Gerson Msigwa acha uongo; Unazungumzia ukaguzi wiki 2 zilizopita wakati huo ulikuwa na zaidi ya bilioni 31 tangu 2023

Gerson Msigwa acha uongo; Unazungumzia ukaguzi wiki 2 zilizopita wakati huo ulikuwa na zaidi ya bilioni 31 tangu 2023

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Nimemsikiliza Ndg. Gerson Msigwa kwakweli nimesikitika sana kuona watumishi wa umma nyakati hizi badala kuwa watumishi wa umma wamegeuka kuwa watetezi wa viongozi wabovu. Sakata hili jinsi anavyotetea ni sawa na jinsi alivyotetea uongo na udhaifu mkubwa uliosemwa na kiongozi mmoja kuhusu kununua umeme nje ya nchi, Wakati huohuo alishasema Tanzania itauza umene nje ya nchi.OK, Tuyaache hayo.

Tangu mwaka 2023 Tulielezwa kwamba zaidi ya Bilioni 31 zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa uwanja wa Mkapa, Baada ya hapo uwanja ukafungiwa.

Unapokarabati uwanja wa mpira, Ni jambo gani la msingi zaidi? Vyoo? Running tracks? Rangi ya milango ya uwanja? Hivi unaweza kutenga budget ya kutengeneza gari ambalo limekufa engine, kisha ukaanza na ukarabati wa radio, air freshener, lether seats nk.

Badala ya kuanza na engine? Maana yangu ni kwamba unapozungumzia mpira wa miguu unazungumzia 'pitch' eneo la kuchezea ndilo eneo muhimu, watu hawaendi uwanjani kujisaidia haja ndogo! Wanaenda kutazama wachezaji wakicheza.

Tangu 2023 hiyo ndiyo pitch iliyokarabatiwa katika hiyo Bilioni 31?? Kama tangu 2023 hali ndiyo hiyo unathubutuje kusema wiki mbili zilizopita na sasa hali ni tofauti?
Uwanja wa Amahoro ulitumia muda mfupi na gharama ndogo ila quality inaonekana, Nyie miaka miwili, Bilioni 31 hata pitch haieleweki! MAAJABU

TAFADHALI ELEZA PESA HIZO AMBAZO NI KODI ZA WANANCHI MMEZIPELEKA WAPI?
 
Nakumbuka kabisa zilitolewa hela kwa kukarabati viwanja vya Amani na hicho cha Benjamini Mkapa. Tena zilitoka bilions of money.

Uwanja wa Amani umekarabatiwa na kweli tumeona mabadiliko ila kiwanja cha Benjamini Mkapa hadi leo ni tantalise tu. Mara viti mara rangi wakati zilitoka zaidi ya Billion 30.

Nchi hii inahujumiwa sana na CCM. Ipo siku lakini.
 
I don't want to believe that this very detailed thread has engaged only 78 people...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706]
This amazes me in this forum.
 
Jamaa kapiga chenga alivyo ona anabanishwa akasema hataki maswali ya uwanja wala ya Derby,biashara ikaishia hapo.
 
I don't want to believe that this very detailed thread has engaged only 78 people...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706]
This amazes me in this forum.
It's so pitiful..
 
Maeneo yaliyopangwa yakarabatiwe ni pamoja na.

1. vyumba vya wachezaji,
2. chumba cha waandishi wa
Habari,
3.Eneo la watu mashuhuri (VVIP), 4. kubadilisha viti vyote vya kukalia mashabiki uwanjani hapo,
5. ubao wa kuonesha matokeo,
6. kuweka mfumo mpya wa TEHAMA,
7. kubadilisha eneo la kuchezea na seti mbili za magoli ambazo zitatumika uwanjani hapo.

Maeneo mengine ambayo yatafanyiwa ukarabati ni viti vya benchi la ufundi na wachezaji wa akiba,
8. mfumo wa umeme,
9. mfumo wa sauti,
10. Eneo la kukimbilia wanariadha,
11. chumba cha VAR,
12. lifti mbili mpya,
13. mfumo wa taa,
14. mfumo wa maji taka,
15. mgahawa pamoja na vitu vingine ambavyo vimepita muda wa matumizi kwani vilitakiwa kutumika kwa muda wa miaka saba tu

HADI SASA HAKUNA KILICHOFANYIKA
 
Nimemsikiliza Ndg. Gerson Msigwa kwakweli nimesikitika sana kuona watumishi wa umma nyakati hizi badala kuwa watumishi wa umma wamegeuka kuwa watetezi wa viongozi wabovu. Sakata hili jinsi anavyotetea ni sawa na jinsi alivyotetea uongo na udhaifu mkubwa uliosemwa na kiongozi mmoja kuhusu kununua umeme nje ya nchi, Wakati huohuo alishasema Tanzania itauza umene nje ya nchi.OK, Tuyaache hayo.

Tangu mwaka 2023 Tulielezwa kwamba zaidi ya Bilioni 31 zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa uwanja wa Mkapa, Baada ya hapo uwanja ukafungiwa.

Unapokarabati uwanja wa mpira, Ni jambo gani la msingi zaidi? Vyoo? Running tracks? Rangi ya milango ya uwanja? Hivi unaweza kutenga budget ya kutengeneza gari ambalo limekufa engine, kisha ukaanza na ukarabati wa radio, air freshener, lether seats nk.

Badala ya kuanza na engine? Maana yangu ni kwamba unapozungumzia mpira wa miguu unazungumzia 'pitch' eneo la kuchezea ndilo eneo muhimu, watu hawaendi uwanjani kujisaidia haja ndogo! Wanaenda kutazama wachezaji wakicheza.

