George Simbachawene, hakupitia JKT?

George Simbachawene, hakupitia JKT?

Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Ni kweli div 1 wataapply vyuo mara baada ya depo na kuja kuwa maofisa ( maofisa hawaendi lindo kwenye mabenki). Point ya waziri iko hapa.

Nadiriki kusema heading ya huu uzi IMEPOTOSHA.View attachment 1971554
Upo sahihi sana na ndio ukweli huo kwamba Div 1 ni ngumu kuendelea kukaa naye ktk kada hiyo(lindo).

Ila kwa ninachokiona Mh Simbachawene asingetakiwa kuliongelea hili. Nadhani kuna taarifa sio lazima kuzitoa. Hiyo ni mipango ya ndani kwa taasisi au chombo husika.

Licha ya kuleta maswali ktk jamii kama hivi lakini lina kasoro mbili:

1. Ni kutoa furusa na Faida kwa wahalifu wa ndani na nje kujua uwezo wa walinzi wetu ktk sehemu nyeti ikiwa ni pamoja na Bank. Ni RAHISI kupanga namna ya kumu approach hata kwa kutumia kiingereza tatanishi nk.

2. Kwa Askari wenye viwango vya chini vya elimu watajisikia Vibaya (Inferiority) wao, ndugu na hata jamii kwani hata mtu akimuona Askari lindo atamuona ndio wale wa Div......
 
Naona unagaika kufanya Damage Control...

Kwahiyo mnatueleza Jeshi la Polisi linaajiri Rejected Materials, wasio na sifa ya kujiendeleza hata kwa kiwango cha certificate ili waendelee kuwa-exploit?

Yaani mnawaambia mabenki yanayotunza mamilioni ya pesa za watu kwamba tunawaletea watu wasio na future yoyote lakini tutawapa silaha ili wakae kwenye mageti yenu?

Yaani mnawaambia wateja wa mabenki kwamba hao mnaowaona kwenye mageti wakati mnaenda kuweka au kutoa mipesa yenu ni watu ambao walikuwa ndo Vilaza Max na wengine ni Vilaza Pro!!

Yaani mnatuambia hata wale waliovuka mpaka na kuingia Malawi wakiwa na silaha, jambo ambalo kisheria ni halali kabisa kutafsirika kwamba ni uvamizi, kumbe hayo nayo ni matokeo ya kuajiri Academically Futureless Citizens, ambao hawawezi kuwa na future yoyote zaidi ya kubeba silaha na kufanya doria!!

Is that what you're trying to justify?

Kwani angesema tu kwamba kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kulitumikia Jeshi la Polisiili hatimae kuweza kulinda usalama wa raia na mali zao , ina maana asingeeleweka?

Kwani angesema tu kwamba, kwa nyakati tofauti Jeshi la Polisi huajiri watu wenye sifa tofauti tofauti kulingana na mahitaji ya wakati husika, ina maana asingeeleweka?!

Btw, hiyo screenshot mmemnukuu Simbachawene au mmeandika wenyewe ili kufanya damage control?!

Na kama ni Simbachawene, ina maana mnaendelea kutudhihirishia kushindwa kwake kuchagua hata maneno ya kuongea ni dalili ya kwamba kichwani ni mtupu ndo maana amefikia hata kusema DIVISION 32, aina ya ufaulu ambao sijawahi hata kuisikia maishani mwangu!!
[emoji23][emoji23][emoji23]
1stborn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Nikiwa kada wa siku nyingi niliyepitia JKT kwa mwaka mzima, nimesitushwa na majibu ya Mh Simbachawene katika ajira za wasomi Polisi.
Nimelazimika kupitia CV yake iliyo ukurasa wa Bunge, hakuna mahali anaonekana kapitia JKT.


HII NI HATARI!

Majibu aliyotoa leo kipindi cha Dk 45 yanaonyesha kabisa mtu asiye na ufahamu wa basics za ajira za wasomi, hasa Polisi.
Ati msomi wa Div 1 hawezi kulinda benki!!!!
Hivi Simbachawene anajua anaongea nini?
Sisi tuliosoma zamani, tena tulifaulu vizuri, kulinda sehemu nyeti ilikuwa sehemu ya kazi.
Leo kuna majenerali waliofaulu vizuri tu na kulinda sehemu nyeti, ni sehemu ya majukumu ya ulinzi.

