Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Geranimo E.K.I.A: Kutoka Makao Makuu ya CIA Langley, Oparesheni Ya Kukamatwa Osama Bin Laden

Divine..., glory to yhwh, Nifah, BansenBurner, Alisen, Papushikashi, Magazine Fire, miss chagga, succinate coA hydrogenase, SANCTUS ANACLETUS, mngony, Excel, Mussolin5, Jimena, Inferiority Complex, gwijimimi, wambura marwa, Hoshea, Shareef Conscious, wambeke, The Boss, Deejay, nasmile, gkileo, Juma Chief, Mangi flani hivi, Ngongo, makaveki10, KENZY, kadada wa pili, Root, aretasludovick, jonnie_vincy, Clkey, KAFA.cOm, mbewe, makedonia, Afande Nyati, peterchoka, Leonard Robert, Nchi Kavu, STUNTER, 4G LITE, Chrizo, jully van persie, Khalidoun, Tetramelyz, punje haradari, Mazigazi, Alybaba, babu na mjukuu, platozoom, jimmyfoxxgongo, Nicodemas Tambo Mwikozi, Ls man, Heaven Sent, sifongo, Infantry Soldier, haa mym, 20acres, MTS, MarkHilary, compos, Tembo2, Erick the future, e-l, nancy1983, Bulah, binsaad, Fazzaly, The Wolf Firegironsa, everhurt, Melvine
kwa mara nyingine unashusha vyuma vitupu
pamoja sana mkuu haya ndo mambo
 
Uhii nimejiona kama nimeingia ktk story na kushuhudia kila kitu.

Kumbe hawakumzika walimdumbukiza ktk maji loo

Na familia yake baada ya kufungwa pingu waliishia wap waliachiwa huru?

Halafu yule kijana aliyejiita muwindaji akija kutoka itakua ni hatari nyingine

Mungu ilinde Tanzania yangu
 
Asante! Pamoja sana kiongozi..
Mkuu unapokuwa unataka kumtag mtu ili auone uzi uwe unaweka hii alama mwanzo mwa jina lake "@" eg: @ The bold, hapo me nimeruka ili uone lakini nisiporuka inakuwa na atach yani kama hivi The bold..
hapo mtu hupata notification kuwa ame be taged sehemu fulani so inakuwa rahisi kwa yeye kuuona uzi. chengine cha kuzingatia ni kufata jina la mtu lilivyoandikwa kama ni KENZY imeandikwa kwa herufi kubwa nawe andika hivyohivyo kisha weka hiyo alama mwanzoni mwa jina.. ama kama kuna mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo na we liandike hivyohivyo.
ni hivyo tu mkuu
 
Mkuu unapokuwa unataka kumtag mtu ili auone uzi uwe unaweka hii alama mwanzo mwa jina lake "@" eg: @ The bold, hapo me nimeruka ili uone lakini nisiporuka inakuwa na atach yani kama hivi The bold..
hapo mtu hupata notification kuwa ame be taged sehemu fulani so inakuwa rahisi kwa yeye kuuona uzi. chengine cha kuzingatia ni kufata jina la mtu lilivyoandikwa kama ni KENZY imeandikwa kwa herufi kubwa nawe andika hivyohivyo kisha weka hiyo alama mwanzoni mwa jina.. ama kama kuna mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo na we liandike hivyohivyo.
ni hivyo tu mkuu
Ngoja na mm nijaribu maana na mm cjuagi aisee The bold
 
Mkuu unapokuwa unataka kumtag mtu ili auone uzi uwe unaweka hii alama mwanzo mwa jina lake "@" eg: @ The bold, hapo me nimeruka ili uone lakini nisiporuka inakuwa na atach yani kama hivi The bold..
hapo mtu hupata notification kuwa ame be taged sehemu fulani so inakuwa rahisi kwa yeye kuuona uzi. chengine cha kuzingatia ni kufata jina la mtu lilivyoandikwa kama ni KENZY imeandikwa kwa herufi kubwa nawe andika hivyohivyo kisha weka hiyo alama mwanzoni mwa jina.. ama kama kuna mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo na we liandike hivyohivyo.
ni hivyo tu mkuu
Aisee Mungu akubariki kwa kuelekeza maana nilikua napata taabu. Kutaja jina na mtu apate notification
 
Mkuu unapokuwa unataka kumtag mtu ili auone uzi uwe unaweka hii alama mwanzo mwa jina lake "@" eg: @ The bold, hapo me nimeruka ili uone lakini nisiporuka inakuwa na atach yani kama hivi The bold..
hapo mtu hupata notification kuwa ame be taged sehemu fulani so inakuwa rahisi kwa yeye kuuona uzi. chengine cha kuzingatia ni kufata jina la mtu lilivyoandikwa kama ni KENZY imeandikwa kwa herufi kubwa nawe andika hivyohivyo kisha weka hiyo alama mwanzoni mwa jina.. ama kama kuna mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo na we liandike hivyohivyo.
ni hivyo tu mkuu

Hiyo haina Umuhimu Mkuu,
Mchanganyiko wa herufi kubwa na ndogo sio ishu kuufatisha as long as umelipatia jina hata uandike kwa herufi ndogo lita-appear kwa herufi original...
Mfano @ stunter or @ kenzy
sasa testi zari hapo
 
Back
Top Bottom