Tangu 2023 hiyo ndiyo pitch iliyokarabatiwa katika hiyo Bilioni 31?? Kama tangu 2023 hali ndiyo hiyo unathubutuje kusema wiki mbili zilizopita na sasa hali ni tofauti?
Uwanja wa Amahoro ulitumia muda mfupi na gharama ndogo ila quality inaonekana, Nyie miaka miwili, Bilioni 31 hata pitch haieleweki! MAAJABU

TAFADHALI ELEZA PESA HIZO AMBAZO NI KODI ZA WANANCHI MMEZIPELEKA WAPI?
Kiukweli Serikali inatukosea sana Wananchi hasa sisi wapenda soka

Huu usanii wanaouleta unakera sana sana,
Haiingii akilini miaka zaidi ya miwili sehemu pekee iliyofanyiwa maboresho ni eneo la VVIP
 
Nimemsikiliza Ndg. Gerson Msigwa kwakweli nimesikitika sana kuona watumishi wa umma nyakati hizi badala kuwa watumishi wa umma wamegeuka kuwa watetezi wa viongozi wabovu. Sakata hili jinsi anavyotetea ni sawa na jinsi alivyotetea uongo na udhaifu mkubwa uliosemwa na kiongozi mmoja kuhusu kununua umeme nje ya nchi, Wakati huohuo alishasema Tanzania itauza umene nje ya nchi.OK, Tuyaache hayo.

Tangu mwaka 2023 Tulielezwa kwamba zaidi ya Bilioni 31 zimetengwa kwa ajili ya ukarabati wa uwanja wa Mkapa, Baada ya hapo uwanja ukafungiwa.

Unapokarabati uwanja wa mpira, Ni jambo gani la msingi zaidi? Vyoo? Running tracks? Rangi ya milango ya uwanja? Hivi unaweza kutenga budget ya kutengeneza gari ambalo limekufa engine, kisha ukaanza na ukarabati wa radio, air freshener, lether seats nk.

Badala ya kuanza na engine? Maana yangu ni kwamba unapozungumzia mpira wa miguu unazungumzia 'pitch' eneo la kuchezea ndilo eneo muhimu, watu hawaendi uwanjani kujisaidia haja ndogo! Wanaenda kutazama wachezaji wakicheza.

Tangu 2023 hiyo ndiyo pitch iliyokarabatiwa katika hiyo Bilioni 31?? Kama tangu 2023 hali ndiyo hiyo unathubutuje kusema wiki mbili zilizopita na sasa hali ni tofauti?
Uwanja wa Amahoro ulitumia muda mfupi na gharama ndogo ila quality inaonekana, Nyie miaka miwili, Bilioni 31 hata pitch haieleweki! MAAJABU

TAFADHALI ELEZA PESA HIZO AMBAZO NI KODI ZA WANANCHI MMEZIPELEKA WAPI?
Mambo ya ccm tuwaachie wenyewe ndio wenye nchi
 
Jamaa kapiga chenga alivyo ona anabanishwa akasema hataki maswali ya uwanja wala ya Derby,biashara ikaishia hapo.
Sasa kama hataki maswali alienda hapo kufuata nini? What's the point
Maeneo yaliyopangwa yakarabatiwe ni pamoja na.

1. vyumba vya wachezaji,
2. chumba cha waandishi wa
Habari,
3.Eneo la watu mashuhuri (VVIP), 4. kubadilisha viti vyote vya kukalia mashabiki uwanjani hapo,
5. ubao wa kuonesha matokeo,
6. kuweka mfumo mpya wa TEHAMA,
7. kubadilisha eneo la kuchezea na seti mbili za magoli ambazo zitatumika uwanjani hapo.

Maeneo mengine ambayo yatafanyiwa ukarabati ni viti vya benchi la ufundi na wachezaji wa akiba,
8. mfumo wa umeme,
9. mfumo wa sauti,
10. Eneo la kukimbilia wanariadha,
11. chumba cha VAR,
12. lifti mbili mpya,
13. mfumo wa taa,
14. mfumo wa maji taka,
15. mgahawa pamoja na vitu vingine ambavyo vimepita muda wa matumizi kwani vilitakiwa kutumika kwa muda wa miaka saba tu

HADI SASA HAKUNA KILICHOFANYIKA
Pamoja na hayo yote, Sijaona sehemu waliyosema watakarabati pitch. Yaani bila pitch uwanja wa mpira una maana gani? Yaani unahangaika na rangi, redio, windshield sijui airfreshener wakati gari engine mbovu! Mashabiki wanaenda uwanjani kujisaidia haja ndogo? Yote kwa yote hata hayo tu yaliyoorodheshwa bado hayajatimia!
 
Sasa kama hataki maswali alienda hapo kufuata nini? What's the point

Pamoja na hayo yote, Sijaona sehemu waliyosema watakarabati pitch. Yaani bila pitch uwanja wa mpira una maana gani? Yaani unahangaika na rangi, redio, windshield sijui airfreshener wakati gari engine mbovu! Mashabiki wanaenda uwanjani kujisaidia haja ndogo? Yote kwa yote hata hayo tu yaliyoorodheshwa bado hayajatimia!
7
 
Mama Mitano Tena. CCM Hawana Aibu, Wao Ni Kubwata
 
na sio mnaishia kusema ccm ccm
tufanye mabadiko sasa
 
Uwanja haukuisha matengenezo mkaanza kuutumia tena🤷🏾‍♂️
 
I don't want to believe that this very detailed thread has engaged only 78 people...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji706][emoji706][emoji706]
This amazes me in this forum.
Andika kiswahili
 
Back
Top Bottom