Nitashangaa kama Simbachawene ataendelea kuwepo sehemu asiyostahili.

Profile​


0.41642400 1485861053.png



Hon. George Boniface Simbachawene​



Member Type : Constituent Member

Constituent : Kibakwe

Political Party : CCM

Phone : +255755375623

P.O Box : P. O. Box 75112, Dar es Salaam

Email Address : g.simbachawene@bunge.go.tz

Date of Birth : 1968-07-05

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Arusha Technical CollegeFull Technician Certificate19891992FTC
University of DodomaMasters in Public Administration20102013Masters Degree
Open University of TanzaniaLL.B20002005Bachelor Degree
Mazengo Secondary SchoolCSEE19851988Secondary School
Pwaga Primary School-19781982Primary School
Mahomanyika Primary SchoolCPEE19831984Primary School

Employment History :​

Company/InstitutionPositionFromTo
Ministry of Energy and MineralsDeputy Minister20122013
Muzdalifah Charitable DispensaryManaging Director20002001
Urafiki Bus Service-DodomaTransport Officer19952000
Future World Vocational Training CentreTeacher/Instructor19971999
Ministry of LandDeputy Minister20132014
Ministry of Energy and MineralsMinister20142015

Political Experience :​


Political PartyPositionFromTo
President's Office Regional Administration and Local GovernmentMinister20152017
Chama cha MapinduziMember of District Political Committee2002Todate
Local Authorities Accounts Committee of the ParliamentMember of the Committee20052010
Administration and Local Governments CommitteeMember20152018
Subsidiary Legislation CommitteeChairman20102012
Constituent AssemblyMember20142014
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20052010
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20102015
Chama cha MapinduziMember of the National General Meeting2005Todate
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20152020
Chama cha MapinduziMember of the Regional Executive Council-Dodoma2005Todate
Chama cha MapinduziMember of the District Executive Council-Mpwapwa2000Todate
Ministry of Home AffairsMinister20202025
Vice President's Office responsible for Union Affairs and EnvironmentMinister20192020
Budget CommitteeChairman20172019
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20202025
Sijui huwa anapataje uwaziri huyu jamaa!
 
Wengi katika madaraka hawakugusa JKT , yuko mwingine kule Zanzibar , hata hivyo namtetea Simbachawene , huyu alikuwa konda wa mabasi ya mikoani pale stendi , isingekuwa rahisi kwake kupita JKT
Alikuwa konda stendi gani?

1. Fundi kutoka FTC Arusha1989-1992 (wakati anamaliza chuo cha ufundi JKT ilikuwa imesitishwa kutokana na sera ya vyama vingi)
2. LLB OUT (sijui ilikuwaje aende kusomea sheria wakati alitakiwa kufanya kazi ya ufundi au kwenda kuomba kusomea digrii ya taaluma ya uhandisi katika fani aliyochukua; lakini haioneshi kama alipitia 'school of law' na kupata leseni ya kuendesha shughuli zinazohusiana na taaluma hiyo kwa mjibu wa sheria)
3. Masters of Public Administration (hii kozi wanapenda kuchukua watu wanaoihitaji uongozi wa kisiasa au umma
4. Hakuwahi kwenda kidato cha sita hivyo kuwa na sifa ya kwenda JKT kwa mjibu wa sheria ilibidi awe ametokea chuoni au kazini. Hata hivyo wakati anamaliza chuo cha ufundi Arusha wanafunzi wote wa kidato cha sita, chuo na kazini kujiunga JKT kwa mjibu wa sheria kulisitishwa na mambi mengi kufungwa kuzuia mihemko ya kisiasa kutokana uanzishwaji wa vyama vingi vya kisiasa.
 
Naona unagaika kufanya Damage Control...

