Gerald Ibrahim, shujaa aliyetekwa na kupotezwa kwa kosa la kuisaidia jeshi la Polisi

Gerald Ibrahim, shujaa aliyetekwa na kupotezwa kwa kosa la kuisaidia jeshi la Polisi

Nachukia siasa,nawachukia wanasiasa,nachukia kuji associate na jambo lolote lenye uhusiano na siasa...endelea kuipambania nchi,utaitwa mzalendo siku moja ukiwa kaburini
Huwezi kuikwepa siasa, huwezi kukwepa kuji-associate na jambo lolote lenye uhusiano na siasa. CCM imefanikiwa kudanganya watanzania wengi kuwa siasa ni kitengo hatari na ukijihusiasha nacho litakalokupa basi ni haki yako. Hivi unajua kuwa hata kwenda msikitini au kanisani kuna uhusiano na siasa? Hivi unajua kuwa hata kazi au biashara unayofanya ina uhusiano na siasa? Hivi unajua kuwa hata familia yako uliyonayo ina uhusiano na siasa? Siasa ni maisha, na maisha ni siasa. Kna siku utajua kuwa hukujua hili!
 
kuna watu wajiuzuru kwa hili anzia aliye kuwa RC mlindoko yuko katavi sasa ivi, ondoa IGP,PM wakuu wa vituo wote
M15 inawafikisha wapi? sasa wataanza kutafutana kumaliza hili wakiwa wamesha chafuka.
 
Ndg zangu nasisitiza fanya kazi zako ,kama unafanya biashara fanya ,kazi fanya ,usijihusishe kwenye kazi yoyote isiyokuhusu ,usiandamane maana ukifa wengine tutaendelea kuishi na tutamsingizia Mungu kakuchukua na RIP na masikitiko nyuma ya keyboard
Kuna siku haya haya unayoyaogopa na kuyakwepa yatakufuata kwenye hizo hizo biashara au kazi zako. Ni suala la muda tu.
 
Mkoani wangemzungusha sawa...... Lakini amefika Hadi kwa waziri mkuuu...... Kaenda swax kwa magufuli...... CP andengenye akipokea maelekezo ya naomba 1 atasaka pesa kwa wadau ndani ya nusu saa zinapatikana na chenji anabakiwa .


Kuna konakona nyingi..... Hapo mpeta, nguruka na mlyabibi Hadi chakulu Kuna majambazi wengi sana, tena wengi sana. Wasukuma waliokimbia matukio wamejazana huko kwa kujifanya wauza nafaka na wakulima.........

Tuwape nafasi polisi wachunguze.
 
jambo pekee ambalo nina uhakika nalo hapa duniani ni kwamba, damu ya mtu asiye na hatia huwa inalia, inalia kilio kikubwa sana na ukiimwaga, it is just a matter of time, utalipa tu kwasababu huwa hainyamazi.
Hizi mambo ni mindset za wenye nguvu kuwaandaa wasio na nguvu kuwa watii.
Dunia ina ukatili mwingi sana, wema wengi sana wameuawa na hakuna lolote linalotokea.
Mtu akikuletea ujinga ndani ya familia yako, ukipata nafasi/uwezo wa kulipa kisasi lipa. Hapo ndipo heshima itakuja.
 
Duuh 15milioni huenda alijitoa sana hadi silaha zilipatikana, maana huo uthubutu wa kudai sio wa kawaida
 
Huwezi kuikwepa siasa, huwezi kukwepa kuji-associate na jambo lolote lenye uhusiano na siasa. CCM imefanikiwa kudanganya watanzania wengi kuwa siasa ni kitengo hatari na ukijihusiasha nacho litakalokupa basi ni haki yako. Hivi unajua kuwa hata kwenda msikitini au kanisani kuna uhusiano na siasa? Hivi unajua kuwa hata kazi au biashara unayofanya ina uhusiano na siasa? Hivi unajua kuwa hata familia yako uliyonayo ina uhusiano na siasa? Siasa ni maisha, na maisha ni siasa. Kna siku utajua kuwa hukujua hili!
Kuna siku nitajua sikujua ni kauli ya kutishana..nyambaf,sipendi siasa!
 
Ndg zangu nasisitiza fanya kazi zako ,kama unafanya biashara fanya ,kazi fanya ,usijihusishe kwenye kazi yoyote isiyokuhusu ,usiandamane maana ukifa wengine tutaendelea kuishi na tutamsingizia Mungu kakuchukua na RIP na masikitiko nyuma ya keyboard
Ndio akili yako ya kufikiria kwa kutumia kwapa ilipoishia. Hiyo hamasa ya biashara leo umeipata baada ya babu zako kuutoa uhai kwa kupigania vizazi vijavyo ndio maana leo hii unaongea. Labda kama nawe ni walewale tu
 
Huwezi kuikwepa siasa, huwezi kukwepa kuji-associate na jambo lolote lenye uhusiano na siasa. CCM imefanikiwa kudanganya watanzania wengi kuwa siasa ni kitengo hatari na ukijihusiasha nacho litakalokupa basi ni haki yako. Hivi unajua kuwa hata kwenda msikitini au kanisani kuna uhusiano na siasa? Hivi unajua kuwa hata kazi au biashara unayofanya ina uhusiano na siasa? Hivi unajua kuwa hata familia yako uliyonayo ina uhusiano na siasa? Siasa ni maisha, na maisha ni siasa. Kna siku utajua kuwa hukujua hili!
Kuna watu kazi yao ni siasa mimi siasa sio kazi yangu siwezi kukusaidia kazi yako ukiniambia nije kwenye mkutano wa kisiasa ni kazi yako hiyo siji,ukiniambia niandamane na wewe ni mwanasiasa siandamani .
 
Mwaka flani Tulimuokota mtu tusiyemfahamu aliegongwa na gari tukampeleka hospital akiwa taabani tukaambiwa hatibiwi bila PF3, tulipoenda polisi tukawekwa chini ya ulinzi na kupigwa sana tukilazimishwa kukiri kwamba;

1. Sisi ndiyo tumemgonga huyo mtu
2. Tuwajibike kugharimia matibabu yake
3. Tutoe pesa ili kesi isiende mahakamani.

From then, nawaona polisi kama wanyama wa Serengeti tu
Msirudie tena

Ova
 
Katika mambo ya ujinga na upumbavu wa kiwango Cha lami ni kujifanya mzalendo . The world will not stop coz of your patriotism no and never , Niko na experience ya mambo ya namna hii ona sasa familia inaanza kupoteza rasilimali Ili kumtafuta ndugu yao .
Jambo la kujiuliza serikali Kuna watu wamesoma intelligence na wanakula vinono kwann wao wasingeenda kufanya kazi hiyo adi huyo bwana ajitolee Kwa kazi hiyo tena bila mkataba maalum wa kazi mambo ya kufanya kazi kienyeji sio mazuri ona sasa vigeugeu wamemgeuka tayari.
Pole sana ndugu na familia
Hizinswrikali zetu,hata siku moja
Usijifanye kimbelembele eti uwasaidie

Ova
 
Back
Top Bottom