Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uuwiii sister[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sina mbavu hapo ujue hakuna kushusha godoro chini [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100] [emoji100]Takuja Nderingo peace of mind
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hapa nilipo nitaishia kuonekana chizi kwa kucheka sasa vile vidirisha ulitokaje???Namanga Guest House,hii iko Mabibo mwisho...hahahaha hii 2008 nilivunja kidirisha cha choo nikikimbia fumanizi...Vincent kama upo humu nisamehe mkuu sikuja kurekebisha pale sehemu.
Duu, ebu tutajie mojamoja na sifa zake!Tuacheni maskhara asilimia 80 ya wana JF waliopo Dar hawakosi kufahamu si chini ya gesti 10(nyingine bubu) zilizopo dar na viunga vyake...wengine ni wateja mahiri na wengine wanajua vituko vyake
Tuwe wakweli kama unafahamu chache hebu tutajie. ..naanza mimi za kinondoni
Sisimizi
Sisimko
Royal
Peace
Bakule
Serengeti
Nknk
Kila moja ina sifa zake nyingine ni wake za watu nyingine wanafunzi nyingine mahousegirl na wauza matunda nyingine mashoga nyingine mashoga mummy
Mkuu ile siyo kimanga ni mawenzi kama siyo savanaTabata kimanga
Basi umetutamanisha inawezekana wake, au wanafunzi tunaowafahamu wanatumbuliwa huko!Hapa sithubutu
aisee mkuu tabata ipi hiyo?Kuna gesti moja tabata dada wa mapokezi ni mlokole..Ukienda pale kabla hajakupa funguo anaanza kukupiga gospel kwanza
Teh teh...Mi nasikia tu vijana wakisimuliaNdo kiwanja chako nini cha kujidai?![]()
Emirates ipo kimanga. Savanna nnayo ijua ipo kinyerez mwishoMkuu ile siyo kimanga ni mawenzi kama siyo savana
Vipi mkuu..unataka kwenda?aisee mkuu tabata ipi hiyo?
Ya kweli haya. Ngoja nikubali tuTeh teh...Mi nasikia tu vijana wakisimulia
Sawa mkuu, kuna wengine jatipati muda wa kuzungukia maeneo kama hayo kwa sababu ya majukumu ya kutafuta mkate. Anyway kutokufahamu ni kitu kizuri zaidi.Wee acha tu mengine acha tumezee