rubii
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 14,032
- 18,540
Kuna gesti moja tabata dada wa mapokezi ni mlokole..Ukienda pale kabla hajakupa funguo anaanza kukupiga gospel kwanza
Naweza kupatiwa location hiyo gesti ilipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna gesti moja tabata dada wa mapokezi ni mlokole..Ukienda pale kabla hajakupa funguo anaanza kukupiga gospel kwanza
Karbu sana huku bongo weekend kama hii wanaume tunaenda bar kwa malengo mawili tu ladies & drinks...ukinywa jux pub uwezi juta maana wahudumu wanajua kazi yao baada ya drinksNipo mbali ugalila ngoja nirejee bongo
Ipo karibu na kituo cha makumbusho kituoniJux ndio hiyo ipo kona ya kwenda kwa Alimaua?
We njoo ntakupeleka mi mwenyeweNaweza kupatiwa location hiyo gesti ilipo?
Pale serengeti hakuna lodge bana ila royal na mbele yake kuna moja inaitwa kifaru ni nzuri tena kuna geti kabisa, kuna siku nlizama ile ya home alone gorofani nkavunja kitanda stimu yote ilikata, pia pale uhuru piki kinondoni inayofuata ni lodge pia, na nyuma ya uhuru piki opposite na mjengoni pub kwa Madam B kuna ingine nzuri wakongo nyomiAkachube Rd [emoji15]
Ndio hiyo hiyo ina kigorofa cha kizushi
Heko na ile karibu na shule ya msingi karibu na magorofa ya usalama kule, kuna moja ya zaman sana inaitwa mandela kama unaenda tandale kwa njia ya shotikatiWe mshanar kwa utabiri wangu utakuwa unakula bata sana maeneo ya makumbusho au kijitonyama karibu sana leo hapa jux pub, kuna guest moja umeisahau inaitwa EKO ipo makumbusho
Umesahau na ile ya kona ya kwa mama zakaria, halafu kifaru ziko mbili ujue hii ya hapa royal ni mpya lakini pia opposite na Serengeti kuna just ya kwa Msuya RIPPale serengeti hakuna lodge bana ila royal na mbele yake kuna moja inaitwa kifaru ni nzuri tena kuna geti kabisa, kuna siku nlizama ile ya home alone gorofani nkavunja kitanda stimu yote ilikata, pia pale uhuru piki kinondoni inayofuata ni lodge pia, na nyuma ya uhuru piki opposite na mjengoni pub kwa Madam B kuna ingine nzuri wakongo nyomi
[emoji15] [emoji15] [emoji15]
We njoo ntakupeleka mi mwenyewe
Lakn siku hizi kwenda lodge kupigia kimoja naonaga hasara sana chief mie chopa yangu full tinted labda cku nkitaka kalinye kalinye mpk masaji unapata ndo hua nazama humoUmesahau na ile ya kona ya kwa mama zakaria, halafu kifaru ziko mbili ujue hii ya hapa royal ni mpya lakini pia opposite na Serengeti kuna just ya kwa Msuya RIP