Gerson Msigwa: Matunda Matamu Ya Siku 150 Za DP World Bandarini, Serikali Yakusanya Billion 325

Gerson Msigwa: Matunda Matamu Ya Siku 150 Za DP World Bandarini, Serikali Yakusanya Billion 325

Acheni basi zile zilikua danganya toto...nyie bado mnakumbuka 😂😂
Naona wivu unawasumbueni sana kwa sasa. Hampendi kuona tukfanikiwa japo mkiwa pembeni mnakubali wenyewe kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu Mpendwa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama ameifungua Nchi na Sasa Asali na Maziwa vinatiririka na kumiminika Tu hapa Nchini.kwa hakika kila mmoja analamba asali Kiganjani mwake.Embu nisiwachoshe na kuwapunguzia Utamu .

soma hapo chini👎

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matunda ya uwekezaji wa DP World katika Bandari ya Dar es salaam yameanza kuonekana ambapo katika kipindi cha miezi mitano tangu ianze kuendesha Bandari hiyo Serikali ya Tanzania imekusanya Tsh. bilioni 325

Akiongea Jijini Dar es salaam leo December 19,2024, Msigwa amesema “Tumeanza kuona matunda matamu ya DP World ndani ya kipindi kifupi sana, tangu kampuni ya DP World Dar es salaam ianze uendeshaji katika Bandari ya Dar es salaam mwezi April 2024, tumepata mafanikio yafuatayo, kwa mujibu wa mkataba kampuni ya DP World ambayo kwetu Tanzania inakuwa DP World Dar es salaam inapaswa kuwekeza USD mil 250 (Tsh.bilioni 675) katika kipindi cha miaka mitano, sasa katika kipindi cha miezi mitano tu tayari kampuni hii imeshawekeza Tsh. bilioni 214.425 na hii ni sawa na 31% ya uwekezaji tuliotarajia katika kipindi cha miaka mitano”

“Maana yake huko nyuma kulikuwa na maneno tumeweka Wasanii sijui nini watakuja sasa hapa kwa lugha ya Kikinga we mean business na tutasimamia mkataba huu kuhakiksha maslahi ya Watanzania yanalindwa”

“Ukarabati wa mitambo iliyokuwa ya TPA imefanyika na usimikaji wa mifumo ya TEHAMA ya uendeshaji wa Bandari umefanyika, sasa manufaa mengine ambayo wakati ule tuliyaimba sana tukaitwa Wasanii na mambo mengine mengi, wastani wa muda wa meli kusubiri wakati ule meli zetu zilikuwa zinasubiri siku 46 nyingine hadi siku 70 lakini sasa hivi meli zinasubiri kwa siku 7 maana yake tunapunguza gharama ambazo Serikali kupitia TPA imekuwa ikiwalipa wenye meli kutokana na meli zao kusubiri muda mrefu kushusha mizigo, na hiyo ni wastani lakini zipo meli hazisubiri kabisa, meli za makasha hakuna kusubiri zikija zinashusha zinaondoka”

“Tunaendesha bandari kwa faida, tulikuwa tunaendesha bandari kwa hasara, katika kipindi cha miezi mitano tangu DP World waanze kazi Serikali imefanikiwa kukusanya Tsh. bilioni 325.3 ikiwa ni mapato yanayotokana na shughuli za mikataba iliyoingia kati ya TPA na DP World, haya ni maeneo ambayo tulipotoshwa sana tumeanza kupata faida”
#MillardAyoUPDATESView attachment 3180294

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Si mlisema trillion 2 Kwa mwezi zipo wapi?
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama ameifungua Nchi na Sasa Asali na Maziwa vinatiririka na kumiminika Tu hapa Nchini.kwa hakika kila mmoja analamba asali Kiganjani mwake.Embu nisiwachoshe na kuwapunguzia Utamu .

soma hapo chini👎

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matunda ya uwekezaji wa DP World katika Bandari ya Dar es salaam yameanza kuonekana ambapo katika kipindi cha miezi mitano tangu ianze kuendesha Bandari hiyo Serikali ya Tanzania imekusanya Tsh. bilioni 325

