Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haijalishi wewe umezungumzia majungu!TBC alikuwa nani ?
Anabakia kuwa Katibu mkuu wa wizara!Dr Abass amestaafu au?
Kyela kwa sasa ni Kambare mkuu, kalumbulu nako kumepoa hadi mwezi wa mavuno kwahiyo wacha tu tuwe wahandishi wa habari kwa muda[emoji16]Wewe ni mvuvi wa samaki aina ya 'ngorokoro' pale kwenu Kyela. Pia itakua unakoboa Mpunga pale sokoni kalumbulu. Hali yako ya kimaisha itakua kama mimi tu... Twende CCM wakatukomboe
Sent from my Android using JamiiForums mobile app
Ataibariki mara ngapi mkuu!!? [emoji16][emoji16]Mweee Mweeee !! umenikumbusha ngorokolo mkuu , aiseeee !!! Mungu ibariki Kyela
Kabakiwa na cheo cha Katibu Mkuu habari , mambo ya kofia mbili hayoDr Abass amestaafu au?
Tangu lini Kapuku anapigwa majungu , panda cheo uoneHaijalishi wewe umezungumzia majungu!
Sasa mbona Chadema mnampiga majungu Nusrat Henje?Tangu lini Kapuku anapigwa majungu , panda cheo uone
Idara ya habari maelekezo ni kijiwe, sidhani kama OC wanapata kwa muda aisee, kwa kweli pale atasugua sana gaga, kama mama amempleka pale kwa lengo la promotion nadhani qmempeleka sehemu isiyofaa hata kwa mantiki yake lkn kama ameamua kumkomesha atakomesheka hasa.Kuna Tofauti kubwa sana kati ya kuwa Msemaji wa Ikulu na kuwa Msemaji wa Serikali ama kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo , Ikulu unaongea wewe tu na wala huhojiwi na mtu yeyote , kuna maswali uchwara tu yaliyojaa uoga uoga hivi , tena unaweza hata usiyajibu na shughuli ikaisha tu.
Idara ya Habari Maelezo haina mchezo na wala hakuna mtu atakuogopa kwa lolote , kifupi ni kwamba umeletwa kwenye moto ambako weledi wako ndio utakaokuokoa , hata hivyo naamini awamu ya Mama haitakuwa na fungia fungia Vyombo vya habari , vinginevyo hapo ndio mahali ambapo ungejibebea lawama za milele na laana kubwa mno .
kimsingi umeshushwa kutoka juu na kuporomokea kwenye tanuri la moto , sasa jiongeze mwenyewe .
Kwa leo ni hayo tu mjomba , ukitaka mengine nipigie .
Mm nimefurahi tu sijaona popte jina la bwana HASSAN ABASI. Huyu bwana alikuwa kwenye mpango au genge la kutaka magufuli aongezwe muda. Abasi mwanasheria wa hovyo sana kati ya niliowahi kuwajua.Kuna Tofauti kubwa sana kati ya kuwa Msemaji wa Ikulu na kuwa Msemaji wa Serikali ama kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo , Ikulu unaongea wewe tu na wala huhojiwi na mtu yeyote , kuna maswali uchwara tu yaliyojaa uoga uoga hivi , tena unaweza hata usiyajibu na shughuli ikaisha tu.
Idara ya Habari Maelezo haina mchezo na wala hakuna mtu atakuogopa kwa lolote , kifupi ni kwamba umeletwa kwenye moto ambako weledi wako ndio utakaokuokoa , hata hivyo naamini awamu ya Mama haitakuwa na fungia fungia Vyombo vya habari , vinginevyo hapo ndio mahali ambapo ungejibebea lawama za milele na laana kubwa mno .
kimsingi umeshushwa kutoka juu na kuporomokea kwenye tanuri la moto , sasa jiongeze mwenyewe .
Kwa leo ni hayo tu mjomba , ukitaka mengine nipigie .
Abasi jeAnabakia kuwa Katibu mkuu wa wizara!
Abbas ni Katibu mkuu wizara ya habari, utamaduni sanaa na michezo!Mm nimefurahi tu sijaona popte jina la bwana HASSAN ABASI. Huyu bwana alikuwa kwenye mpango au genge la kutaka magufuli aongezwe muda. Abasi mwanasheria wa hovyo sana kati ya niliowahi kuwajua.
Imbelele ndio kila kitu mwaisaMweee Mweeee !! umenikumbusha ngorokolo mkuu , aiseeee !!! Mungu ibariki Kyela
Ila Kyela samaki zinauzwa ghali sana Aiseee !!Imbelele ndio kila kitu mwaisa
Hahaha nimekuelewa sana mkuu, by the way natamani kurudi tena kyela.. ule mchele unanukia vzr sana ukipikwaKyela kwa sasa ni Kambare mkuu, kalumbulu nako kumepoa hadi mwezi wa mavuno kwahiyo wacha tu tuwe wahandishi wa habari kwa muda[emoji16]
Nasikia mbasa anauzwa Bei ghari SanaIla Kyela samaki zinauzwa ghali sana Aiseee !!
Kutoka ikulu mpaka wizarani ni kupanda cheo au ikoje ikoje hii yaani?.Msigwa kapandishwa cheo. Hongera nyingi kwake.