Manabii wa jf muishi sanaSina cha kusema
Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali
Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake
Hawatakuacha utaondoka
Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi
Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga
Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Kf kuna manabii wa kutosha sanaUnabii wako umetimia mkuu.
TerribleSina cha kusema
Wauzaji wa dawa za kulevya watakupiga fitina kupitia kwa wanasiasa wenye ushawishi kwa Rais nawe utatupiliwa mbali
Hao uliowaweka hadharani wapo kwenye mnyororo wa vigogo wakatili nyuma yake
Hawatakuacha utaondoka
Bahati mbaya hawa wahalifu huwa wanatafuta kitu chenye mvuto kwa jamii wajifiche na wakubalike kwa wananchi
Moja ya taasisi walipojificha ni huku kwenye mpira simba na yanga
Umeonyesha uzalendo na ujasiri ila wataungana kukutoa
Appalling
Yametimia. Na hii ndiyo Tanzania chini ya utawala wa chama cha wapiga dili za kila aina.Ukweli mchungu genge la wauza madawa wapo tayari kufanya chochote hawanaga aibu...
Huyu utasikia kaamishwa
Hakuna vita ngumu duniani Kama kupambana na Hawa madubwasha
Na hivi tuna taifa la ovyo Kama Tanzania utashangaa wakina February na Majaliwa na Nchemba ndio wanashauri jamaa aamishwe !!!
Ogopa Sana mtu kujifanya anamiliki timu bongo nyuma ya pazia Kuna uozo mkubwa Sana.
Lakini mm nampongeza hata Kama atatolewa ushujaa kauonyesha!!
MmhYametimia. Na hii ndiyo Tanzania chini ya utawala wa chama cha wapiga dili za kila aina.
Duh, tunabishana na majitu yako kwenye system za uteuzi mkuu! Nchi hii imekuwa dhaifu sana maamuzi yote yanafanywa kwa remote! Leo hii eti Kusaya ni RAS sijui wapi huko? Tumwombe Mungu aingilie kati aisee bila remote kuishiwa betri tutanyooka!Mkuu una la kusema sasa?
Nchi limekuwa la kipopoma sana!Yametimia. Na hii ndiyo Tanzania chini ya utawala wa chama cha wapiga dili za kila aina.
Magufuli alijitahidi sana MwambaUkweli mchungu genge la wauza madawa wapo tayari kufanya chochote hawanaga aibu...
Huyu utasikia kaamishwa
Hakuna vita ngumu duniani Kama kupambana na Hawa madubwasha
Na hivi tuna taifa la ovyo Kama Tanzania utashangaa wakina February na Majaliwa na Nchemba ndio wanashauri jamaa aamishwe !!!
Ogopa Sana mtu kujifanya anamiliki timu bongo nyuma ya pazia Kuna uozo mkubwa Sana.
Lakini mm nampongeza hata Kama atatolewa ushujaa kauonyesha!!