Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Sina cha kusema
Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali
Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake
Hawatakuacha utaondoka
Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi
Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga
Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Duh...!. Haya niliyaongea enzi za Makonda!, Ndugu, Jamaa na Marafiki, Njooni Tumtetee Makonda Dhidi ya Mapapa Wauza Unga Wanaomzushia...Sina cha kusema
Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali
Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake
Hawatakuacha utaondoka
Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi
Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga
Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Sema neno tenaKama atatolewa kwa kosa la kuwashughulikia wauza madawa ya kulevya basi uongozi wa juu awamu hii utakuwa haujitambui na ni hasara kwa taifa letu
Sent using Jamii Forums mobile app
YametimiaUkweli mchungu genge la wauza madawa wapo tayari kufanya chochote hawanaga aibu...
Huyu utasikia kaamishwa
Hakuna vita ngumu duniani Kama kupambana na Hawa madubwasha
Na hivi tuna taifa la ovyo Kama Tanzania utashangaa wakina February na Majaliwa na Nchemba ndio wanashauri jamaa aamishwe !!!
Ogopa Sana mtu kujifanya anamiliki timu bongo nyuma ya pazia Kuna uozo mkubwa Sana.
Lakini mm nampongeza hata Kama atatolewa ushujaa kauonyesha!!
Vipi umemwamini mtoa hoja ?Hakuna wa kumtoa hapo haiwezekani madawa yashamiri ndani ya muda mfupi namna hiyo
Basi sawaAchana na kutisha watu....apambane hali yake hakuna kuogopaa
Duh!! Watu wanaona mbali sanaSina cha kusema
Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali
Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake
Hawatakuacha utaondoka
Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi
Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga
Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Duuuu!!Sina cha kusema
Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali
Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake
Hawatakuacha utaondoka
Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi
Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga
Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa