aminiusiamini
JF-Expert Member
- Aug 25, 2011
- 3,577
- 2,224
ukimwl unaua jamani. tuache zinaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawanyi bali kinatoka!ya kawe ni hii ambayo iko karibu na kituo cha polisi?Aha mimi nilishakwendaga moja iko pale kawe kigorofa hv zama hizo niko o level. Guest ya mwisho maisha yangu ilikuwa pretoria iko sinza pia kagorofa;wale majamaa sijui watu wanakunya kwenye mashuka meupe maana yana alama najiuliza hawa watu vepee.
kuimili mikikimiki pia kuepuka kununua vitanda mara kwa mara vivunjikapoasa kwanini wameweka vitanda vya zege
Huo ni utamu uchungu........Yaani babako kakukataza utamu nawe unakubali tu!!!? shtuka wewe
Utamu huo wewe, labda kama hukunwi vizurHuo ni utamu uchungu........
Na mataulo mkuu,,tena inawezekana kuna wakati mkawa gesti moja memba wa humu jf bila kujua..!!Duh kumbe tushashea sana mashuka ya gesti humu wadau kweli sisi ni ndugu
Mechi za kibabe hahaakuimili mikikimiki pia kuepuka kununua vitanda mara kwa mara vivunjikapo
Hehee watakuwa wamenunua mapya kajaribu kuchek mkuu..!!Aha mimi nilishakwendaga moja iko pale kawe kigorofa hv zama hizo niko o level. Guest ya mwisho maisha yangu ilikuwa pretoria iko sinza pia kagorofa;wale majamaa sijui watu wanakunya kwenye mashuka meupe maana yana alama najiuliza hawa watu vepee.
Amini usiamini kuna wengine huwa tunakwenda gesti kupumzika na siyo kufanya zinaa mkuu..!!ukimwl unaua jamani. tuache zinaa
Tehe tehe nina wasiwasi..!!Kweli kabisa kama mimi huwa nafanya hivyo mara nyingi tuu
Hzo zinaitwa gest mkunje...unaingia ndani..unakutana na kitanda only...then ukiomba godoro unaongeza 500, ukiomba shuka 500,ukiomba taa km ni ucku 500..yaan ndo mchezo wao..nan ashaingia gest km hyoBuguruni mwanamboka mbona hamzitaji
hahaha yaani kijana kusoma hajui hata pikcha haoni kwamba watu wanakamuana mikia hahahaHawanyi bali kinatoka!ya kawe ni hii ambayo iko karibu na kituo cha polisi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134]Hzo zinaitwa gest mkunje...unaingia ndani..unakutana na kitanda only...then ukiomba godoro unaongeza 500, ukiomba shuka 500,ukiomba taa km ni ucku 500..yaan ndo mchezo wao..nan ashaingia gest km hyo