Gerson Msigwa karibu Idara ya Habari Maelezo, kitovu cha majungu, nyumba ya lawama ikiwa utakubali kutumika

Gerson Msigwa karibu Idara ya Habari Maelezo, kitovu cha majungu, nyumba ya lawama ikiwa utakubali kutumika

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kuna Tofauti kubwa sana kati ya kuwa Msemaji wa Ikulu na kuwa Msemaji wa Serikali ama kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo , Ikulu unaongea wewe tu na wala huhojiwi na mtu yeyote , kuna maswali uchwara tu yaliyojaa uoga uoga hivi , tena unaweza hata usiyajibu na shughuli ikaisha tu.

Idara ya Habari Maelezo haina mchezo na wala hakuna mtu atakuogopa kwa lolote, kifupi ni kwamba umeletwa kwenye moto ambako weledi wako ndio utakaokuokoa, hata hivyo naamini awamu ya Mama haitakuwa na fungia fungia Vyombo vya habari , vinginevyo hapo ndio mahali ambapo ungejibebea lawama za milele na laana kubwa mno .

Kimsingi umeshushwa kutoka juu na kuporomokea kwenye tanuri la moto , sasa jiongeze mwenyewe .

Kwa leo ni hayo tu mjomba , ukitaka mengine nipigie .
 
Kuna Tofauti kubwa sana kati ya kuwa Msemaji wa Ikulu na kuwa Msemaji wa Serikali ama kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo , Ikulu unaongea wewe tu na wala huhojiwi na mtu yeyote , kuna maswali uchwara tu yaliyojaa uoga uoga hivi , tena unaweza hata usiyajibu na shughuli ikaisha tu.

Idara ya Habari Maelezo haina mchezo na wala hakuna mtu atakuogopa kwa lolote , kifupi ni kwamba umeletwa kwenye moto ambako weledi wako ndio utakaokuokoa , hata hivyo naamini awamu ya Mama haitakuwa na fungia fungia Vyombo vya habari , vinginevyo hapo ndio mahali ambapo ungejibebea lawama za milele na laana kubwa mno .

kimsingi umeshushwa kutoka juu na kuporomokea kwenye tanuri la moto , sasa jiongeze mwenyewe .

Kwa leo ni hayo tu mjomba , ukitaka mengine nipigie .
Pasco sasa hivi is tightly crossing his fingers akiomba iyo nafasi ya Garson anayohama apate.

Mungu amjalie tu jamaa
 
Kuna Tofauti kubwa sana kati ya kuwa Msemaji wa Ikulu na kuwa Msemaji wa Serikali ama kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo , Ikulu unaongea wewe tu na wala huhojiwi na mtu yeyote , kuna maswali uchwara tu yaliyojaa uoga uoga hivi , tena unaweza hata usiyajibu na shughuli ikaisha tu.

Idara ya Habari Maelezo haina mchezo na wala hakuna mtu atakuogopa kwa lolote , kifupi ni kwamba umeletwa kwenye moto ambako weledi wako ndio utakaokuokoa , hata hivyo naamini awamu ya Mama haitakuwa na fungia fungia Vyombo vya habari , vinginevyo hapo ndio mahali ambapo ungejibebea lawama za milele na laana kubwa mno .

kimsingi umeshushwa kutoka juu na kuporomokea kwenye tanuri la moto , sasa jiongeze mwenyewe .

Kwa leo ni hayo tu mjomba , ukitaka mengine nipigie .
Mwandishi gani unaemuona anaweza kuuliza swali hao makanjanja wenye kuandika habari kwa elfu 10!
 
Kuna Tofauti kubwa sana kati ya kuwa Msemaji wa Ikulu na kuwa Msemaji wa Serikali ama kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo , Ikulu unaongea wewe tu na wala huhojiwi na mtu yeyote , kuna maswali uchwara tu yaliyojaa uoga uoga hivi , tena unaweza hata usiyajibu na shughuli ikaisha tu.

Idara ya Habari Maelezo haina mchezo na wala hakuna mtu atakuogopa kwa lolote , kifupi ni kwamba umeletwa kwenye moto ambako weledi wako ndio utakaokuokoa , hata hivyo naamini awamu ya Mama haitakuwa na fungia fungia Vyombo vya habari , vinginevyo hapo ndio mahali ambapo ungejibebea lawama za milele na laana kubwa mno .

kimsingi umeshushwa kutoka juu na kuporomokea kwenye tanuri la moto , sasa jiongeze mwenyewe .

Kwa leo ni hayo tu mjomba , ukitaka mengine nipigie .
Weka namba zako sasa
 
Kuna Tofauti kubwa sana kati ya kuwa Msemaji wa Ikulu na kuwa Msemaji wa Serikali ama kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo , Ikulu unaongea wewe tu na wala huhojiwi na mtu yeyote , kuna maswali uchwara tu yaliyojaa uoga uoga hivi , tena unaweza hata usiyajibu na shughuli ikaisha tu.

Idara ya Habari Maelezo haina mchezo na wala hakuna mtu atakuogopa kwa lolote , kifupi ni kwamba umeletwa kwenye moto ambako weledi wako ndio utakaokuokoa , hata hivyo naamini awamu ya Mama haitakuwa na fungia fungia Vyombo vya habari , vinginevyo hapo ndio mahali ambapo ungejibebea lawama za milele na laana kubwa mno .

kimsingi umeshushwa kutoka juu na kuporomokea kwenye tanuri la moto , sasa jiongeze mwenyewe .

Kwa leo ni hayo tu mjomba , ukitaka mengine nipigie .
Kama aliweza kukaa TBC hapo Maelezo patamshinda nini?
 
Wewe ni mvuvi wa samaki aina ya 'ngorokoro' pale kwenu Kyela. Pia itakua unakoboa Mpunga pale sokoni kalumbulu. Hali yako ya kimaisha itakua kama mimi tu... Twende CCM wakatukomboe

Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Mweee Mweeee !! umenikumbusha ngorokolo mkuu , aiseeee !!! Mungu ibariki Kyela
 
Back
Top Bottom