Nyanje
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 763
- 680
msigwa ni chawa suguGerson Msigwa ana mihemko ya uongozi. Mwandishi wa Mwananchi hajavunja Sheria yoyote, na wala hamna uchochezi alioufanya. Uchawa ni tatizo jipya la afya ya akili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
msigwa ni chawa suguGerson Msigwa ana mihemko ya uongozi. Mwandishi wa Mwananchi hajavunja Sheria yoyote, na wala hamna uchochezi alioufanya. Uchawa ni tatizo jipya la afya ya akili
Mimi ni field yangu.Kuna ethics za journalism na sheria za uandishi wa habari.Mfumo wa Elimu Tanzania, unawafanya wengi kua na Vyeti ila hawana Maarifa.
Msigwa afaham ( japo sio taaluma yangu) Mwandishi huzingatia sana uchaguzi wa Kichwa Cha habari yake ili kuvutia wasomaji wake.
"machafuko DRC kufunga Barbara nne Dar "... hii humfanya msomaji atamani kujua Kwa namna gan MMachafuko ya DRC yanafunga Barbara za Dar ?.
Ndan yake Sasa ndo utakua maelezo ya Msigwa !!.
Msigwa yeye anataka Mwandishi aandike ' Ujio wa Viongozi wa EAC na SADC kujadili mgogoro DRC kupelekwa Barabara nne kufungwa" ....... Hii imeshaondoa Hamasa ya msomaji kufatilia maana tayari kilichoandikwa Kwa undani, kipo hapo juu.
MSIGWA HANA WELEDI WOWOTE .
kiukweli wamekosea hiyo Headline yaoWakuu,
Msigwa kaamua kuchagua vayolensi na kusema Mwananchi imefanya uchochezi kwa kusema barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.
Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?
Sasa hapo uchochezi uko wapi Mkuu Gerson Msigwa![]()
![]()
? Kwani mkutano huu umetoka sababu ya nini? Nna lengo la mkutano huu ni nini? Au wanakutana kwaajili ya kunywa kahawa na kupiga umbea?
Mpaka uchaguzi upite tutaona mengi aisee! Mwananchi imeufyata shwaaaa maana wanajua mna sehemu ya kuwaminyia, wasije wakapigwa kabali nyingine na kuambiwa watafunguliwa mwezi wa 11, 2025.
Mnaenda kuua ubunifu kwenye sekta hii kwa kuwa tu mtu fulani anafikiri kilakitu kikiandikwa anasemwa yeye na utawala wake. Haya ni matokeo ya utawala na viongozi duni kwenye nafasi muhimu na nyeti. Kungekuwa na utawala bora na uwajibikaji msingekuwa mnafanya mambo kwa hisia na kujipendekeza utafikiri hamna chembe ya dignity mliyobaki nayo.
Nimebubujikwa machozi ya huzuni
Pia soma: Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC
Pengine miongoni mwa div 1 ya point 7 ktk ile shule ambayo kila siku I atoke namba 1 kidato cha 4. Yaani stMfumo wa Elimu Tanzania, unawafanya wengi kua na Vyeti ila hawana Maarifa.
Msigwa afaham ( japo sio taaluma yangu) Mwandishi huzingatia sana uchaguzi wa Kichwa Cha habari yake ili kuvutia wasomaji wake.
"machafuko DRC kufunga Barbara nne Dar "... hii humfanya msomaji atamani kujua Kwa namna gan MMachafuko ya DRC yanafunga Barbara za Dar ?.
Ndan yake Sasa ndo utakua maelezo ya Msigwa !!.
Msigwa yeye anataka Mwandishi aandike ' Ujio wa Viongozi wa EAC na SADC kujadili mgogoro DRC kupelekwa Barabara nne kufungwa" ....... Hii imeshaondoa Hamasa ya msomaji kufatilia maana tayari kilichoandikwa Kwa undani, kipo hapo juu.
MSIGWA HANA WELEDI WOWOTE .
Wakuu,
Msigwa kaamua kuchagua vayolensi na kusema Mwananchi imefanya uchochezi kwa kusema barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.
Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?
Sasa hapo uchochezi uko wapi Mkuu Gerson Msigwa![]()
![]()
? Kwani mkutano huu umetoka sababu ya nini? Nna lengo la mkutano huu ni nini? Au wanakutana kwaajili ya kunywa kahawa na kupiga umbea?
