Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

Gervonta Davis abadili dini na kuwa Muislamu siku ya leo

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
-59442235.jpg


Hakika "Itakapofika nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, watu wataanza kuingia katika dini yake yeye makundi kwa makundi"

Hatimaye bondia machachari kutoka Marekani Gervonta Davis (Tank) hatimaye siku ya leo amebadili dini na kuwa Muislamu.

Hakika ni habari njema sana kwa kuamua kuifata dini ya haki na kufuata njia iliyonyooka.

Pongezi nyingi kwake zimfikie.

Gervonta Davis ana rekodi ya kupambana mapambano 29, 27 ameshinda kwa K.O mawili ameshinda kwa Unanimous Decision (UD) hajawahi kupigwa Wala kutoa sare.

Ikumbukwe hata Devin Haney naye alibadili dini na ni muislamu safi sana na huwa anakwenda kuhiji mara kwa mara.

Devin Haney na Gervonta wapo kwenye mazungumzo huenda mwakani tukaona pambano lao.

Video hii hapa akitamka shahada.

 
Uislamu unasema kitimoto ni haram

Uislamu unasema tattoo ni haram

Lakini mtu mwenye tattoo anayetoka dini nyingine anakaribishwa vizuri kwenye uislamu. Na zile story za tattoo haram hutazisikia tena.


Mnaruhusuje mtu haramu aje kuinajisi dini?

Au hizo tattoo mtazifuta?

Mike Tyson naye alisilimu na ana tattoo kubwa kwenye jicho mbali na hilo ana project yake ya kutengeneza pipi za sikio zenye kionjo cha ganja yani bangi na kaifanya juzi hapo akiwa bado muslamu.

Bado mtasema dini yenu haichezewi?

Kesho akisilimu shoga mtakuja tena humu kupost kama ishara ya uislamu kukubalika?

Anyway haiwezi kuwa story kubwa kwasababu alisha silimu Lodovic Mohamed Zahed ambaye ni homosexual na ni mpigania haki za LGBT

Wote wa kina Imam Daayiee Abdullah huyu naye alikuwa mkristo aliyebatizwa kabisa nakumbuka hadi Al Jeezera waliwahi kuandika habari yake

Huyu pia naye ni shoga na anaongoza waumini msikitini.

Inatakiwa ujivunie pia na huyu kwa kuukubali uislamu.

Ukimkataa huyu au ukaona hafai kumtumia kujivunia kwakuona anauchafua uislamu kwakua anafanya jambo ambalo dini imekataza, basi unatakiwa uwe na misimamo hiyo hiyo na kwa hao wenye tattoo na wavuta ganja.
 
Uislamu unasema kitimoto ni haram

Uislamu unasema tattoo ni haram

Lakini mtu mwenye tattoo anayetoka dini nyingine anakaribishwa vizuri kwenye uislamu. Na zile story za tattoo haram hutazisikia tena.


Mnaruhusuje mtu haramu aje kuinajisi dini?

Au hizo tattoo mtazifuta?

Mike Tyson naye alisilimu na ana tattoo kubwa kwenye jicho mbali na hilo ana project yake ya kutengeneza pipi za sikio zenye kionjo cha ganja yani bangi na kaifanya juzi hapo akiwa bado muslamu.

Bado mtasema dini yenu haichezewi?

Kesho akisilimu shoga mtakuja tena humu kupost kama ishara ya uislamu kukubalika?

Anyway haiwezi kuwa story kubwa kwasababu alisha silimu Lodovic Mohamed Zahed ambaye ni homosexual na ni mpigania haki za LGBT

Wote wa kina Imam Daayiee Abdullah huyu naye alikuwa mkristo aliyebatizwa kabisa nakumbuka hadi Al Jeezera waliwahi kuandika habari yake

Huyu pia naye ni shoga na anaongoza waumini msikitini.

Inatakiwa ujivunie pia na huyu kwa kuukubali uislamu.

Ukimkataa huyu au ukaona hafai kumtumia kujivunia kwakuona anauchafua uislamu kwakua anafanya jambo ambalo dini imekataza, basi unatakiwa uwe na misimamo hiyo hiyo na kwa hao wenye tattoo na wavuta ganja.
Yote uliyoyafanya kabla ya Uislam yanasamehewa. Simpo.
 
Boxer mwengine huyu anasilimu na wenzake:

All praises belong to Allaah! Professional heavyweight boxer, JARRELL MILLER, has embraced Al-Islam along with his cousin & his trainer. May Allaah guide them and make them firm upon this religion.
 
Uislamu unasema kitimoto ni haram

Uislamu unasema tattoo ni haram

Lakini mtu mwenye tattoo anayetoka dini nyingine anakaribishwa vizuri kwenye uislamu. Na zile story za tattoo haram hutazisikia tena.


