Lax
JF-Expert Member
- Feb 10, 2022
- 4,740
- 7,179
EFm ndo walikua wa kwanza kujiweka pembeni kwamba yake ni mawazo yake, mfumo wetu badobado sanaHando ana akili sana sema kuna muda anaziweka mahali ili tu mkono uende kinywani.
Wakati yupo EFM aliwahi kutoa kauli kuwa maisha ni magumu kwa sababu nchi inakopa sana. Uongozi wa kituo wakampumzisha zaidi ya mwezi, aliporudi akaomba radhi kwa kauli yake.