erasto Samwel
Member
- Sep 10, 2024
- 78
- 91
Nakazia hapo kwa kuongezea masisiemu yameshatujua sisi ni majinga hatuwezi kuwafanya chochote na ni kweli sisi watz tuwajinga😬Ndo hapo sasa. Yaaani msemaji wa Serikali ndo anaisemea Tume ya Uchaguzi?
Ndo mana nawaelewa sana Chadema wanavyosema No Reform No Election. CCM wanawaona watanzania wajinga sana kwa kweli.
