Maguge Maguge
JF-Expert Member
- Sep 1, 2016
- 2,734
- 1,778
Haya matukio yake yanaweza kuwa yalimkera sana aliyemuua, haya mambo haya[emoji57][emoji57]Duh !
porn ni some sort of american footballporn ni zile filamu za ngono?
Mshana Jr kaelezea vizuri kistaha haswa, wengine tungepitia mbali na link zikiendana na pichaMshana Jr, wewe ni mtu unaye heshimika sana hapa JF; mambo mengine potezea ili kulinda hadhi yako!
Baunsa hovyo kabisa, Imekuwaje amekufa kifo cha mende vile?Aliwahi kuwa mcheza filamu za ngono lakini aliacha na mpaka mauti yanamkuta alikuwa ni baunsa katika club/ ukumbi wa starehe!
Alikuwa amesimamishwa kazi kutokana na kufungwa shughuli zote kunakotokana na madhara ya corona!
Boss wake wa mwisho kabisa alihojiwa na kusema jamaa alikuwa mtu wa dini na mtu poa sana, hana tatizo na mtu!
Baunsa hovyo kabisa, Imekuwaje amekufa kifo cha mende vile?