Kwahiyo mnatueleza Jeshi la Polisi linaajiri Rejected Materials, wasio na sifa ya kujiendeleza hata kwa kiwango cha certificate ili waendelee kuwa-exploit?

Yaani mnawaambia mabenki yanayotunza mamilioni ya pesa za watu kwamba tunawaletea watu wasio na future yoyote lakini tutawapa silaha ili wakae kwenye mageti yenu?

Yaani mnawaambia wateja wa mabenki kwamba hao mnaowaona kwenye mageti wakati mnaenda kuweka au kutoa mipesa yenu ni watu ambao walikuwa ndo Vilaza Max na wengine ni Vilaza Pro!!

Yaani mnatuambia hata wale waliovuka mpaka na kuingia Malawi wakiwa na silaha, jambo ambalo kisheria ni halali kabisa kutafsirika kwamba ni uvamizi, kumbe hayo nayo ni matokeo ya kuajiri Academically Futureless Citizens, ambao hawawezi kuwa na future yoyote zaidi ya kubeba silaha na kufanya doria!!

Is that what you're trying to justify?

Kwani angesema tu kwamba kila Mtanzania ana haki na wajibu wa kulitumikia Jeshi la Polisiili hatimae kuweza kulinda usalama wa raia na mali zao , ina maana asingeeleweka?

Kwani angesema tu kwamba, kwa nyakati tofauti Jeshi la Polisi huajiri watu wenye sifa tofauti tofauti kulingana na mahitaji ya wakati husika, ina maana asingeeleweka?!

Btw, hiyo screenshot mmemnukuu Simbachawene au mmeandika wenyewe ili kufanya damage control?!

Na kama ni Simbachawene, ina maana mnaendelea kutudhihirishia kushindwa kwake kuchagua hata maneno ya kuongea ni dalili ya kwamba kichwani ni mtupu ndo maana amefikia hata kusema DIVISION 32, aina ya ufaulu ambao sijawahi hata kuisikia maishani mwangu!!
Mkuu umeeleza haswa wasiwasi wangu. juu ya huyu waziri wetu.
Ni wazi qualifications zake juu ya uwaziri hazijafika kiwango.
Na mbaya zaidi anaongoza wizara inayohitaji mtu ambaye toka ujanani anatakiwa awe ametayarishwa na Taifa.
Mbona vijana kama hao wako wengi tu.
Jamaa hajapitia hata JKT, na anawekwa mahali nyeti, hiyo ni dhambi!

Sisi tukia JKT tulitayarishwa kwa majukumu yoyote kitaifa, uwe una Div 1 au uwe mkulima toka kijijini wa kuingia kwa kujitole.

Waswahili husema , mtu anapofungua mdomo, anafungua na mengi yanayomhusu, hatukujua kuwa Simbachawene hapo alipo yuk chini ya viwangoo vile vilivyotarajiwa.
 
Nikiwa kada wa siku nyingi niliyepitia JKT kwa mwaka mzima, nimesitushwa na majibu ya Mh Simbachawene katika ajira za wasomi Polisi.
Nimelazimika kupitia CV yake iliyo ukurasa wa Bunge, hakuna mahali anaonekana kapitia JKT.


HII NI HATARI!

Majibu aliyotoa leo kipindi cha Dk 45 yanaonyesha kabisa mtu asiye na ufahamu wa basics za ajira za wasomi, hasa Polisi.
Ati msomi wa Div 1 hawezi kulinda benki!!!!
Hivi Simbachawene anajua anaongea nini?
Sisi tuliosoma zamani, tena tulifaulu vizuri, kulinda sehemu nyeti ilikuwa sehemu ya kazi.
Leo kuna majenerali waliofaulu vizuri tu na kulinda sehemu nyeti, ni sehemu ya majukumu ya ulinzi.

Nitashangaa kama Simbachawene ataendelea kuwepo sehemu asiyostahili.

