Bado una bifu na lecturer π€£π€£π€£Jina; naandikaga la lecture Moja alinipaga sup!
Kutoka; Gaza
Kwenda; Israel
No: Β±256655534740
Kazi; utekaji nyara & uharamia
Umri: 124
Mda wa kuingia:1630
Gharama; 45000
Room No; 205
Chitele ao jaji.Hapo umeniacha mkuu
Si nilikua najibu Jamani? HahahahaaaUncle naona unahita ka-ban flan ka wiki moja
Mkuu πNatumia Pasco Mayalla
Yule mhaya yule shenzi sana, UE kwenye bench tulikua tunakaa course tofauti tofauti anaanza labda IT... procure... insurance...edu.... taxation... accountancy....sasa Moja alikua anacheat alivodakwa tukasombwa benchi Zima yy akadisco sisi tukapewa supBado una bifu na lecture π€£π€£π€£
Unatumia mpk la ukoo wake?
Yule Mod wa kike nimemsahau jina, ako na Jina zuri sana lingekufaaHivi Active ni mwanamke nianze kutumia jina lako ikitokea nimeenda uko πππ
Au la bibi Faiza
Ningekuwa mwanaume ningetumia jina la kaka Luka π€£π€£π€£Mkuu π
Itabidi nitumie la Luca chawa
Hahaahaa tumia la Lucas mwashambaMkuu π
Itabidi nitumie la Luca chawa
Nitafutie hebu nianze matumizi nalo π€£π€£π€£Yule Mod wa kike nimemsahau jina, ako na Jina zuri sana lingekufaa
Nitatafuta na kalamu spesho yenye wino wa kijani πHahaahaa tumia la Lucas mwashamba
Hahahahaahha si unawaambia kuwa Mwenye chumba anakuja.....Huwa hawafuatilii baada ya hapo!Ningekuwa mwanaume ningetumia jina la kaka Luka π€£π€£π€£
Ndio hivyo uwezi kuwa mshawishi alieniwahi atumie πNingekuwa mwanaume ningetumia jina la kaka Luka π€£π€£π€£