mjumbe wa bwana
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 5,252
- 6,118
leo wako bize na muungano wa tanganyika na Zanzibar
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye madini ndio tumeona sasa, hili la gesi ninalolizungumza leo, litakuja kubainishwa na tume rais wa 2025!.Wanabodi,
Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.
Tumeibiwa sana kwenye madini na mpaka sasa tunaendelea kuibiwa kwa mikataba mibovu, Mungu katupa gesi asili angalau ituokoe kutoka katika hili lindi la umasikini uliotopea...laminitis kumbe..., manikins Watanzania!,, na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupee!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!" na inafanywa na viongozi hawa hawa tulio nao tukidhani ni wenzetu lakini kumbe. ..
Hebu soma hapa chini!.
After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
on sea)
- Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
- Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
- There should be only one plant.
- The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
- The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
MY TAKE!.
- KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
- MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
- GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.
2. Kumbe eti hiyo gesi huko ilipo haina thamani yoyote kwetu ikiwa huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.
Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!, unaweza ukaua mtu! . Labda mbele ya safari, kutakuja kutokea kichaa mmoja akiyajua haya atawamiminia risasi wahusika wote wakuu walio yafanya haya au kuachia yafanyike katika ardhi ya Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
Twarudi pale pale, tuisome mikataba kimakini, sisi ni wavivu au hatuna uzalendo wa kwenye hili, au labda zile clauses zinatupa shida, na wale wazungu sababu ni wazoefu wa haya mambo basi wana take advantage hapo hapo.Nikisikia kuhusu gas yaani moyoo wangu unavunjika kabisa, najua haitatusaidia na itavunwa sana...yaani napatwa na ubaridi moyoni halafu mafanikio nayaona kwa mbali sana...tutabakia mifupa tu hapa kwenye gas
Mkuu Jebs, TPDC ina wanasheria, Ofisi ya mwanasheria Mkuu ina wanasheria, tatizo ni mikataba yote ya PSA imekuwa drafted kwao, na yote itaonyesha sheria zinazotumika ni za JMT lakini arbitration ni ICC London na uamuzi wa ICC ni final na conclusive. Ile tozo ya Dowans wabunge wetu waliojiapiza kuwa hatulipi, kiukweli tumelipa kimya kimya!,ingekuwa China ,kuna watu wangenyongwa! .Twarudi pale pale, tuisome mikataba kimakini, sisi ni wavivu au hatuna uzalendo wa kwenye hili, au labda zile clauses zinatupa shida, na wale wazungu sababu ni wazoefu wa haya mambo basi wana take advantage hapo hapo.
Mikataba jamani mikataba jamani, isomwe hata mara milioni, maana ukidondoka saini ni ntolee, au labda wanasheria wetu wa haya mambo ndiyo yale ya vyeti feki?!
Sasa hawa wanasheria wetu hawajabobea kuwa challenge hawa mabeberu kuwa this is not fair?! Au ndiyo yale yale ya kulainishana halafu hela za wanasheria wetu zinatumbukizwa Jersey? Yazidi kuuma ndugu zetu waliosomeshwa na serikali wanavyolitumikia taifa aise..Mkuu Jebs, TPDC ina wanasheria, Ofisi ya mwanasheria Mkuu ina wanasheria, tatizo ni mikataba yote ya PSA imekuwa drafted kwao, na yote itaonyesha sheria zinazotumika ni za JMT lakini arbitration ni ICC London na uamuzi wa ICC ni final na conclusive. Ile tozo ya Dowans wabunge wetu waliojiapiza kuwa hatulipi, kiukweli tumelipa kimya kimya!,ingekuwa China ,kuna watu wangenyongwa! . Jambo la ajabu kabisa baada ya kuumizwa kwenye madini, bado hatuamki na kwenye tunakuja kupigwa na kuumizwa. Paskali
Sheria mpya ya serikali kuhodhi 16% stake kwenye extractive industry ndio ukombozi wa kweli wa kuibiwa madini yetu na kama itatekelezwa, huo ndio utakuwa mwisho wa hii daylight robbery niliyoizungumzia hapa!.Wanabodi,
MY TAKE!
