Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Gerson Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu

Naona imekuuma sana kwa uvccm mwenzako kuumbuliwa na mwana ccm mwenzenu
Imeniuma kwelikweli....

Kwani hakuna mwenye HATIMILIKI ya kumchafua mwenzake hadharani.....

Msigwa ni msomi sikutegemea aongee vile....

Kwani kila swali wanaloulizwa wanahabari huwa wanajibu?!!!
 
Imeniuma kwelikweli....

Kwani hakuna mwenye HATIMILIKI ya kumchafua mwenzake hadharani.....

Msigwa ni msomi sikutegemea aongee vile....

Kwani kila swali wanaloulizwa wanahabari huwa wanajibu?!!!
Msigwa ni bosi wenu na hakuna wa kumfanya chochote wala kuinua pua yake juu yake.

Kama mnafanya hizi tabia za kisheitwan wacheni mkafanye matubio ili msamehewe na jamii ya watanzania.
 
Jumbe Brown hivi ushahidi ukipatikana itakuaješŸ˜Ž
Mama D mbona unachukua upande kwa kitu usicho na ushahidi nacho?!!

Hivi matendo mabaya ya kulawitiana yanafanyika hadharani ?!!

Hivi kuna mwenye HATIMILIKI ya kuingilia faragha za watu?!!!

Unadhani mahakamani ni rahisi kwa mtu kujitetea kuwa ana ushahidi kuwa aliingia faraghani na kuwafuma wawili wakilawitiana?!!!

Kama kijana wa chama ambacho tunapambana kila uchao sidhani ni afya kuchafuana hata kama ni kweli....hivi humu nchini tunayasikia mangapi ya tabia za hovyo za baadhi ya watu?!!! ndio tuongee hadharani ?!!!

Leo tunashabikia la Suphian...kesho tutazidi kuifungua milango ya KUCHAFUANA HOVYOHOVYO....

1) Binadamu wote ni sawa

2)Kila mtu anastahili heshima ya KUTAMBULIWA NA KUTHAMINIWA UTU WAKE

#SiempreJMT
 
Msigwa ni bosi wenu na hakuna wa kumfanya chochote wala kuinua pua yake juu yake.

Kama mnafanya hizi tabia za kisheitwan wacheni mkafanye matubio ili msamehewe na jamii ya watanzania.
Msigwa ni boss wa CCM ?!!!

Kwa hiyo akiwa ametuzidi kivyeo na kiushawishi serikalini ndio TUSISEME PALE MTU AKOSEAPO?!!!

Siku zote mnatuambia kuwa sisi UVCCM kazi yetu KUUNGA MKONO TU HOJA....tukikosoa mnatutafutia lawama zingine.....

Kwa hiyo unichafue bila ya ushahidi hadharani na nikilalamika UNIFUNGE MDOMO?!!! Khaaa 😳😳😳

Hivi mnajua gharama za "character assassination" ?!!!

N.B Sijatetea ushoga....kwani huko mitaani umejaa japo ni kosa kisheria....je kwa hizo tabia mbaya umeshaona watu wakipelekwa mahakamani makumi kwa mamia?!!!

Endelea kuwa msukure wa Mbowe....
 
Naona hata wewe inawezekana ni mwanachama wa hiyo kazi.

Mnalitia taifa na ccm aibu kubwa sana
Sawa kama wewe ndiye "bwana wangu".....

Mkuu unajiabisha kwa MASHAMBULIZI yako yasiyo ya kiweledi.....
 
Nikasomaaaaaa weeee nikaona angalau kidogo umeandika vizuri ila

Utata ni picha tu pichaaaaaaaaa


Kingine siku zote ulikua wapi kupeleka kipeperushi Cha musiba mahakamani Ndio uje Leo kulia Lia humu?
Chukua hatua acha kulia Lia halafu acha kua mlenda mlenda Arif au kweli Nini?
 
RAIS WANGU SAMIA, MSEMAJI MKUU WA SERIKALI, GERSON MSIGWA ANIOMBE RADHI HADHARANI.

Mheshimiwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wangu wa Chama cha Mapinduzi,

Awali ya yote naomba nikupe Pole na hongera kwa majukumu mazito unayoendelea kutufanyia kwa weledi na mafanikio makubwa sisi wananchi wako wa Watanzania tangu uingie Ikulu miezi sita sasa. Kwa majina naitwa Suphian Juma Nkuwi, ni Mtanzania Mzaliwa wa Kijiji cha Minyughe, Wilaya ya Ikungi, mkoa wa Singida.

Rais wangu na Mwenyekiti wangu wa Chama cha Mapinduzi Taifa, kwa kuzingatia Ibara ya 12 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na Katiba ya Chama cha Mapinduzi sehemu ya Kwanza, fungu la 4. Imani (1) Binadamu wote ni sawa (2) kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake;

Kwa masikitiko makubwa kupitia barua hii ya wazi napenda kuleta malalamiko yangu mbele ya ofisi yako takatifu kwamba Msaidizi wako, Gerson Msigwa ambaye kwa sasa ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Septemba 18, 2021 akihojiwa na Mtangazaji katika kituo cha habari cha Star TV () alitamka kwamba habari iliyochapishwa ukurasa wa mbele, Aprili 20, 2019 na gazeti la Tanzanite iliyosomeka kwamba "SHOGA AWACHANGANYA ZITTO, MAALIM SEIF" kwamba ILITHIBITISHWA ndio maana gazeti hilo la ndugu Cyprian Musiba halikuwahi kufungiwa na Serikali.

Rais wangu, ndani ya habari hiyo mwathirika aliyetambulishwa kama 'shoga' kwa majina na picha ni mimi. Na kwa hakika haikuwa habari ya kweli kwani natambua mapenzi ya jinsia moja si tu ni kinyume na sheria zetu za Tanzania bali pia maadili na tamaduni zetu haziruhusu. Na mbaya zaidi gazeti hilo linalofahamika nchini kama 'bingwa' wa kuchafua VIONGOZI wa Chama, Serikali, wanasiasa na Wanaharakati halikuwahi kunitafuta kabla ya kutoa habari hiyo ovu kama alivyodai ndugu Msigwa.

Hivyo, kauli hiyo potofu kutoka kwa Kiongozi Mkubwa kabisa wa Serikali yetu si tu imezua tafrani mtandaoni bali pia hadi naandika barua hii kwako imeendelea kunidhalilisha na kuusigina Utu wangu mbele ya familia yangu, ndugu, jamaa na marafiki zangu na kuniharibia taswira yangu na hata majukumu yangu ya kila siku kama Mtanzania na Mwanasiasa mchanga mwenye ndoto ya kuijenga nchi yake kwa wivu mkubwa.

Kwa kuzingatia ofisi yako ni tegemewa kwa kutoa haki, naomba ndugu Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu hadharani, ili tu si kufuta kashfa hiyo kwangu bali pia kuondoa tafsiri potovu kwamba Ofisi yako tukufu na hata Chama chetu cha Mapinduzi kimempa nafasi nyeti mtu asiye makini na asiyeona aibu kutamka kauli za uwongo mbele ya umma. Vinginevyo, nitaomba ruhusa ya ofisi yako niendelee kutafuta haki yangu kwa njia zingine ikiwemo njia za kisheria.

Aidha, Rais wangu kabla ya kukuandikia barua hii ya wazi, naomba pia kukujulisha kwamba Octoba 1, 2021 nilishawahi kutuma barua ya malalamiko haya kwako dhidi ya Msemaji Mkuu wa Serikali kupitia barua pepe ya Ofisi ya Rais Ikulu press@ikulu.go.tz ambapo kwa barua hiyo niliambatanisha kopi ya gazeti la Tanzanite lililonichafua na kipande cha video cha ndugu Gerson Msigwa akibariki kashfa hiyo dhalilishi kupitia Star TV. Ingawa sikupatiwa mrejesho wowote wa barua pepe hiyo hadi naandika barua hii ya wazi kwako.

Natanguliza Samahani kwa usumbufu. Na natumaini ombi langu litafanyiwa kazi mapema. Nakutakia kazi njema Rais wangu na Mwenyekiti wangu wa Chama cha Mapinduzi na Mwenyezi Mungu azidi kukutunza.

