Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!

Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!

Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.

Tumeibiwa sana kwenye madini na mpaka sasa tunaendelea kuibiwa kwa mikataba mibovu, Mungu katupa gesi asili angalau ituokoe kutoka katika hili lindi la umasikini uliotopea...laminitis kumbe..., manikins Watanzania!,, na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupee!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!" na inafanywa na viongozi hawa hawa tulio nao tukidhani ni wenzetu lakini kumbe. ..

Hebu soma hapa chini!.

After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
  • Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
on sea)
  • Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
  • There should be only one plant.
  • The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
  • The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
  1. KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
  2. MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
  3. GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
MY TAKE!.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.

2. Kumbe eti hiyo gesi huko ilipo haina thamani yoyote kwetu ikiwa huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.

Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!, unaweza ukaua mtu! . Labda mbele ya safari, kutakuja kutokea kichaa mmoja akiyajua haya atawamiminia risasi wahusika wote wakuu walio yafanya haya au kuachia yafanyike katika ardhi ya Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali
Kwenye madini ndio tumeona sasa, hili la gesi ninalolizungumza leo, litakuja kubainishwa na tume rais wa 2025!.
Hongera sana rais wetu, Dr. John Pombe Magufuli, inapokuja kwenye suala la maslahi ya taifa, amethibitisha pasi shaka kuwa hana mchezo wala mswalie Mtume!.
Paskali
 
Nikisikia kuhusu gas yaani moyoo wangu unavunjika kabisa, najua haitatusaidia na itavunwa sana...yaani napatwa na ubaridi moyoni halafu mafanikio nayaona kwa mbali sana...tutabakia mifupa tu hapa kwenye gas
Twarudi pale pale, tuisome mikataba kimakini, sisi ni wavivu au hatuna uzalendo wa kwenye hili, au labda zile clauses zinatupa shida, na wale wazungu sababu ni wazoefu wa haya mambo basi wana take advantage hapo hapo.

Mikataba jamani mikataba jamani, isomwe hata mara milioni, maana ukidondoka saini ni ntolee, au labda wanasheria wetu wa haya mambo ndiyo yale ya vyeti feki?!
 
Twarudi pale pale, tuisome mikataba kimakini, sisi ni wavivu au hatuna uzalendo wa kwenye hili, au labda zile clauses zinatupa shida, na wale wazungu sababu ni wazoefu wa haya mambo basi wana take advantage hapo hapo.
Mikataba jamani mikataba jamani, isomwe hata mara milioni, maana ukidondoka saini ni ntolee, au labda wanasheria wetu wa haya mambo ndiyo yale ya vyeti feki?!
Mkuu Jebs, TPDC ina wanasheria, Ofisi ya mwanasheria Mkuu ina wanasheria, tatizo ni mikataba yote ya PSA imekuwa drafted kwao, na yote itaonyesha sheria zinazotumika ni za JMT lakini arbitration ni ICC London na uamuzi wa ICC ni final na conclusive. Ile tozo ya Dowans wabunge wetu waliojiapiza kuwa hatulipi, kiukweli tumelipa kimya kimya!,ingekuwa China ,kuna watu wangenyongwa! .

Jambo la ajabu kabisa baada ya kuumizwa kwenye madini, bado hatuamki na kwenye gesi asili, tunakuja kupigwa na kuumizwa.

Paskali
 
Mkuu Jebs, TPDC ina wanasheria, Ofisi ya mwanasheria Mkuu ina wanasheria, tatizo ni mikataba yote ya PSA imekuwa drafted kwao, na yote itaonyesha sheria zinazotumika ni za JMT lakini arbitration ni ICC London na uamuzi wa ICC ni final na conclusive. Ile tozo ya Dowans wabunge wetu waliojiapiza kuwa hatulipi, kiukweli tumelipa kimya kimya!,ingekuwa China ,kuna watu wangenyongwa! . Jambo la ajabu kabisa baada ya kuumizwa kwenye madini, bado hatuamki na kwenye tunakuja kupigwa na kuumizwa. Paskali
Sasa hawa wanasheria wetu hawajabobea kuwa challenge hawa mabeberu kuwa this is not fair?! Au ndiyo yale yale ya kulainishana halafu hela za wanasheria wetu zinatumbukizwa Jersey? Yazidi kuuma ndugu zetu waliosomeshwa na serikali wanavyolitumikia taifa aise..
 