Akiongea Jijini Dar es salaam leo December 19,2024, Msigwa amesema “Tumeanza kuona matunda matamu ya DP World ndani ya kipindi kifupi sana, tangu kampuni ya DP World Dar es salaam ianze uendeshaji katika Bandari ya Dar es salaam mwezi April 2024, tumepata mafanikio yafuatayo, kwa mujibu wa mkataba kampuni ya DP World ambayo kwetu Tanzania inakuwa DP World Dar es salaam inapaswa kuwekeza USD mil 250 (Tsh.bilioni 675) katika kipindi cha miaka mitano, sasa katika kipindi cha miezi mitano tu tayari kampuni hii imeshawekeza Tsh. bilioni 214.425 na hii ni sawa na 31% ya uwekezaji tuliotarajia katika kipindi cha miaka mitano”

“Maana yake huko nyuma kulikuwa na maneno tumeweka Wasanii sijui nini watakuja sasa hapa kwa lugha ya Kikinga we mean business na tutasimamia mkataba huu kuhakiksha maslahi ya Watanzania yanalindwa”

“Ukarabati wa mitambo iliyokuwa ya TPA imefanyika na usimikaji wa mifumo ya TEHAMA ya uendeshaji wa Bandari umefanyika, sasa manufaa mengine ambayo wakati ule tuliyaimba sana tukaitwa Wasanii na mambo mengine mengi, wastani wa muda wa meli kusubiri wakati ule meli zetu zilikuwa zinasubiri siku 46 nyingine hadi siku 70 lakini sasa hivi meli zinasubiri kwa siku 7 maana yake tunapunguza gharama ambazo Serikali kupitia TPA imekuwa ikiwalipa wenye meli kutokana na meli zao kusubiri muda mrefu kushusha mizigo, na hiyo ni wastani lakini zipo meli hazisubiri kabisa, meli za makasha hakuna kusubiri zikija zinashusha zinaondoka”

“Tunaendesha bandari kwa faida, tulikuwa tunaendesha bandari kwa hasara, katika kipindi cha miezi mitano tangu DP World waanze kazi Serikali imefanikiwa kukusanya Tsh. bilioni 325.3 ikiwa ni mapato yanayotokana na shughuli za mikataba iliyoingia kati ya TPA na DP World, haya ni maeneo ambayo tulipotoshwa sana tumeanza kupata faida”
#MillardAyoUPDATESView attachment 3180294

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wao DP world wamepata kiasi gani maana wanakusanya trillion 2 kila mwezi harafu sisi wanatupa billioni 10 tu
 
Ok
Naona wivu unawasumbueni sana kwa sasa. Hampendi kuona tukfanikiwa japo mkiwa pembeni mnakubali wenyewe kazi kubwa inayofanywa na Rais wetu Mpendwa
Mzee nitolee uchawa wako apa nakula kwa hela yangu, kwa jasho langu, serikali yako ya CCM haina msaada kwangu, wapate bilion wapate trillion mwisho wa siku v8 ni za Mama samia na wateule wake wananchi wa kawaida tunakula kwa jasho letu.
 
Ok

Mzee nitolee uchawa wako apa nakula kwa hela yangu, kwa jasho langu, serikali yako ya CCM haina msaada kwangu, wapate bilion wapate trillion mwisho wa siku v8 ni za Mama samia na wateule wake wananchi wa kawaida tunakula kwa jasho letu.
Ndio ni lazma ile kwa jasho lako kwenyewe.Au ulitaka ule kwa jasho langu huku ukibubujikwa na machozi. Kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi na rafiki huku ikiendelea kutoa na kusogeza karibu huduma zote muhimu.
 
Ndio ni lazma ile kwa jasho lako kwenyewe.Au ulitaka ule kwa jasho langu huku ukibubujikwa na machozi. Kazi ya serikali ni kuweka mazingira wezeshi na rafiki huku ikiendelea kutoa na kusogeza karibu huduma zote muhimu.
So what the https://jamii.app/JFUserGuide should i care about?
 
Kwani wewe ni kipofu mpaka huoni ziliko kwenda? Kwamba huoni barabara zikiendelea kujengwa?huoni shule za msingi kwa sekondari zikiendelea kujengwa?huoni mishahara ya watumishi wa umma ikiendelea kuwahi kutoka? Huoni ajira kwa vijana zikiendelea kutolewa? Huoni huduma za afya zikiendelea kuboreshwa? Huoni namna madawa ,vifaa tiba na wataalamu wa afya wakiendelea kujaa katika vituo vya afya mpaka hospitali za kanda mpaka Taifa? Huoni namna serikali inavyotoa ruzuku katika kilimo? Huoni serikali namna inavyonunua mazao ya wakulima kwa bei nzuri na yenye kuleta tabasamu kwa wakulima?
Wamekusanya hizo,hamjatuambia wakitoa gharama zote chengi ni kiasi gani. Tunaomba jibu. Kama makusanyo ya DPW yamefanya hayo yote uliyosema,hakuna haja tena kwa watanzania kulipa kodi yoyote. DPW hoyeeee.
 
