Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Upo sahihi,Kama anawadai, basi Yuko sahihi. Ila anachokosea ni njia aliyotumia kudai hiyo haki yake,maana anajiumiza yeye. Kama ingekuwa ndio effective way ya kudai chake, basi angekuwa ashapewa.
Benchi linaua sana viwango vya wachezaji. Anaumia yeye.
Ngoja tuone watamalizana vipi bila kuumizana