Mpaka uchaguzi upite tutaona mengi aisee! Mwananchi imeufyata shwaaaa maana wanajua mna sehemu ya kuwaminyia, wasije wakapigwa kabali nyingine na kuambiwa watafunguliwa mwezi wa 11, 2025.
Mnaenda kuua ubunifu kwenye sekta hii kwa kuwa tu mtu fulani anafikiri kilakitu kikiandikwa anasemwa yeye na utawala wake. Haya ni matokeo ya utawala na viongozi duni kwenye nafasi muhimu na nyeti. Kungekuwa na utawala bora na uwajibikaji msingekuwa mnafanya mambo kwa hisia na kujipendekeza utafikiri hamna chembe ya dignity mliyobaki nayo.
Nimebubujikwa machozi ya huzuni
Pia soma: Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC
Akili fupi haiwezi kuona ujinga ulipo kwenye hiyo heading!ujinga uko wapi hapo au wewe unaetafsiri tofauti ndio mjinga
Gazeti la Mwananchi ni adui wa serikali siku nyingi. Ingekuwa Magu hao mbwa wangeshafungiwa na kufukuzwa nchini.Wakuu,
Msigwa kaamua kuchagua vayolensi na kusema Mwananchi imefanya uchochezi kwa kusema barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.
Pia soma: Pre GE2025 - Hali ya Vyombo vya Habari kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025: Kuna uhuru wa kutosha katika utekelezaji wa majukumu yao?
Sasa hapo uchochezi uko wapi Mkuu Gerson Msigwa![]()
![]()
? Kwani mkutano huu umetoka sababu ya nini? Nna lengo la mkutano huu ni nini? Au wanakutana kwaajili ya kunywa kahawa na kupiga umbea?
Mpaka uchaguzi upite tutaona mengi aisee! Mwananchi imeufyata shwaaaa maana wanajua mna sehemu ya kuwaminyia, wasije wakapigwa kabali nyingine na kuambiwa watafunguliwa mwezi wa 11, 2025.
Mnaenda kuua ubunifu kwenye sekta hii kwa kuwa tu mtu fulani anafikiri kilakitu kikiandikwa anasemwa yeye na utawala wake. Haya ni matokeo ya utawala na viongozi duni kwenye nafasi muhimu na nyeti. Kungekuwa na utawala bora na uwajibikaji msingekuwa mnafanya mambo kwa hisia na kujipendekeza utafikiri hamna chembe ya dignity mliyobaki nayo.
Nimebubujikwa machozi ya huzuni
Pia soma: Barabara nne Dar kufungwa kuimarisha Usalama mkutano wa SADC na EAC kujadili mzozo wa DRC
Rubbish, Hilo li takataka sahivi halina wasomaji wanalazimisha kuandika uzushi huo ni utapeliMfumo wa Elimu Tanzania, unawafanya wengi kua na Vyeti ila hawana Maarifa.
Msigwa afaham ( japo sio taaluma yangu) Mwandishi huzingatia sana uchaguzi wa Kichwa Cha habari yake ili kuvutia wasomaji wake.
"machafuko DRC kufunga Barbara nne Dar "... hii humfanya msomaji atamani kujua Kwa namna gan MMachafuko ya DRC yanafunga Barbara za Dar ?.
Ndan yake Sasa ndo utakua maelezo ya Msigwa !!.
Msigwa yeye anataka Mwandishi aandike ' Ujio wa Viongozi wa EAC na SADC kujadili mgogoro DRC kupelekwa Barabara nne kufungwa" ....... Hii imeshaondoa Hamasa ya msomaji kufatilia maana tayari kilichoandikwa Kwa undani, kipo hapo juu.
MSIGWA HANA WELEDI WOWOTE .
We mbwa usitukane mfumo wa elimu yetu, huo mfumo ulioutumia ww umekusaidia nn, bwege kwl.Mfumo wa Elimu Tanzania, unawafanya wengi kua na Vyeti ila hawana Maarifa.
Msigwa afaham ( japo sio taaluma yangu) Mwandishi huzingatia sana uchaguzi wa Kichwa Cha habari yake ili kuvutia wasomaji wake.
