erasto Samwel
Member
- Sep 10, 2024
- 78
- 91
Nakazia hapo kwa kuongezea masisiemu yameshatujua sisi ni majinga hatuwezi kuwafanya chochote na ni kweli sisi watz tuwajinga😬Ndo hapo sasa. Yaaani msemaji wa Serikali ndo anaisemea Tume ya Uchaguzi?
Ndo mana nawaelewa sana Chadema wanavyosema No Reform No Election. CCM wanawaona watanzania wajinga sana kwa kweli.
Husitafsiri swali, jibu hoja! Nitajie nchi ambayo wewe unasema tume ya uchaguzi ipo huru kwelikweli, nitajie walau nchi 1 tu, pia unaweza kuongeza kama unazifahamu zaidiSo unakubaliana na Lissu na Chadema kuwa chombo hiki hakiko free sio?
Kwa swali lako unaamaanisha kuwa watu wanaoteuliwa na Rais wanakuwa controlled na Rais?
Anachofanya Msigwa kwa wenye akili hata wasio na akili anathibitisha hoja ya Chadema kuwa Tume sio chombo huru na anathibitisha kuwa No Reform No Election
Mi sio mtanzania mjinga, labda weweNakazia hapo kwa kuongezea masisiemu yameshatujua sisi ni majinga hatuwezi kuwafanya chochote na ni kweli sisi watz tuwajinga😬
Ukiwa mfaidika wa system uwezi kuona uozo, upo tayari kutetea hadi ujinga
siyo watu wa mfumo, siasa ni career kama zingine, so you always chase the best paying job, yenye mazingira rafiki na security ya kueleweka, ndyo walichofanya hao waheshimiwa
Why are u bothered by their fornication, it seems you're missing💝 them deeply😂Hapana. Hao ni MALAYA wa Kisiasa.
Why are u bothered by their fornication, it seems you're missing💝 them deeply😂
you're very unfair, Hilo swali ni kama kutunga final exam kwa topic ambazo hazikufundishwa😂Husitafsiri swali, jibu hoja! Nitajie nchi ambayo wewe unasema tume ya uchaguzi ipo huru kwelikweli, nitajie walau nchi 1 tu, pia unaweza kuongeza kama unazifahamu zaidi
.then why are u deeply troubled, while they are enjoying their career, achieving their ultimate dreams?Missing them...!? You got to be kidding!!
Mimi nitashiriki uchaguzi kura Siri yanguWakuu,
Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, akihojiwa kwenye kipindi cha Joto la Asubuhi kinachoruka hewani kupitia E-FM amenukuliwa akisema:
“Uchaguzi hauwezi kukosekana kwa sababu ya kauli ya mtu mmoja, uchaguzi unafanyika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na uchaguzi unaandaliwa, sasa mtu kama ana mambo yake ayapeleke kwenye mamlaka yatafanyiwa kazi, lakini hauwezi kukurupa ukasema hakuna uchaguzi.”
“Tumejipanga kuhakikisha maandalizi yote ya uchaguzi yanafanyika, ili watanzania watumie haki yao ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa.”
Wao wagome wengine wataendelea ma uchaguzi 😂😂Lissu ni Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani. Anazungumza kwa niaba ya Watanzania waliopp katika chama chake kama jinsi huyo kijana anavyozungumza kwa niaba ya watesi.
Duh! Huu mkate utakuwa na siagiWakuu,
Gerson Msigwa Msemaji Mkuu wa Serikali, akihojiwa kwenye kipindi cha Joto la Asubuhi kinachoruka hewani kupitia E-FM amenukuliwa akisema:
“Uchaguzi hauwezi kukosekana kwa sababu ya kauli ya mtu mmoja, uchaguzi unafanyika kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na uchaguzi unaandaliwa, sasa mtu kama ana mambo yake ayapeleke kwenye mamlaka yatafanyiwa kazi, lakini hauwezi kukurupa ukasema hakuna uchaguzi.”
“Tumejipanga kuhakikisha maandalizi yote ya uchaguzi yanafanyika, ili watanzania watumie haki yao ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa.”
Hamna cha mwamposa Wala upuuzi wowote! Fisiemu ni laana kwa nchi hii!Angejua tuko wengi sana tunaotaka mambo yawekwe sawa kabla ya uchaguzi. Mbona wanaogopa sana hawa jamaa. Hata wakiwa na Mtume wao mwamposa tutawapiga chini.