Uso wa nyoka
JF-Expert Member
- Mar 17, 2014
- 4,791
- 2,375
Bluebird, Namnani zote sinza. Zingine Nimesahau, huwa sizikariri,sijui kwanini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oops hali si hali, hio inatokeaga unapokataa kushikamana
Kuna moja iko Tabata Savanna, mkono wa kushoto kwa ndani kidogo kama unatazama uelekeo wa Kimanga, ina parking ndani ya fensi finyu sana. Wana ka mini bar ndani, inaitwaje?Ulizia mtu yyte hapo atakuonesha ipo karib na barabara
Hahahhahah hapo itabidi uwe unasema Amen tu ili amalize haraka maana watu huwa hawatakagi kabisa kupoteza sekunde mapokezi wasije julikana wameingia huko ama kutoka.Kuna gesti moja tabata dada wa mapokezi ni mlokole..Ukienda pale kabla hajakupa funguo anaanza kukupiga gospel kwanza
Gesti Nyingi tu za kisasa kabisa zinapigwa vitanda vya zege siku hizi na usidhani utagundua kirahisi maana vinapigwa finishing ya sofa kwa ngozi na nakshi unaweza kudhani ni vitanda vya kisasa. Wanasema inasave gharama ya kubadili vitanda na magodoro na pia havipigi kwichi kwichi kama vya mbao au chuma.Uuwiii sister[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sina mbavu hapo ujue hakuna kushusha godoro chini [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hilo swala la kupotea lipo Namnani maana hata anaekuja kukufumania inabidi ajipange kwa rehearsal ya kisawasawa kuzungukia vyumba na kuvikariri kwa mwezi mzima.Ina kona nyingi na vyumba vingi mpaka unaweza kupotelea humo nyingine kama unaenda uwanja wa sifa inaitwa blue
Hiyo siifahamuKuna moja iko Tabata Savanna, mkono wa kushoto kwa ndani kidogo kama unatazama uelekeo wa Kimanga, ina parking ndani ya fensi finyu sana. Wana ka mini bar ndani, inaitwaje?
Emirates pako Bomba sana, lots of memories!Emirates ipo kimanga. Savanna nnayo ijua ipo kinyerez mwisho
Yeah! Naww ulikuwa unaenda hapo?Emirates pako Bomba sana, lots of memories!
Zingine hazikaririki ila kwa kariakoo kuna hoteli ya Pearl hotel karibu na kituo cha Mwenge, Wacomoro, Wachina, Wahindi ni kama kwao.Mbona sijasikia za manzese kiwalani mbadala Tegeta vingunguti gongo la mboto moshi bar magoneni tandale kwa mfuga mbwa kwa tumbo kwa bibi nyau mburahati kigogo jangwani kariakoo keko kurasini ferry nk
Hii hata Mimi Naikubali sana.Gran
Grand Lodge mwenge
Kimenifurahisha hicho kidume cha mwisho, hakina wasiwasi wala uoga wa kutazama kamera,katulia kama vile kakutwa anakula.Ngoja tu nipoze kiu yako View attachment 320194View attachment 320195View attachment 320196picha nyingine hazifai
Huyu mleta thread ametaka lodge, kama unataka hoteli, anzisha thread tukuwekee.Mara nyingi wanaolala gesti ni wavulana (wabahili) mwanaume lazima alale hotel
Teh teh..Mbaya zaidi uwe umeenda na msichana wa kipendwa..Injili ikimkolea anaishia mapokezi..Hata ndani haingiiHahahhahah hapo itabidi uwe unasema Amen tu ili amalize haraka maana watu huwa hawatakagi kabisa kupoteza sekunde mapokezi wasije julikana wameingia huko ama kutoka.
Nikiikumbuka, Nitaku PM jima lake.Hiyo siifahamu
Teh teh..Ntakupa address mkuuHiyo itakua nzuri sana mkuu Mabanker wanajua kitu kinaitwa duty of secrecy sasa napata imani na receptionist mlokole aweza kutunza siri!
mostly ziko sinza karibu na corner barBei poa unaondoka na zawadi ya kunguni chawa au viroboto
HayaNikiikumbuka, Nitaku PM jima lake.