Gesti za bongo

Gesti za bongo

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Tuacheni maskhara asilimia 80 ya wana JF waliopo Dar hawakosi kufahamu si chini ya gesti 10(nyingine bubu) zilizopo dar na viunga vyake...wengine ni wateja mahiri na wengine wanajua vituko vyake
Tuwe wakweli kama unafahamu chache hebu tutajie. ..naanza mimi za kinondoni
Sisimizi
Sisimko
Royal
Peace
Bakule
Serengeti
Nknk
Kila moja ina sifa zake nyingine ni wake za watu nyingine wanafunzi nyingine mahousegirl na wauza matunda nyingine mashoga nyingine mashoga mummy
 
P
Tuacheni maskhara asilimia 80 ya wana JF waliopo Dar hawakosi kufahamu si chini ya gesti 10(nyingine bubu) zilizopo dar na viunga vyake...wengine ni wateja mahiri na wengine wanajua vituko vyake
Tuwe wakweli kama unafahamu chache hebu tutajie. ..naanza mimi za kinondoni
Sisimizi
Sisimko
Royal
Peace
Bakule
Serengeti
Nknk
Kila moja ina sifa zake nyingine ni wake za watu nyingine wanafunzi nyingine mahousegirl na wauza matunda nyingine mashoga nyingine mashoga mummy
PR sinza
 
Huku Ushirombo minijiseviaga kulee....[emoji117] Kabanya[emoji12] [emoji12]
 
Kuna gesti moja tabata dada wa mapokezi ni mlokole..Ukienda pale kabla hajakupa funguo anaanza kukupiga gospel kwanza
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125] [emoji125]sirudi tena hapo
 
Back
Top Bottom