Mkuu pascal,

Nadhani sasa ni wakati muafaka kwa raisi wetu kuelewa kuwa sio mawazo/mapendekezo yote yanayotolewa na watu kuyaona kuwa ni wapinzani wake.Mfano hili la kuipitia mikataba upya ni muhimu sana tena sana na yamesemwa sana bungeni ila kwa kuwa watu wanaendekeza UCHAMA wakaona sio muhimu.Nna uhakika huko kwenye Gesi na maliasili ndo kuna uvundo wa kufa mtu
 
Wanabodi,
MY TAKE!
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.

2. Kumbe eti hiyo gesi huko ilipo haina thamani yoyote kwetu ikiwa huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.

Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!, unaweza ukaua mtu! . Labda mbele ya safari, kutakuja kutokea kichaa mmoja akiyajua haya atawamiminia risasi wahusika wote wakuu walio yafanya haya au kuachia yafanyike katika ardhi ya Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali
Sheria mpya ya serikali kuhodhi 16% stake kwenye extractive industry ndio ukombozi wa kweli wa kuibiwa madini yetu na kama itatekelezwa, huo ndio utakuwa mwisho wa hii daylight robbery niliyoizungumzia hapa!.

Hongera Prof. Kabudi, Hongera Rais Magufuli, ila msilazimishe, kaeni mezani na watu hawa, mkubaliane a win win situation.

Paskali
 
kweli nimetembea nchi zote zakiarabu, zinazotoa mafuta na gesi, sijaona nchi ambayo rasilimali hizo zikimilikiwa na makampuni, mtu binafsi au wawekezaji, zote ni mali ya serikali na yapo makampuni ya uchimbaji yalioingia mkataba na serikali lakini sio kugawa vitalu wala kumiliki hizo rasilimali, sisi ni wa kukosa milele..
 
Ilipoletwa miswada ya mafuta na gas Bungeni kwa hati ya dharura, walio na uchungu na nchi hii walikataa hadi kususia kuijadili.
Hawa wenzetu wa [HASHTAG]#ndiyoooo[/HASHTAG] wakawazomea wenzao na walipomaliza wakagawa rasilimali hiyo!!!
Leo wanamuunga mkono Mheshimiwa Magufuli kupigania mali waliyoigawa muda si mrefu uliopita!!!!
 
Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.

Tumeibiwa sana kwenye madini na mpaka sasa tunaendelea kuibiwa kwa mikataba mibovu, Mungu katupa gesi asili angalau ituokoe kutoka katika hili lindi la umasikini uliotopea...lakini kumbe..., masikini Watanzania!,, na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupee!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!" na inafanywa na viongozi hawa hawa tulio nao tukidhani ni wenzetu lakini kumbe. ..

Hebu soma hapa chini!.

After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
  • Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
on sea)
  • Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
  • There should be only one plant.
  • The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
  • The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
  1. KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
  2. MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
  3. GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
MY TAKE!.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.

2. Kumbe eti hiyo gesi huko ilipo haina thamani yoyote kwetu ikiwa huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.

Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!, unaweza ukaua mtu! . Labda mbele ya safari, kutakuja kutokea kichaa mmoja akiyajua haya atawamiminia risasi wahusika wote wakuu walio yafanya haya au kuachia yafanyike katika ardhi ya Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali


pascal
Wanabodi,

Nimekutana na hii kitu, nimeisoma, sio tuu nimeshangaa, bali nimechoka, imeniacha hoi, mtu unaweza kupata wazimu, ukikamata SMG, unaweza kuwamiminia risasi Watanzania wenzetu wanauiuza nchi yetu na maliasili zake kwa bei ya bure kwa wageni kwa jina la wawekezaji kwa kisingizio kuwa sisi hatuna uwezo wa kuwekeza!.

