Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Source: Ripoti rasmi ya DOD (Department Of Defense) kuhusu Operation Neptune SpearNimeipenda!! Ila haina source! Isijekuwa source ni Mr X wa Hollywood.
Kabisa! Inaonesha jinsi wenzetu walivyo makini hata kwa details ndogo ndogoHawa jamaa wangempuuzia yule Mtoto ingekuwa Historia bado
kwa mara nyingine unashusha vyuma vitupuDivine..., glory to yhwh, Nifah, BansenBurner, Alisen, Papushikashi, Magazine Fire, miss chagga, succinate coA hydrogenase, SANCTUS ANACLETUS, mngony, Excel, Mussolin5, Jimena, Inferiority Complex, gwijimimi, wambura marwa, Hoshea, Shareef Conscious, wambeke, The Boss, Deejay, nasmile, gkileo, Juma Chief, Mangi flani hivi, Ngongo, makaveki10, KENZY, kadada wa pili, Root, aretasludovick, jonnie_vincy, Clkey, KAFA.cOm, mbewe, makedonia, Afande Nyati, peterchoka, Leonard Robert, Nchi Kavu, STUNTER, 4G LITE, Chrizo, jully van persie, Khalidoun, Tetramelyz, punje haradari, Mazigazi, Alybaba, babu na mjukuu, platozoom, jimmyfoxxgongo, Nicodemas Tambo Mwikozi, Ls man, Heaven Sent, sifongo, Infantry Soldier, haa mym, 20acres, MTS, MarkHilary, compos, Tembo2, Erick the future, e-l, nancy1983, Bulah, binsaad, Fazzaly, The Wolf Firegironsa, everhurt, Melvine
Asante! Pamoja sana kiongozi..kwa mara nyingine unashusha vyuma vitupu
pamoja sana mkuu haya ndo mambo
Mkuu unapokuwa unataka kumtag mtu ili auone uzi uwe unaweka hii alama mwanzo mwa jina lake "@" eg: @ The bold, hapo me nimeruka ili uone lakini nisiporuka inakuwa na atach yani kama hivi The bold..Asante! Pamoja sana kiongozi..
Hapo sawasawaSource: Ripoti rasmi ya DOD (Department Of Defense) kuhusu Operation Neptune Spear
Nenda kaitafute mkuu
Ngoja na mm nijaribu maana na mm cjuagi aisee The boldMkuu unapokuwa unataka kumtag mtu ili auone uzi uwe unaweka hii alama mwanzo mwa jina lake "@" eg: @ The bold, hapo me nimeruka ili uone lakini nisiporuka inakuwa na atach yani kama hivi The bold..
hapo mtu hupata notification kuwa ame be taged sehemu fulani so inakuwa rahisi kwa yeye kuuona uzi. chengine cha kuzingatia ni kufata jina la mtu lilivyoandikwa kama ni KENZY imeandikwa kwa herufi kubwa nawe andika hivyohivyo kisha weka hiyo alama mwanzoni mwa jina.. ama kama kuna mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo na we liandike hivyohivyo.
ni hivyo tu mkuu
Aisee Mungu akubariki kwa kuelekeza maana nilikua napata taabu. Kutaja jina na mtu apate notificationMkuu unapokuwa unataka kumtag mtu ili auone uzi uwe unaweka hii alama mwanzo mwa jina lake "@" eg: @ The bold, hapo me nimeruka ili uone lakini nisiporuka inakuwa na atach yani kama hivi The bold..
hapo mtu hupata notification kuwa ame be taged sehemu fulani so inakuwa rahisi kwa yeye kuuona uzi. chengine cha kuzingatia ni kufata jina la mtu lilivyoandikwa kama ni KENZY imeandikwa kwa herufi kubwa nawe andika hivyohivyo kisha weka hiyo alama mwanzoni mwa jina.. ama kama kuna mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo na we liandike hivyohivyo.
ni hivyo tu mkuu
kwa wengine sisi uwe unasema asante tu huyo ulomtaja hapo simjui..!!!!🙁🙁Aisee Mungu akubariki kwa kuelekeza maana nilikua napata taabu. Kutaja jina na mtu apate notification
Mkuu unapokuwa unataka kumtag mtu ili auone uzi uwe unaweka hii alama mwanzo mwa jina lake "@" eg: @ The bold, hapo me nimeruka ili uone lakini nisiporuka inakuwa na atach yani kama hivi The bold..
hapo mtu hupata notification kuwa ame be taged sehemu fulani so inakuwa rahisi kwa yeye kuuona uzi. chengine cha kuzingatia ni kufata jina la mtu lilivyoandikwa kama ni KENZY imeandikwa kwa herufi kubwa nawe andika hivyohivyo kisha weka hiyo alama mwanzoni mwa jina.. ama kama kuna mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo na we liandike hivyohivyo.
ni hivyo tu mkuu
Ah ah ah ah ah kaz kwel kwel haya bwanakwa wengine sisi uwe unasema asante tu huyo ulomtaja hapo simjui..!!!!🙁🙁