"machafuko DRC kufunga Barbara nne Dar "... hii humfanya msomaji atamani kujua Kwa namna gan MMachafuko ya DRC yanafunga Barbara za Dar ?.
Ndan yake Sasa ndo utakua maelezo ya Msigwa !!.
Msigwa yeye anataka Mwandishi aandike ' Ujio wa Viongozi wa EAC na SADC kujadili mgogoro DRC kupelekwa Barabara nne kufungwa" ....... Hii imeshaondoa Hamasa ya msomaji kufatilia maana tayari kilichoandikwa Kwa undani, kipo hapo juu.
MSIGWA HANA WELEDI WOWOTE .
Bwege lingine hiliUmemaliza yote Mkuu, ngoja nimtag hapa asafishe poda na unga wa ndele Gerson Msigwa
Kama pia nawe usilazimishe watu na fikra za ukilaza na kimaskini kama hizoumsiwalazimishe watu wawe na fikra zenu za uchizi
Sahv Kuna mtu anasubiri kupata habari magazetini? Uwongo na uzushi siyo elimu, Wala ushawishi. Huo ni utapeli na uwiziHizi ni lugha za kuvutia usomaji kwa mtu ambaye yuko informed na bila shaka mtu atakayesoma gazeti atakuwa anafuatilia habari na anajua kuwa wanamaanisha machafuko ya drc yameleta viongozi dar na barabara zitafungwa.
Onesha uhuni wake halafu mimi nikufunze poetic license.Tukubali Mwananchi wameandika KIHUNI. HILI LIPO WAZI KABISA. KICHWA CHA HABARI NI CHA KIHUNI
Uwe mzalendo kwa nchi yako huna nchi nyingine. Usisahau Trump anawarudisha ndg zako maana kule siyo kwao. Hao wakenya hauwajawahi kuwa na jema na nchi yetu. Amkeni kwao huwezi fanya hivyokweli mkuu kwa hili sikupingi..shida ni kwa watawala wetu wengi ni vilaza wenye akili mgando hawajui hilo badala yake wataishia kufungia chombo husika na kukukomoa tu..kwa hivi mwananchi walivyoandika si ajabu kusikia hao mwananchi wamefungiwa..
We bwege kwlujinga uko wapi hapo au wewe unaetafsiri tofauti ndio mjinga
barabara 4 Dar zimefungwa kwa muda sababu ya mgogoro wa DRC na M23.

Halafu wote wanaokandia Elimu ya Nchi yetu wamesoma kwa kupitia mfumo huu huu wa Elimu.We mbwa usitukane mfumo wa elimu yetu, huo mfumo ulioutumia ww umekusaidia nn, bwege kwl.
Hata uandishi wa vichwa vya habari mtandaoni vinaandikwa kuvutia watu kusoma. Hiyo ni sanaa kama sanaa nyingine. Kama hujasikia habari na ukakutana na kichwa cha habari cha hivyi utavutiwa kusoma.Sahv Kuna mtu anasubiri kupata habari magazetini? Uwongo na uzushi siyo elimu, Wala ushawishi. Huo ni utapeli na uwizi
Kwa uandishi wako tu wa sentensi mbili inaonyesha hujui lolote kuhusu uandishi.Tukubali Mwananchi wameandika KIHUNI. HILI LIPO WAZI KABISA. KICHWA CHA HABARI NI CHA KIHUNI
Kama wewe ni mwandishi unakosoa kichwa Cha habari Cha mwananchi una shida mahali.Mimi ni field yangu.Kuna ethics za journalism na sheria za uandishi wa habari.
Kama Editor unaweza kuweka a catching headline lakini ni lazima iwe inabeba unachokusudia wasomaji wapate bila kuwa na conclusion zinazoweza kuleta maana nyingine.
Sensational headlines kwenye chombo makini cha habari kinaweza kupoteza umakini wa chombo cha habari kwani msomaji anaposoma headline na conclude bila kupata ushahidi wa alichosoma kwenye habari yenyewe.
Huu mtindo unatumika sana kwenye clip za You Tube ili kupata followers na idadi ya wasomaji na wasikilizaji.
Mwananchi wamevunja sheria na kanuni inabidi waombe radhi.