Tumeibiwa sana kwenye madini na mpaka sasa tunaendelea kuibiwa kwa mikataba mibovu, Mungu katupa gesi asili angalau ituokoe kutoka katika hili lindi la umasikini uliotopea...lakini kumbe..., masikini Watanzania!,, na kwenye gesi asili, Watanzania tunaendelea kuibiwa mchana kweupee!. Hatuna Sera, Hatuna Sheria, na bado tunashadadia kugawa vitalu!. Hii ni "day light Robbery!" na inafanywa na viongozi hawa hawa tulio nao tukidhani ni wenzetu lakini kumbe. ..

Hebu soma hapa chini!.

After studying the experience from other countries, the following lessons were learnt:
  • Location of LNG Plant &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; should be constructed on land (not floating LNG
on sea)
  • Reasons: Mainly for monitoring and control purposes &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; monitoring is challenging because of lack of technology and control means
  • There should be only one plant.
  • The GoT/Tanzanians/Public should have majority shares to the entire
Infrastructure say not less than 51% &[HASHTAG]#8211[/HASHTAG]; to have authority say and decision
making for the benefit of the country. It may be on PPP model.
  • The proposed land for construction of LNG and other industries utilizing natural gas should be owned by the government. Facilities like roads, water and electricity should be put by GOT and appropriate tariff should be determined for the government.
  1. KWA GESI ALIYOTUJALIA MWENYEZI MUNGU, TUKIJIPANGA VIZURI, TUTAPATA MAENDELEO MAKUBWA KULIKO AMA KAMA SOUTH AFRICA.
  2. MAKAMPUNI MAKUBWA YA UTAFUTAJI WA MAFUTA NA GESI YANAELEWA NA YANATAKA TUBAKI KWENYE HALI YA KUTOELEWA HALI YA BIASHARA YA GESI. YANATULAGHAI KWA NJIA YA UZOEFU NA WALIONAO.
  3. GAS HATA KAMA IKO CHINI YA BAHARI AU CHINI YA ARIDHI NI MALI YETU NA INAYO VALUE YAKE NA SIO MWENYE UWEZO WA KUITOA ARIDHINI BASI NDIE MWENYE GAS DARWIN THIORY ISITUMIKE KWA MALIASILI YA NCHI YETU.
MY TAKE!.
1. Kumbe gesi yote inayovunwa nchini sasa na itakayoendelea kuvunwa miaka ijayo, siyo yetu!, ni ya mwekezaji!.

2. Kumbe eti hiyo gesi huko ilipo haina thamani yoyote kwetu ikiwa huko chini ardhini ilipo, na wala sio mali yetu!, bali ni mali ya mwekezaji anayeichimba na sisi tunauziwa kwa bei ya soko, na faida yote ni ya mwekezaji anayechimba, ila taifa litafaidika na kodi!.

Nimeshindwa kuendelea kwa sasa kutokana na hasira!, unaweza ukaua mtu! . Labda mbele ya safari, kutakuja kutokea kichaa mmoja akiyajua haya atawamiminia risasi wahusika wote wakuu walio yafanya haya au kuachia yafanyike katika ardhi ya Tanzania.

Mungu Ibariki Tanzania!.

Paskali

Pascal Mayalla kwasababu nimeona unapenda kusoma na unapenda kuelewa mambo, Kabla hujaandika chochote kuhusu Mafuta na gesi naomba pitia website ya TPDC halafu tafuta document inayoitwa PSA Yaani production sharing agreement.
 
Mambo yaliyoubuliwa na Kamati ya Mhe. Spika japo jana pale Bungeni Dodoma, yanaonekana kama mapya na kuna watu wanashangaa!. Angalia bandiko hili ni la lini na kilisemwa nini humu?.

P.
 
Mambo yaliyoubuliwa na Kamati ya Mhe. Spika japo jana pale Bungeni Dodoma, yanaonekana kama mapya na kuna watu wanashangaa!. Angalia bandiko hili ni la lini na kilisemwa nini humu?.

P.
Mkuu, wahenga wanasema bendera hufuata upepo.

Pamoja na kuchelewa kwa hatua husika tupongeze bunge kwa hatua waliyochukua. Tungependa sana kuwalaumu hata hivyo tutaishia kubezwa na kubeuliwa kwa kukosa uzalendo [emoji2] .
 
Back
Top Bottom