Profile​


0.41642400 1485861053.png



Hon. George Boniface Simbachawene​



Member Type : Constituent Member

Constituent : Kibakwe

Political Party : CCM

Phone : +255755375623

P.O Box : P. O. Box 75112, Dar es Salaam

Email Address : g.simbachawene@bunge.go.tz

Date of Birth : 1968-07-05

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Arusha Technical CollegeFull Technician Certificate19891992FTC
University of DodomaMasters in Public Administration20102013Masters Degree
Open University of TanzaniaLL.B20002005Bachelor Degree
Mazengo Secondary SchoolCSEE19851988Secondary School
Pwaga Primary School-19781982Primary School
Mahomanyika Primary SchoolCPEE19831984Primary School

Employment History :​

Company/InstitutionPositionFromTo
Ministry of Energy and MineralsDeputy Minister20122013
Muzdalifah Charitable DispensaryManaging Director20002001
Urafiki Bus Service-DodomaTransport Officer19952000
Future World Vocational Training CentreTeacher/Instructor19971999
Ministry of LandDeputy Minister20132014
Ministry of Energy and MineralsMinister20142015

Political Experience :​


Political PartyPositionFromTo
President's Office Regional Administration and Local GovernmentMinister20152017
Chama cha MapinduziMember of District Political Committee2002Todate
Local Authorities Accounts Committee of the ParliamentMember of the Committee20052010
Administration and Local Governments CommitteeMember20152018
Subsidiary Legislation CommitteeChairman20102012
Constituent AssemblyMember20142014
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20052010
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20102015
Chama cha MapinduziMember of the National General Meeting2005Todate
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20152020
Chama cha MapinduziMember of the Regional Executive Council-Dodoma2005Todate
Chama cha MapinduziMember of the District Executive Council-Mpwapwa2000Todate
Ministry of Home AffairsMinister20202025
Vice President's Office responsible for Union Affairs and EnvironmentMinister20192020
Budget CommitteeChairman20172019
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20202025
wote mnaolalama ni mapolice, kama sio basi ni mama zenu au baba zenu ndo mapolice. Hii imewachoma sana, ukweli unauma eee.

Ila kimsingi kwasasa mambo yamebadilika, simbachawene na serikali yake iache system za kizamani. Sasahivi wasomi ni wengi tunataka nchi iende kisomi.

Waachane na mambo ya la saba na form four failure kazi wapewe wasomi, nchi iende kisomi zaidi , hayo ndo maendeleo.
 
wote mnaolalama ni mapolice, kama sio basi ni mama zenu au baba zenu ndo mapolice. Hii imewachoma sana, ukweli unauma eee.

Ila kimsingi kwasasa mambo yamebadilika, simbachawene na serikali yake iache system za kizamani. Sasahivi wasomi ni wengi tunataka nchi iende kisomi.

Waachane na mambo ya la saba na form four failure kazi wapewe wasomi, nchi iende kisomi zaidi , hayo ndo maendeleo.
We popoma basi weka mgambo wakalinde na mipaka ya nchi yako, wasomi wale bata!
 
wote mnaolalama ni mapolice, kama sio basi ni mama zenu au baba zenu ndo mapolice. Hii imewachoma sana, ukweli unauma eee.

Ila kimsingi kwasasa mambo yamebadilika, simbachawene na serikali yake iache system za kizamani. Sasahivi wasomi ni wengi tunataka nchi iende kisomi.

Waachane na mambo ya la saba na form four failure kazi wapewe wasomi, nchi iende kisomi zaidi , hayo ndo maendeleo.
Mijitu mijinga sana ninyi.
Mnapobambikwa na mikesi isiyo na mbele wala nyuma mnalalamika.
Sasa mkipenda kuhudumiwa na watu wasio na akili si mfurahie tu kama ninyi wenyewe hamna akili nzuri!!
 
Mambo mengine ni aibu sana Kama Taifa.Miaka 60 ya uhuru bado tunajivunia ujinga kama sifa ya msingi kwenye kazi ambayo inahitaji weledi.Haya ni makosa makubwa sana na ni aibu kua na kiongozi mwenye mawazo yakizamani hivi.Na ata kama haya ndio mawazo yao haipendezi kuyatoa hadharani wakati kila mtu anapambana kujiendeleza sasa hivi.
 
