Gerald Kusaya jiandae kung'olewa kwenye nafasi yako, umegusa mnyororo wa dawa za kulevya

Gerald Kusaya jiandae kung'olewa kwenye nafasi yako, umegusa mnyororo wa dawa za kulevya

Sina cha kusema

Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali

Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake

Hawatakuacha utaondoka

Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi

Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga

Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Hatimaye yametimia..
 
Sina cha kusema

Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali

Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake

Hawatakuacha utaondoka

Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi

Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga

Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Hatimae imetimia uzi ulianza 2022
 
Lyimo pale hamna kitu amewekwa sababu watu flani wametaka awe hapo kiufupi tunabakwa sana

Halafu hamshituki hizi Teuzi za Maza akiwa nje ya nchi ?

Hamjagundua kitu?
Basi jidanganye uendelee na hiyo biashara
 
Sina cha kusema

Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali

Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake

Hawatakuacha utaondoka

Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi

Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga

Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Unabii wako umetimia mkuu.
 
Back
Top Bottom