Raia wako mwema,
Suphian Juma,
Singida, Tanzania
Octoba 7, 2021.
Email: yessuphian@gmail.com
Phone: 0717027973

View attachment 1966980


Gerson aliyumba sana siku ile. Msemaji wa serikali sio mtu wa kutumia misamiati kama vile HUENDA, INAWEZEKANA, LABDA, KAMA, nk.

Naona hata kamanda wa dawati la jinsia ktk jeshi la polisi ana akili kama ya Gerson. Wote akili zao zinatawaliwa na mitetemo ya kishoga-shoga.

Kisanyasi mashoga ni 1% ya watu wote duniani, na hivyo, kwa njia ya mzunguko, sawa na 1% ya watu katika Taifa.

Kwa hiyo, ni mtu mwenye skewed mind pekee anayeweza kuifanya topiki ya ushoga kuwa ajenda kuu ya kitaifa.

Kadhalika, katika Biblia yenye mistari 31,000 kuna mistari 6 tu inayoongelea ulawiti, sawa na 0.019%.

Kwa hiyo, ni mtu mwenye skewed mind pekee anayeweza kuifanya topiki ya ushoga kuwa ajenda kuu ya kikanisa.

Serikali zetu zinapaswa kuchukua hatua dhidi ya propaganda za kishoga kwa kusisitiza elimu rasmi ya ujinsia. Naongelea sexology.

Nasikia TIE wako wanaboresha mitaala. Natamani wangelitupia jicho tatizo hili.
 
Hata wewe nibwabwa mwenzie.
Duuh 😳😳

Mkuu umenichafua sana....

Kwa kuwa humu ni ANONYMOUS basi jipigie makofi kwa kunichafua huko......

Nilitegemea utakuja na kuuweka ushahidi wa mimi kuwa "bwabwa"....


Ubarikiwe sana aaaminšŸ™
 
Mama D mbona unachukua upande kwa kitu usicho na ushahidi nacho?!!

Hivi matendo mabaya ya kulawitiana yanafanyika hadharani ?!!

Hivi kuna mwenye HATIMILIKI ya kuingilia faragha za watu?!!!

Unadhani mahakamani ni rahisi kwa mtu kujitetea kuwa ana ushahidi kuwa aliingia faraghani na kuwafuma wawili wakilawitiana?!!!

Kama kijana wa chama ambacho tunapambana kila uchao sidhani ni afya kuchafuana hata kama ni kweli....hivi humu nchini tunayasikia mangapi ya tabia za hovyo za baadhi ya watu?!!! ndio tuongee hadharani ?!!!

Leo tunashabikia la Suphian...kesho tutazidi kuifungua milango ya KUCHAFUANA HOVYOHOVYO....

1) Binadamu wote ni sawa

2)Kila mtu anastahili heshima ya KUTAMBULIWA NA KUTHAMINIWA UTU WAKE

#SiempreJMT


Ili msamaha uombwe si lazima kuwe na uthibitisho wa kukanusha?

Haya mambo Sufiani ameyaleta humu kwanini?? Alitaka fedheha? Au alitaka promo?
 
RAIS WANGU SAMIA, MSEMAJI MKUU WA SERIKALI, GERSON MSIGWA ANIOMBE RADHI HADHARANI.

Mheshimiwa Rais wa Tanzania na Mwenyekiti wangu wa Chama cha Mapinduzi,

Awali ya yote naomba nikupe Pole na hongera kwa majukumu mazito unayoendelea kutufanyia kwa weledi na mafanikio makubwa sisi wananchi wako wa Watanzania tangu uingie Ikulu miezi sita sasa. Kwa majina naitwa Suphian Juma Nkuwi, ni Mtanzania Mzaliwa wa Kijiji cha Minyughe, Wilaya ya Ikungi, mkoa wa Singida.