Mijitu mijinga sana ninyi.
Mnapobambikwa na mikesi isiyo na mbele wala nyuma mnalalamika.
Sasa mkipenda kuhudumiwa na watu wasio na akili si mfurahie tu kama ninyi wenyewe hamna akili nzuri!!
yote hii ni kutokana na kukosa kazi, mnaanza kutamani mpaka na kazi za form four failure.
 
Nikiwa kada wa siku nyingi niliyepitia JKT kwa mwaka mzima, nimesitushwa na majibu ya Mh Simbachawene katika ajira za wasomi Polisi.
Nimelazimika kupitia CV yake iliyo ukurasa wa Bunge, hakuna mahali anaonekana kapitia JKT.


HII NI HATARI!

Majibu aliyotoa leo kipindi cha Dk 45 yanaonyesha kabisa mtu asiye na ufahamu wa basics za ajira za wasomi, hasa Polisi.
Ati msomi wa Div 1 hawezi kulinda benki!!!!
Hivi Simbachawene anajua anaongea nini?
Sisi tuliosoma zamani, tena tulifaulu vizuri, kulinda sehemu nyeti ilikuwa sehemu ya kazi.
Leo kuna majenerali waliofaulu vizuri tu na kulinda sehemu nyeti, ni sehemu ya majukumu ya ulinzi.

Nitashangaa kama Simbachawene ataendelea kuwepo sehemu asiyostahili.

Profile​


0.41642400 1485861053.png



Hon. George Boniface Simbachawene​



Member Type : Constituent Member

Constituent : Kibakwe

Political Party : CCM

Phone : +255755375623

P.O Box : P. O. Box 75112, Dar es Salaam

Email Address : g.simbachawene@bunge.go.tz

Date of Birth : 1968-07-05

Education History :​


School Name/LocationCourse/Degree/AwardFromToLevel
Arusha Technical CollegeFull Technician Certificate19891992FTC
University of DodomaMasters in Public Administration20102013Masters Degree
Open University of TanzaniaLL.B20002005Bachelor Degree
Mazengo Secondary SchoolCSEE19851988Secondary School
Pwaga Primary School-19781982Primary School
Mahomanyika Primary SchoolCPEE19831984Primary School

Employment History :​

Company/InstitutionPositionFromTo
Ministry of Energy and MineralsDeputy Minister20122013
Muzdalifah Charitable DispensaryManaging Director20002001
Urafiki Bus Service-DodomaTransport Officer19952000
Future World Vocational Training CentreTeacher/Instructor19971999
Ministry of LandDeputy Minister20132014
Ministry of Energy and MineralsMinister20142015

Political Experience :​


Political PartyPositionFromTo
President's Office Regional Administration and Local GovernmentMinister20152017
Chama cha MapinduziMember of District Political Committee2002Todate
Local Authorities Accounts Committee of the ParliamentMember of the Committee20052010
Administration and Local Governments CommitteeMember20152018
Subsidiary Legislation CommitteeChairman20102012
Constituent AssemblyMember20142014
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20052010
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20102015
Chama cha MapinduziMember of the National General Meeting2005Todate
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20152020
Chama cha MapinduziMember of the Regional Executive Council-Dodoma2005Todate
Chama cha MapinduziMember of the District Executive Council-Mpwapwa2000Todate
Ministry of Home AffairsMinister20202025
Vice President's Office responsible for Union Affairs and EnvironmentMinister20192020
Budget CommitteeChairman20172019
Parliament of TanzaniaMember of the Parliament20202025
Mkuu alichemka
 
Inshu kubwa ni kwamba,ukiajili digrii utawalipa mishahara mikubwa na posho kubwa,hivyo Serikali ktk kupunguza mzigo tunaaijili f4.
Kwani tuanaajiri base on merit au expenses. Waswahili wanasema kizuri gharama yaani ili tupate polisi bora wenye weledi lazima tugharamie ivi kwanini tunazipuuza kazi za kitaalamu ie polisi wakati hapohapo hao wanasiasa wanajipa maslahi mazuri na makubwa tena wengine ni la saba kabisa
 
Back
Top Bottom