Gerald Kusaya jiandae kung'olewa kwenye nafasi yako, umegusa mnyororo wa dawa za kulevya

Gerald Kusaya jiandae kung'olewa kwenye nafasi yako, umegusa mnyororo wa dawa za kulevya

vibesen xxx

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2022
Posts
3,187
Reaction score
6,620
Sina cha kusema

Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali

Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake

Hawatakuacha utaondoka

Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi

Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga

Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
 
Umesema kweli. Atakaangwa na press release yake. Hakuwa na haja ya kutaja taasisi za michezo wanazotumikia. Au ingejulikana siku ya watuhumiwa kufikishwa mahakamani.
 
Hakuna wa kumtoa hapo haiwezekani madawa yashamiri ndani ya muda mfupi namna hiyo
 
Sina cha kusema

Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali

Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake

Hawatakuacha utaondoka

Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi

Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga

Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Kama humjui Kusaya bora unyamaze! Kipepeo huyo, watachemsha tu!!
 
Ukweli mchungu genge la wauza madawa wapo tayari kufanya chochote hawanaga aibu...

Huyu utasikia kaamishwa

Hakuna vita ngumu duniani Kama kupambana na Hawa madubwasha

Na hivi tuna taifa la ovyo Kama Tanzania utashangaa wakina February na Majaliwa na Nchemba ndio wanashauri jamaa aamishwe !!!

Ogopa Sana mtu kujifanya anamiliki timu bongo nyuma ya pazia Kuna uozo mkubwa Sana.

Lakini mm nampongeza hata Kama atatolewa ushujaa kauonyesha!!
 
Sina cha kusema

Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali

Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake

Hawatakuacha utaondoka

Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi

Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga

Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Uko sahihi kwani wauza unga wengi wana uhusiano wa karibu na wanasiasa wa CCM
 
Cheo cha umma ni dhamana. Leo huku kesho kule. Kusaya kafanya kazi kubwa taifa linajua. Hata wahalifu wanajua. Bado nafasi aliyoteuliwa na mamlaka ya juu ya nchi nayo inahitaji weledi na uadilifu uleule. #Katika uteuzi wa mamlaka ya juu ya nchi (Rais) hakuna nafasi ndogo. Akatumikie taifa kwa moyo mmoja.🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom