Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Kwa pozi hizi wewe usitafute mchawi Msigwa yuko sahihi kabisa
 
Huyu shoga masikio yake hayasikii vizuri. Msigwa alisema kama lile gazeti halikufungiwa LABDA,alisema LABDA zile habari zilithibitishwa.
Ndiyo ile posting posting yangu niliandika jana kuhusu Musiba moderator ameiondoa. Mambo anayoandika Musiba yanaweza kuwa ya ajabu sana lakini yakawa kweli.
Viongozi wanaweza kufanya makosa. B
Viongozi siyo malaika. Wamejenga madaraja,wamejenga zahanati,unataka nini tena toka kwao?
Kwa mfano Magufu alikuwa anawakumbatia watoto hadharani kwenye jukwaa. Ilitakiwa wapambe wake wawaalike wale watoto ili Mkulu aweze kuomgea nao kwa sababu akifanya mambo yale hadharani it can cost him his life.
Inaonyesha disconnect kati ya dikteta na wapambe wake.
 
Mashallah mtoto wa watu
Kwani UONGO kwamba unapumuliwa
 
Kama Msemaji wa Serikali amesema sisi ni nani wa kumpinga?
Mtu anapolalamika kuwa ameonewa ana haki zote....msemaji wa serikali ni mhukumu wa kuzuia watu kulalamikia wanayoona si sawa kwao?!!!Khaa 😳😳
 
Kama Msemaji wa Serikali amesema sisi ni nani wa kumpinga?
Pole sana ndugu Sufian. Nenda mahakamani tume ya madaktari wabobezi itaundwa kwa weledi na umakini mkubwa watachunguza kama una marinda au umepoteza marinda. Ikithibitishwa pasipo shaka kwamba hujachokonolewa na sphincter zako hazijalegea fungua kesi ya madai utalipwa pesa nyingi mno pia watakuomba radhi.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Mtu anapolalamika kuwa ameonewa ana haki zote....msemaji wa serikali ni mhukumu wa kuzuia watu kulalamikia wanayoona si sawa kwao?!!!Khaa [emoji15][emoji15]
Sasa kuja kulalamikia humu JF unaona ni njia sahihi? Unaona alivyojivua nguo.
 
Mbona unatumia nguvu nyingi sana kutetea kuliko muhanga mwenyewe?

Naanza kuliona tatizo kwako!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…