Wamekusanya hizo,hamjatuambia wakitoa gharama zote chengi ni kiasi gani. Tunaomba jibu. Kama makusanyo ya DPW yamefanya hayo yote uliyosema,hakuna haja tena kwa watanzania kulipa kodi yoyote. DPW hoyeeee.
Kodi ni lazima uendelee kulipa maana ndio msingi wa Maendeleo wa Taifa lolote lile.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Kwa hakika Mama ameifungua Nchi na Sasa Asali na Maziwa vinatiririka na kumiminika Tu hapa Nchini.kwa hakika kila mmoja analamba asali Kiganjani mwake.Embu nisiwachoshe na kuwapunguzia Utamu .

soma hapo chini👎

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema matunda ya uwekezaji wa DP World katika Bandari ya Dar es salaam yameanza kuonekana ambapo katika kipindi cha miezi mitano tangu ianze kuendesha Bandari hiyo Serikali ya Tanzania imekusanya Tsh. bilioni 325

Akiongea Jijini Dar es salaam leo December 19,2024, Msigwa amesema “Tumeanza kuona matunda matamu ya DP World ndani ya kipindi kifupi sana, tangu kampuni ya DP World Dar es salaam ianze uendeshaji katika Bandari ya Dar es salaam mwezi April 2024, tumepata mafanikio yafuatayo, kwa mujibu wa mkataba kampuni ya DP World ambayo kwetu Tanzania inakuwa DP World Dar es salaam inapaswa kuwekeza USD mil 250 (Tsh.bilioni 675) katika kipindi cha miaka mitano, sasa katika kipindi cha miezi mitano tu tayari kampuni hii imeshawekeza Tsh. bilioni 214.425 na hii ni sawa na 31% ya uwekezaji tuliotarajia katika kipindi cha miaka mitano”

“Maana yake huko nyuma kulikuwa na maneno tumeweka Wasanii sijui nini watakuja sasa hapa kwa lugha ya Kikinga we mean business na tutasimamia mkataba huu kuhakiksha maslahi ya Watanzania yanalindwa”

“Ukarabati wa mitambo iliyokuwa ya TPA imefanyika na usimikaji wa mifumo ya TEHAMA ya uendeshaji wa Bandari umefanyika, sasa manufaa mengine ambayo wakati ule tuliyaimba sana tukaitwa Wasanii na mambo mengine mengi, wastani wa muda wa meli kusubiri wakati ule meli zetu zilikuwa zinasubiri siku 46 nyingine hadi siku 70 lakini sasa hivi meli zinasubiri kwa siku 7 maana yake tunapunguza gharama ambazo Serikali kupitia TPA imekuwa ikiwalipa wenye meli kutokana na meli zao kusubiri muda mrefu kushusha mizigo, na hiyo ni wastani lakini zipo meli hazisubiri kabisa, meli za makasha hakuna kusubiri zikija zinashusha zinaondoka”

“Tunaendesha bandari kwa faida, tulikuwa tunaendesha bandari kwa hasara, katika kipindi cha miezi mitano tangu DP World waanze kazi Serikali imefanikiwa kukusanya Tsh. bilioni 325.3 ikiwa ni mapato yanayotokana na shughuli za mikataba iliyoingia kati ya TPA na DP World, haya ni maeneo ambayo tulipotoshwa sana tumeanza kupata faida”
#MillardAyoUPDATES

View attachment 3180294

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Msigwa anatuona watanzania wajinga sana????

Kabla ya hapo ilikuwa 901 kwa mwaka, ambapo ukigawanya unapata 75 kwa mwezi, wakati hiyo unapata 65 billion kwa mwezi!!

Huyu jamaa anatuona watanzania kama KENGE sio🤔🤔
 
Ujinga mtupu, serikali ilitakiwa ikusanye trillion 1 kwa mwezi kutoka bandarini
 
Back
Top Bottom