Halafu sio tu Wazarani, bali ni Idara iliyochoka ambayo haina bajeti ya maana.Kutoka ikulu mpaka wizarani ni kupanda cheo au ikoje ikoje hii yaani?.
CHUKUA: mfano huu wa Katibu mkuu kiongozi, Bashiru.
Watumishi kwenye hiyo Idara wamepauka vibaya na ndio wanafanya majungu tu kwenye maofisi ya umma.
Msigwa sijui amemkosea nini Mama ila ndio hivyo tena.