Mnaruhusuje mtu haramu aje kuinajisi dini?

Au hizo tattoo mtazifuta?

Mike Tyson naye alisilimu na ana tattoo kubwa kwenye jicho mbali na hilo ana project yake ya kutengeneza pipi za sikio zenye kionjo cha ganja yani bangi na kaifanya juzi hapo akiwa bado muslamu.

Bado mtasema dini yenu haichezewi?

Kesho akisilimu shoga mtakuja tena humu kupost kama ishara ya uislamu kukubalika?

Anyway haiwezi kuwa story kubwa kwasababu alisha silimu Lodovic Mohamed Zahed ambaye ni homosexual na ni mpigania haki za LGBT

Wote wa kina Imam Daayiee Abdullah huyu naye alikuwa mkristo aliyebatizwa kabisa nakumbuka hadi Al Jeezera waliwahi kuandika habari yake

Huyu pia naye ni shoga na anaongoza waumini msikitini.

Inatakiwa ujivunie pia na huyu kwa kuukubali uislamu.

Ukimkataa huyu au ukaona hafai kumtumia kujivunia kwakuona anauchafua uislamu kwakua anafanya jambo ambalo dini imekataza, basi unatakiwa uwe na misimamo hiyo hiyo na kwa hao wenye tattoo na wavuta ganja.
Hizo tattoo alizichora akiwa hayupo kwenye Uislamu.
 
Boxer mwengine huyu anasilimu na wezake:

All praises belong to Allaah! Professional heavyweight boxer, JARRELL MILLER, has embraced Al-Islam along with his cousin & his trainer. May Allaah guide them and make them firm upon this religion.
View attachment 2852064
Jarrel Miller jina la utani anaitwa Big Baby.
 
Uislamu unasema kitimoto ni haram

Uislamu unasema tattoo ni haram

Lakini mtu mwenye tattoo anayetoka dini nyingine anakaribishwa vizuri kwenye uislamu. Na zile story za tattoo haram hutazisikia tena.


Mnaruhusuje mtu haramu aje kuinajisi dini?

Au hizo tattoo mtazifuta?

Mike Tyson naye alisilimu na ana tattoo kubwa kwenye jicho mbali na hilo ana project yake ya kutengeneza pipi za sikio zenye kionjo cha ganja yani bangi na kaifanya juzi hapo akiwa bado muslamu.

Bado mtasema dini yenu haichezewi?

Kesho akisilimu shoga mtakuja tena humu kupost kama ishara ya uislamu kukubalika?

Anyway haiwezi kuwa story kubwa kwasababu alisha silimu Lodovic Mohamed Zahed ambaye ni homosexual na ni mpigania haki za LGBT

Wote wa kina Imam Daayiee Abdullah huyu naye alikuwa mkristo aliyebatizwa kabisa nakumbuka hadi Al Jeezera waliwahi kuandika habari yake

Huyu pia naye ni shoga na anaongoza waumini msikitini.

Inatakiwa ujivunie pia na huyu kwa kuukubali uislamu.

Ukimkataa huyu au ukaona hafai kumtumia kujivunia kwakuona anauchafua uislamu kwakua anafanya jambo ambalo dini imekataza, basi unatakiwa uwe na misimamo hiyo hiyo na kwa hao wenye tattoo na wavuta ganja.
Mtu akisilimu madhambi yote ya nyuma anasamehewa .

Kuhusu tattoo uharamu wake unabaki vilevile kusilimu akiwa na tattoo haifanyi kuwa halali , kama ingekuwa ameselinu huku anabiashara haramu mfano Danguro ,Vilevi nk basi ingekuwa jukumu lake kuachana na hivyo haraka iwezekanavyo kwani ni katika uasi mkubwa . Ikiwa tattoo inauwezekano kufuta bila madhara yeyote itakuwa Wajibu kufuta kama haiwezekani ataishi nazo hivyohivyo Ila haitompasa yeye kufurahia hali hiyo na kujifaharisha nayo ..
images.jpeg


Kuhusu hao mashoga msimamo wa Uislamu unaeleweka vyema ni katika madhambi makubwa ,kama amesilimu halafu anaendelea na mambo hayo na ameonywa basi Dini inaelekeza huyo sio mwenzetu katika dini ...
 
Boxer mwengine huyu anasilimu na wezake:

All praises belong to Allaah! Professional heavyweight boxer, JARRELL MILLER, has embraced Al-Islam along with his cousin & his trainer. May Allaah guide them and make them firm upon this religion.
View attachment 2852064
Nami nataka nisilimu, nitafutie binti mmoja wa kizanzibar hapo Paje au Kizimkazi basi Dada yangu.
 
Back
Top Bottom