvuli wa u-'truck driver & security guards', na upo uwezekano adi ana - uwawa alikuwa bado hajaacha uhalifu, kwani hao polisi walikuwa wamem-'arrest' kwa tuhuma gani? na pia aliwahi kufungwa takriban miaka5 kwa kosa gani? mbona hayo yote hayamo kwenye hicho ki -Wikipedia chako? hiyo 'fentanyl' iliyo kutwa kwenye mwili wake unajua shughuli yake,?waulize mateja utapata jibu ……...msiwe mnadandia dandia msivyo vielewa mtakuja tumbukia bahari, wengine hatujui kupindisha pisha ukweli wee kama mhalifu tutakwambia bila kificho…..
Kwani kwenda huko mbinguni ni lazima? Binadamu wote tunaenda motoni mpaka huyo mungu akupendelee kwenda huko mbinguni.
 
mbona mnamtetea sana huyu mfiraji, alicho kipata kilikuwa stahili kabisa, nyie mlitaka aishi miaka100 alafu atuharibie mabinti??, kuna baadhi ya mijitu inabidi yule mtoa roho awatembelee fasta hata kabla hawajafikisha miaka 50, mijitu kama hii ukiichomoa roho zao hata Mwenyezi Mungu anakubariki
Mpwa unayumba kichizi!!
 
Sawa sawa mpishi wa Mungu, duniani mpo watu mnajiona kabisa kwamba sometimes mnakaa meza moja na Mungu mna-discuss mawili matatu kuhusu dhambi za dunia hii,hivi wewe dhambi huna?

Wazinzi wangapi tunawazika!!! hata wewe hapo unaweza kuta ni mzinzi mmoja umeamua tu ujifariji kumuhukumu mwenzako but tofauti yake na wewe yeye alizini akaingiza pesa wewe unazini unalipa hela.

Pathetic....acha ujinga!
1 kor 6:9-11.ni maneno ya MUNGU wafilaji hawaendi mbinguni.
Screenshot_20200607-151341.jpg
 
1 kor 6:9-11.ni maneno ya MUNGU wafilaji hawaendi mbinguni.View attachment 1471092


Pamoja na kuleta maandiko bado yanakupinga wewe mtenda dhambi kama wengine kuhukumu mtu,huyu marehemu kweli alilawiti so wewe unadhani Mungu atakusamehe uzinzi wako kwa kuwa hukulawiti?

Soma mstari wa 11 bado panakazia kwamba kwa Mungu bado kuna msamaha ila tatizo sisi binadamu tunataka yale tunayotaka yatekelezwe bila kujali uwezo tunao au hatuna.

View attachment 1471170
 
Kuachana na alikuwa nani na alikuwa anajishughilisha na nini

Hivi alifanya kosa gani hata akajikuta mikononi mwa polisi? Kosa lake sijasikia likitajwa

Na wale polisi, walipata wapi confidence ya kumuua vile hadharani tena barabarani wakati wanafahamu kabisa kuna cctv camera, kuna wapita njia na vitu kama hivyo?
 
Huyu jamaa hakuwa saint bana, tuache unafiki, ukiachilia mbali kucheza porn, alikuwa pia mtumiaji wa madawa kwani alikutwa nayo kwenye damu, pia alikuwa amekamatwa kwa kutoa hela ya bandia, na alikuwa ameshafungwa jela kabla

Lakini licha ya yote hayo, sio kwamba alistahili kufanyiwa vile, alichofanyiwa Ni unyama, lakini pia tuwe real
Wewe mshamba uwe unasoma na kufuatilia updates za kimataifa utaja ukweli wa mambo. Usiwe unaandika kwa kusikia hearsays au taarifa uchwara za wabongo. Jiridhishe mwenyewe. Pesa haikua feki kwa mujibu wa source za huko mamtoni. Mengine ya kucheza porn ni kweli, japo hatupaswi kuchonga sana. Hamjui sufferings za watu weusi Marekani na jinsi ilivyo ngumu kufanya maisha.
 
Wewe mshamba uwe unasoma na kufuatilia updates za kimataifa utaja ukweli wa mambo. Usiwe unaandika kwa kusikia hearsays au taarifa uchwara za wabongo. Jiridhishe mwenyewe. Pesa haikua feki kwa mujibu wa source za huko mamtoni. Mengine ya kucheza porn ni kweli, japo hatupaswi kuchonga sana. Hamjui sufferings za watu weusi Marekani na jinsi ilivyo ngumu kufanya maisha.
Pesa haikuwa fake kwa mujibu wa source zipi?
Sasa wakiwa na suffering ndio tusitaje uovu wao?
 
Kuachana na alikuwa nani na alikuwa anajishughilisha na nini

Hivi alifanya kosa gani hata akajikuta mikononi mwa polisi? Kosa lake sijasikia likitajwa

Na wale polisi, walipata wapi confidence ya kumuua vile hadharani tena barabarani wakati wanafahamu kabisa kuna cctv camera, kuna wapita njia na vitu kama hivyo?
Iko hivi boss......

Jamaa inasemakana alikamatwa na note ya bandia (counterfeit ya USD 20) Ila haikuthibitishwa kama ni kweli au laa

Haya ni baadhi ya mambo niliyo bahatika kukutano nayo katika mitandao

1. Jamaa alikuwa ni masonic mwenye 33 degree (Chunguza tatoo yake ya kifua)

2. Baba ake alikuwa masonic pia (Check Instagram page yake kwanzia mwaka 2015 kama sijakosea)

3. Mwana ni mcheza cinema za watu wazima (nenda xxxvideos search jina lake utapata video yake)

4. Inasemekana the whole scenerio ilikuwa planned kuna mawili, eidhaa mwana kafa kweli au yuu hai (Do your reasearch katika hili)

5. Kwanini hayo yote.....

a. Kutengeneza civil unrest
b. Easy theory of divide and rule them
c. New world order

This is what I have been researching and I happen to find through the internet

Kabla ujacomment kwa vyovyote vile, please have some research kisha ndo ucomment

Reference
Check YouTube video ya jamaa anaitwa pharaoh aten kama sijakosea jina la mwisho amezungumza kwa marefu na mapana kuhusu hili (Jamaa ni black american mwenye rasta for easy finding)

Video ina almost 1.5 million for two damn days
 
Back
Top Bottom