Pre GE2025 Gerson Msigwa: Uchaguzi hauwezi kukosekana kwa sababu ya kauli ya mtu mmoja

Pre GE2025 Gerson Msigwa: Uchaguzi hauwezi kukosekana kwa sababu ya kauli ya mtu mmoja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Abraham Lincolnn

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2018
Posts
2,754
Reaction score
4,975
Wakuu,

Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, akihojiwa kwenye kipindi cha Joto la Asubuhi kinachoruka hewani kupitia E-FM amenukuliwa akisema:

“Uchaguzi hauwezi kukosekana kwa sababu ya kauli ya mtu mmoja, uchaguzi unafanyika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na uchaguzi unaandaliwa, sasa mtu kama ana mambo yake ayapeleke kwenye mamlaka yatafanyiwa kazi, lakini hauwezi kukurupa ukasema hakuna uchaguzi.”

“Tumejipanga kuhakikisha maandalizi yote ya uchaguzi yanafanyika, ili watanzania watumie haki yao ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa.”



GkDhN9pWUAA_iA6.jpeg
 
Jiandikishe
 

Attachments

  • FB_IMG_1739862999295.jpg
    FB_IMG_1739862999295.jpg
    76.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1739863016102.jpg
    FB_IMG_1739863016102.jpg
    93.8 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1739863020937.jpg
    FB_IMG_1739863020937.jpg
    94.1 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1739863027959.jpg
    FB_IMG_1739863027959.jpg
    106 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1739863036896.jpg
    FB_IMG_1739863036896.jpg
    103.8 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1739863043612.jpg
    FB_IMG_1739863043612.jpg
    86.2 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1739863049236.jpg
    FB_IMG_1739863049236.jpg
    93.2 KB · Views: 2
  • FB_IMG_1739863055348.jpg
    FB_IMG_1739863055348.jpg
    109.7 KB · Views: 1
  • FB_IMG_1739863060366.jpg
    FB_IMG_1739863060366.jpg
    78.5 KB · Views: 2
Mr GERSON Msigwa; The Permanent Secretary of Information, Culture, Arts and Sports & Chief Government Spokesperson of Tanzania, hapo je ? @Abraham Lincolnn
Nimetafuta neno "NEC" katika utambulisho wako sijauona, maana yake si mtu sahihi wa kutolea ufafanuzi wa masuala ya Uchaguzi ambayo yanapaswa kuratibiwa na Tume huru ya uchaguzi.
 
Nimetafuta neno "NEC" katika utambulisho wako sijauona, maana yake si mtu sahihi wa kutolea ufafanuzi wa masuala ya Uchaguzi ambayo yanapaswa kuratibiwa na Tume huru ya uchaguzi.
Ndo hapo sasa. Yaaani msemaji wa Serikali ndo anaisemea Tume ya Uchaguzi?

Ndo mana nawaelewa sana Chadema wanavyosema No Reform No Election. CCM wanawaona watanzania wajinga sana kwa kweli.
 
Nimetafuta neno "NEC" katika utambulisho wako sijauona, maana yake si mtu sahihi wa kutolea ufafanuzi wa masuala ya Uchaguzi ambayo yanapaswa kuratibiwa na Tume huru ya uchaguzi.
neno NEC hautaliona, lakini huo ndyo msimamo wa NEC/Serikali 😀
 
NI KWELI YAANI LISSU TU NDIYO AFANYE UCHAGUSI SIWEPO? LISSU NI KAKITU GANI KWANI?
Katika muktadha wa kuonyeshana umwamba anachokiongea ni kweli, lakini kama binadamu tuliostaarabika bila shaka iyo sio njia sahihi ya kumpinga Lissu.

Msigwa kama msemaji wa serikali, angezipinga hoja za Lissu sio kumpiga Lissu kama Lissu
 
Back
Top Bottom