Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Msemaji wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa amesema kwamba ni vema Wadau wakavuta subira badala ya kutaka kila aliyetajwa kwenye ripoti ya CAG achukuliwe hatua, yapo maeneo ambayo ni lazima yapitiwe upya ili kujiridhisha na kila lililotajwa.
Amedai kwamba unaweza kumchukulia mtu hatua kumbe hana makosa na pengine ripoti ya CAG ndio iliyokosewa.
Toa Maoni yako.
=========================
UPDATES...
Baada ya taarifa hiyo kusambaa, Msigwa ametumia ukurasa wake wa kijamii kutoa ufafanuzi wa kile alichokizungumza kwa kuandika: "Nilichokisema kuhusu ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) baada ya kuulizwa swali na Watangazaji wa EA Radio leo asubuhi. PUUZENI ile screenshot inayoenezwa ikiwa imemega maneno machache yanayoleta TAHARUKI (spinning)."
Amedai kwamba unaweza kumchukulia mtu hatua kumbe hana makosa na pengine ripoti ya CAG ndio iliyokosewa.
Toa Maoni yako.
=========================
UPDATES...
Baada ya taarifa hiyo kusambaa, Msigwa ametumia ukurasa wake wa kijamii kutoa ufafanuzi wa kile alichokizungumza kwa kuandika: "Nilichokisema kuhusu ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) baada ya kuulizwa swali na Watangazaji wa EA Radio leo asubuhi. PUUZENI ile screenshot inayoenezwa ikiwa imemega maneno machache yanayoleta TAHARUKI (spinning)."