mchekanapori
Member
- Aug 3, 2012
- 50
- 51
Watanzania!!!
Kuna kitu kinaitwa surface ownership. Kipo hata MAREKANI.
Sasa surface owner kama hana rights za ownership of mineral underlying their property, ndio mnafikishana hapo mlipo fika. Nyie si mna WABUNGE, SASA KAZI YAO NI NINI? Ni kupiga kelele tu CCM wabaya, lakini hawajui Dunia inaendaje. Please people. Google :Surface Owner: Mkisha pata Wafundishe WABUNGE WENU MNAO WASIFIA KWA KUWAITA MAJEMBE KWENYE CENTURY YA COMPUTER TECH.
Schiendler
Kumbe na wewe unayajua haya??? then kwanini unajitoa ufahamu na CCM? ni maslahi binafsi au ninin? ewe mtanzania mwenzangu amka angalia yanayoendelea hapa kwetu then tumia akili yako ipasavyo!!! naamini sio kila siku wewe ni jingalao amka fanya mabadiliko.pasco unadhani kwa nini opinion za wengi zinaonyesha kuichoka ccm?sababu ni hizi hizi.ccm haijali maslahi ya nchi,ccm inaogopa wawekezaji badala ya sisi wapiga kura.hata lowassa akishika madaraka hataweza kwenda kinyume na sera za ccm.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kipindi hiki ulikua haupokei buku 7?pasco unadhani kwa nini opinion za wengi zinaonyesha kuichoka ccm?sababu ni hizi hizi.ccm haijali maslahi ya nchi,ccm inaogopa wawekezaji badala ya sisi wapiga kura.hata lowassa akishika madaraka hataweza kwenda kinyume na sera za ccm.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Kitendo cha rais Magufuli kupiga marufuku kusafirishwa kwa mchanga wa dhahabu, kiukweli tulikuwa tunaibiwa sana. Tukishindwa kuisafishia nchini, wawekezaji hao wafungashe na kuondoka zao, tutachimba na kusafisha wenyewe.Wanabodi,
Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.
Kumbe na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupe!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!"
Hebu soma hapa chini!.
After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
on sea)
- Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
- Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
- There should be only one plant.
- The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
- The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
MY TAKE!.
- KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
- MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
- GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.
2. Eti gesi hiyo haina thamani yoyote kwetu huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.
Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!.
Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
Maajabu ya Tanzania: kumbe bomba la gesi linatumika kwa 6% tu na 94% halina kazi. tupimwe akili jmnKitendo cha rais Magufuli kupiga marufuku kusafirishwa kwa mchanga wa dhahabu, kiukweli tulikuwa tunaibiwa sana. Tukishindwa kuisafishia nchini, wawekezaji hao wafungashe na kuondoka zao, tutachimba na kusafisha wenyewe.
Tumekuja kugundua when it's too late, ila kwenye gesi nako tunaibiwa!. Rais Magufuli ziangazie hizo PSA 24 zilizosha sainiwa, ni wizi mtupu! . Kama vipi nao wafungashe tutajenga uwezo tuje tuichimbe gesi yetu wenyewe na faida yote iwe yetu.
Paskali
Nchi hii ilikuwa inaenda shimoni. Wizi kila upande....tena wizi mtupu. Mpaka kwa wale waliopenda kujiuza kama wazalendo...watanashatiMaajabu ya Tanzania: kumbe bomba la gesi linatumika kwa 6% tu na 94% halina kazi. tupimwe akili jmn
UFISADI katika Mradi wa Bomba la Gesi: Serikali imechakachua bei(?)
Huku ndiko kwenye ufisadi mkubwa unaitwa "The Grand Corruptions". Tumuombe Rais Magufuli akimaliza ya Mchanga wa dhahabu ageukie gesi asili ambako nako tunaibiwa mchana kweupe.
Paskali
Huo Mchanga hatuna uhakika wa kutoka na ushindiMaajabu ya Tanzania: kumbe bomba la gesi linatumika kwa 6% tu na 94% halina kazi. tupimwe akili jmn
UFISADI katika Mradi wa Bomba la Gesi: Serikali imechakachua bei(?)
Huku ndiko kwenye ufisadi mkubwa unaitwa "The Grand Corruptions". Tumuombe Rais Magufuli akimaliza ya Mchanga wa dhahabu ageukie gesi asili ambako nako tunaibiwa mchana kweupe.
Paskali
Wanabodi,
Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa be
i ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.
Kumbe na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupe!. Hatun
a Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!"
Hebu soma hapa chini!.
After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
on sea)
- Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
- Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
- There should be only one plant.
- The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
- The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
MY TAKE!.
- KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
- MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
- GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.
2. Eti gesi hiyo haina thamani yoyote kwetu huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.
Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!.
Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
Wanabodi
Kumbe na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupe!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!.
MY TAKE!.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.
2. Eti gesi hiyo haina thamani yoyote kwetu huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.
Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!.
Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
Mkuu Aotomata, sorry I'd like to differ kwa sababu Pwani ya nchi yetu ni very safe due to neema ya gesi asili, mwanzo JWTZ walitumika ku escort meli dhidi ya uharamia lakini ugunduzi wa gesi asili umetuletea neema za ulinzi, makampuni makubwa ya gesi yametoa kondarasi za ulinzi kwa makampuni ya kimataifa ya kimataifa ya ulinzi hivyo pwani yetu is very safe, ila pia Tanzania lazima tuwe tayari to take the bitter with the sweet, sio tuu, hatuna uwezo (the capacity) ya kuilinda mipaka yetu kwenye bahari kuu, pia hatuna uwezo ku monitor anything under sea.
- Serikari (Raisi John Magufuli) na vyombo vya ulinzi na usalama wasipochukua hatua kali siku si nyingi pwani ya nchi yetu itakuwa haikaliki.