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.
2. Kumbe eti hiyo gesi huko ilipo haina thamani yoyote kwetu ikiwa huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.
Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!, unaweza ukaua mtu! . Labda mbele ya safari, kutakuja kutokea kichaa mmoja akiyajua haya atawamiminia risasi wahusika wote wakuu walio yafanya haya au kuachia yafanyike katika ardhi ya Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
kweli nimetembea nchi zote zakiarabu, zinazotoa mafuta na gesi, sijaona nchi ambayo rasilimali hizo zikimilikiwa na makampuni, mtu binafsi au wawekezaji, zote ni mali ya serikali na yapo makampuni ya uchimbaji yalioingia mkataba na serikali lakini sio kugawa vitalu wala kumiliki hizo rasilimali, sisi ni wa kukosa milele..
Au zaidi...Siku mikataba ikiwa Wazi basi Tanzania itakua Dubai ya Africa
Wanabodi,
Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.
Tumeibiwa sana kwenye madini na mpaka sasa tunaendelea kuibiwa kwa mikataba mibovu, Mungu katupa gesi asili angalau ituokoe kutoka katika hili lindi la umasikini uliotopea...lakini kumbe..., masikini Watanzania!,, na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupee!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!" na inafanywa na viongozi hawa hawa tulio nao tukidhani ni wenzetu lakini kumbe. ..
Hebu soma hapa chini!.
After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
on sea)
- Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
- Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
- There should be only one plant.
- The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
- The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
MY TAKE!.
- KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
- MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
- GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.
2. Kumbe eti hiyo gesi huko ilipo haina thamani yoyote kwetu ikiwa huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.
Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!, unaweza ukaua mtu! . Labda mbele ya safari, kutakuja kutokea kichaa mmoja akiyajua haya atawamiminia risasi wahusika wote wakuu walio yafanya haya au kuachia yafanyike katika ardhi ya Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
Wanabodi,
Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.
Tumeibiwa sana kwenye madini na mpaka sasa tunaendelea kuibiwa kwa mikataba mibovu, Mungu katupa gesi asili angalau ituokoe kutoka katika hili lindi la umasikini uliotopea...lakini kumbe..., masikini Watanzania!,, na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupee!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!" na inafanywa na viongozi hawa hawa tulio nao tukidhani ni wenzetu lakini kumbe. ..
Hebu soma hapa chini!.
After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
on sea)
- Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
- Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
- There should be only one plant.
- The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
- The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
MY TAKE!.
- KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
- MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
- GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.
2. Kumbe eti hiyo gesi huko ilipo haina thamani yoyote kwetu ikiwa huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.
Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!, unaweza ukaua mtu! . Labda mbele ya safari, kutakuja kutokea kichaa mmoja akiyajua haya atawamiminia risasi wahusika wote wakuu walio yafanya haya au kuachia yafanyike katika ardhi ya Tanzania.
Mungu Ibariki Tanzania!.
Paskali
Ukijaribu kuhoji utagewa majibu mepesi saana.Tatizo la Tz sio viongozi tu,bali system nzima ya uongozi wa CCM
nimefarijika kukuona tena maana jana mpk uzi ulianzishwa kukutafutaMambo yaliyoubuliwa na Kamati ya Mhe. Spika japo jana pale Bungeni Dodoma, yanaonekana kama mapya na kuna watu wanashangaa!. Angalia bandiko hili ni la lini na kilisemwa nini humu?.
P.
Mkuu, wahenga wanasema bendera hufuata upepo.Mambo yaliyoubuliwa na Kamati ya Mhe. Spika japo jana pale Bungeni Dodoma, yanaonekana kama mapya na kuna watu wanashangaa!. Angalia bandiko hili ni la lini na kilisemwa nini humu?.
P.