Gesti unatumiaga jina gani?

Ukorofi hujaanza leo kumbe [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Tukienda gesti kibongo bongo kwa ajili ya kupiga mambo yetu yale wengi wetu hatutumiagi majina yetu ya ukweli. Mimi naandikaga Emmanuel John, wewe je?


Funguka hapa chiniπŸ‘‡
Kutumia jina ambalo si lako ni mbaya sana.Kabla haujaingia vyumbani uwe unaniita nakubatiza ubatizo wa maji "mafupi" ili likitokea la kutokea tukuzike kama "Emmanuel John"!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…