EFm ndo walikua wa kwanza kujiweka pembeni kwamba yake ni mawazo yake, mfumo wetu badobado sanaHando ana akili sana sema kuna muda anaziweka mahali ili tu mkono uende kinywani.
Wakati yupo EFM aliwahi kutoa kauli kuwa maisha ni magumu kwa sababu nchi inakopa sana. Uongozi wa kituo wakampumzisha zaidi ya mwezi, aliporudi akaomba radhi kwa kauli yake.
Nakumbuka ...baada ya hapo hakukaa muda mrefu ndipo akahamia WasafiHando ana akili sana sema kuna muda anaziweka mahali ili tu mkono uende kinywani.
Wakati yupo EFM aliwahi kutoa kauli kuwa maisha ni magumu kwa sababu nchi inakopa sana. Uongozi wa kituo wakampumzisha zaidi ya mwezi, aliporudi akaomba radhi kwa kauli yake.
Yote ni kujikomba. Nakumbuka hadi mstaafu akamsifia majizo kule msoga kwamba ni kiongozi mzuri, ikitokea changamoto anaishughulikia haraka.EFm ndo walikua wa kwanza kujiweka pembeni kwamba yake ni mawazo yake, mfumo wetu badobado sana
Kwani sukari inatoka kwenye nini ndugu ? Au miwa sio mimea ?SUKARI NA NYAMA NI HATARI KWA AFYA C MUHIMU SANA.SUKARI TUNAYOPATA KWENYE MMEA NDYO KIWANGO SAHIHI NAPIA PROTIN TUNAYOPATA KWENYE MMEA NDYO SAHIH.TAKE ADVANTGE
Wewe ni mgonjwa..... Si na chumvi zinatumizi yake zaidi ya unavyofikiria kuweka kwenye mboga na chaiMimi binafsi chakula ambacho hakina chumvi kwangu ni kizuri zaidi.
Kwahiyo tunda lenye sukari unaweza kutengenezea maandazi? Acha uchawa aiseh...Sukari siyo hitaji muhimu kwa binadamu, bali ni bidhaa ya kawaida tu.
Unaweza usitumie sukari ya kiwandani na bado ukaipata sukari halisi kwenye matunda.
Suala la sukari linakuzwa tu bila sababu!
Mimi siwezi kula chakula ambacho hakina chumvi, lazima nitatapika!!Mimi binafsi chakula ambacho hakina chumvi kwangu ni kizuri zaidi.
Muhimbili Orthopaedic Institute."Hando amesema Janabi sio wa kutoa majibu ya sukari nchini, akae Moi apambane na Muhimbili yake.
[emoji115][emoji115][emoji115]
MOI siyo MUHIMBILI
Halafu unaweza kusikia kasimamishwa kazi .Kisa kuongea huo ukweliKawapa ukweli safi kabisa
Muhimbili National Hospital, MNH (Muhimbili)Muhimbili Orthopaedic Institute.
Kwami lazima kula maandazi?Kwahiyo tunda lenye sukari unaweza kutengenezea maandazi? Acha uchawa aiseh...
Kwahiyo unalazima niishi kama unavyo taka wewe.... Mimi mchemsho na supu ni jioni... Asubuhi lazima Nile maandaziKwami lazima kula maandazi?
Asubuhi unaweza ukanywa supu, au mchemsho wa ndizi.