Gerald Kusaya jiandae kung'olewa kwenye nafasi yako, umegusa mnyororo wa dawa za kulevya

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
Duh...!. Haya niliyaongea enzi za Makonda!, Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia...
P
 
Yametimia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh!! Watu wanaona mbali sana
 
Duuuu!!
 
Kama wanajidanganya kuwa lyimo atawachekea hao wauza ngada basi wameudandia mtumbwi wa vibwengo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…