Rais wangu na Mwenyekiti wangu wa Chama cha Mapinduzi Taifa, kwa kuzingatia Ibara ya 12 ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 na Katiba ya Chama cha Mapinduzi sehemu ya Kwanza, fungu la 4. Imani (1) Binadamu wote ni sawa (2) kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake;

Kwa masikitiko makubwa kupitia barua hii ya wazi napenda kuleta malalamiko yangu mbele ya ofisi yako takatifu kwamba Msaidizi wako, Gerson Msigwa ambaye kwa sasa ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Septemba 18, 2021 akihojiwa na Mtangazaji katika kituo cha habari cha Star TV () alitamka kwamba habari iliyochapishwa ukurasa wa mbele, Aprili 20, 2019 na gazeti la Tanzanite iliyosomeka kwamba "SHOGA AWACHANGANYA ZITTO, MAALIM SEIF" kwamba ILITHIBITISHWA ndio maana gazeti hilo la ndugu Cyprian Musiba halikuwahi kufungiwa na Serikali.

Rais wangu, ndani ya habari hiyo mwathirika aliyetambulishwa kama 'shoga' kwa majina na picha ni mimi. Na kwa hakika haikuwa habari ya kweli kwani natambua mapenzi ya jinsia moja si tu ni kinyume na sheria zetu za Tanzania bali pia maadili na tamaduni zetu haziruhusu. Na mbaya zaidi gazeti hilo linalofahamika nchini kama 'bingwa' wa kuchafua VIONGOZI wa Chama, Serikali, wanasiasa na Wanaharakati halikuwahi kunitafuta kabla ya kutoa habari hiyo ovu kama alivyodai ndugu Msigwa.

Hivyo, kauli hiyo potofu kutoka kwa Kiongozi Mkubwa kabisa wa Serikali yetu si tu imezua tafrani mtandaoni bali pia hadi naandika barua hii kwako imeendelea kunidhalilisha na kuusigina Utu wangu mbele ya familia yangu, ndugu, jamaa na marafiki zangu na kuniharibia taswira yangu na hata majukumu yangu ya kila siku kama Mtanzania na Mwanasiasa mchanga mwenye ndoto ya kuijenga nchi yake kwa wivu mkubwa.

Kwa kuzingatia ofisi yako ni tegemewa kwa kutoa haki, naomba ndugu Msigwa aniombe radhi hadharani kupitia chombo cha habari alichonichafulia jina na Utu wangu hadharani, ili tu si kufuta kashfa hiyo kwangu bali pia kuondoa tafsiri potovu kwamba Ofisi yako tukufu na hata Chama chetu cha Mapinduzi kimempa nafasi nyeti mtu asiye makini na asiyeona aibu kutamka kauli za uwongo mbele ya umma. Vinginevyo, nitaomba ruhusa ya ofisi yako niendelee kutafuta haki yangu kwa njia zingine ikiwemo njia za kisheria.

Aidha, Rais wangu kabla ya kukuandikia barua hii ya wazi, naomba pia kukujulisha kwamba Octoba 1, 2021 nilishawahi kutuma barua ya malalamiko haya kwako dhidi ya Msemaji Mkuu wa Serikali kupitia barua pepe ya Ofisi ya Rais Ikulu press@ikulu.go.tz ambapo kwa barua hiyo niliambatanisha kopi ya gazeti la Tanzanite lililonichafua na kipande cha video cha ndugu Gerson Msigwa akibariki kashfa hiyo dhalilishi kupitia Star TV. Ingawa sikupatiwa mrejesho wowote wa barua pepe hiyo hadi naandika barua hii ya wazi kwako.

Natanguliza Samahani kwa usumbufu. Na natumaini ombi langu litafanyiwa kazi mapema. Nakutakia kazi njema Rais wangu na Mwenyekiti wangu wa Chama cha Mapinduzi na Mwenyezi Mungu azidi kukutunza.

Raia wako mwema,
Suphian Juma,
Singida, Tanzania
Octoba 7, 2021.
Email: yessuphian@gmail.com
Phone: 0717027973

View attachment 1966980

Hivi kweli wewe na shati lako zuri namna hiyo kutoka chama dume upakuliwe na viongozi wa chama jike!!!
 
Kumbe kuna muda misemo ya wahenga huwa siyo sahihi. Kwa mfano huu wa meno ya mbwa hayaumani,kwa scenario hii naona yameumana kwa hakika.
 
Back
Top Bottom