Gesti za bongo

Gesti za bongo

Hahahaah mkuu rudi ukarekebishe
Sikurudi kaka nilirudi usiku wa tukio baada ya kupigiwa simu na muhudum kwenda kuangalia madhara niliyosababisha nanilikubali kuifanya hiyo kazi kesho yake but sikurudi baada ya kutangaziwa kiyama na mwenye mtoto,alikuwa mtoto wa jirani yetu mwanajeshi.nasikia walikuja watano wakiwa wamevaa gwanda walitaka wakanipoteze na mabibo kwenyewe nilihama sikurudi nilienda baada ya miaka mitatu.
 
Sikurudi kaka nilirudi usiku wa tukio baada ya kupigiwa simu na muhudum kwenda kuangalia madhara niliyosababisha nanilikubali kuifanya hiyo kazi kesho yake but sikurudi baada ya kutangaziwa kiyama na mwenye mtoto,alikuwa mtoto wa jirani yetu mwanajeshi.nasikia walikuja watano wakiwa wamevaa gwanda walitaka wakanipoteze na mabibo kwenyewe nilihama sikurudi nilienda baada ya miaka mitatu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Mara nyingi wanaolala gesti ni wavulana (wabahili) mwanaume lazima alale hotel
Huwaga hatulali mkuu,hotel tunaenda na wake zetu kubadilisha mazingira,ila michepuko tunapeleka guest house ambazo zipo ndani ndani ku-avoid macho ya wambeya.
 
Duh!umeamua tutaje za mjini ila mimi nimekumbuka moja nilienda bush flan hivi field guest ina vitanda vya banco ile ya waqt uleeee halafu haina ceiling bodi sasa usiku vyumba karibu kumi watu wanapiga game kwinyu kwinyu kwichi kichi yaani ilikuwa kama brass band isiyo rasmi.
 
Karbu sana huku bongo weekend kama hii wanaume tunaenda bar kwa malengo mawili tu ladies & drinks...ukinywa jux pub uwezi juta maana wahudumu wanajua kazi yao baada ya drinks
Jux pub iko wapi?
 
Chekini na Comfort Lodge, hii ipo mbezi kibanda cha mkaa, hutojuta. Jamaa wamejipanga kuwafurahisha wateja wake. No bughudha, privacy is highly maintained, vyumba safi, shuka vitanda safi, milango na madirisha alluminium. Maji uhakika, shower


Nilipakubali asee
 
White House ya Segerea,elfu 20 masaa 3 ni sehemu tulivu sana kama unajiiba
 
Back
Top Bottom