Na alisoma digiriii la shario pale open kwa kutumia cheti cha vetaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].hayo yaliwekana kwasababu tuu alikua mbunge wa kijani kipichiWengi katika madaraka hawakugusa JKT , yuko mwingine kule Zanzibar , hata hivyo namtetea Simbachawene , huyu alikuwa konda wa mabasi ya mikoani pale stendi , isingekuwa rahisi kwake kupita JKT
mbona wameachiwa na wanawachakata vyakutosha, hata viongozi wenu wa nchi hii ni vilaza tu, na wanawaendesha na kuwakaza vilivyo.Mkuu unaandika kwa vile una haki hiyo, lakini wewe kama hao failures unaowasema, ambao mko sawa kifikra mnashindwa kuelewa kuwa ulinzi wa nchi hii huwezi kuwaachia
low performers.
Hayo masuala ya JKT yanahusiana nini na nilichoandika?Aliemteua kapita JKT?
| Open University of Tanzania | LL.B | 2000 | 2005 | Bachelor Degree |
| Mazengo Secondary School | CSEE | 1985 | 1988 | Secondary School |
Umeongea yote!!Mkuu umeeleza haswa wasiwasi wangu. juu ya huyu waziri wetu.
Ni wazi qualifications zake juu ya uwaziri hazijafika kiwango.
Na mbaya zaidi anaongoza wizara inayohitaji mtu ambaye toka ujanani anatakiwa awe ametayarishwa na Taifa.
Mbona vijana kama hao wako wengi tu.
Jamaa hajapitia hata JKT, na anawekwa mahali nyeti, hiyo ni dhambi!
Sisi tukia JKT tulitayarishwa kwa majukumu yoyote kitaifa, uwe una Div 1 au uwe mkulima toka kijijini wa kuingia kwa kujitole.
Waswahili husema , mtu anapofungua mdomo, anafungua na mengi yanayomhusu, hatukujua kuwa Simbachawene hapo alipo yuk chini ya viwangoo vile vilivyotarajiwa.
Ndio maana statements kama za waziri Simbachawene zinazoonyesha udhaifu kimaono kwa upande wa serikali, haziwezi kuachiwa hivi hivi tu.mbona wameachiwa na wanawachakata vyakutosha, hata viongozi wenu wa nchi hii ni vilaza tu, na wanawaendesha na kuwakaza vilivyo.
ukianza kufatilia cv zao na elimu zao ni za kuunga unga tu.
afu ilikuwa kwa mujibu wa sheria, ingekuwa sheria bado ipo anaweza kushitakiwa leo.Wengi katika madaraka hawakugusa JKT , yuko mwingine kule Zanzibar , hata hivyo namtetea Simbachawene , huyu alikuwa konda wa mabasi ya mikoani pale stendi , isingekuwa rahisi kwake kupita JKT
Hili ndio ninaloliwazia sana.Baada ya FTC Arusha alitakiwa aende JKT akapiga chenga.. tenda atakuwa alipangiwa Bulombora Kigoma.