Get Rich or Die Tryin: Niliyoyapitia katika ukuaji wangu

Daah kwenye mungi hapo story inafanya nisiipende any way story ya kweli wengine mungu hawawasaidii.
 
Mkuu leta link ya Uzi wako... Hizi shuhuda kuna la kujifunza
 
Mkuu mbona series mnaangalia?

Hivi mnadhani uandishi ni Sawa na kuhamisha kabati?
MI huwaga siangalii series huwa naangalia full movie masaa 2-3 nmeshamaliza

na kwanini mtu ukishajiona umetulia uandike story yako vzr kwa urefu yaan mtu unaandika hata hutumii nusu saa unatumia dk 15 tu useme itaendelea kweLi
 
MI huwaga siangalii series huwa naangalia full movie masaa 2-3 nmeshamaliza

na kwanini mtu ukishajiona umetulia uandike story yako vzr kwa urefu yaan mtu unaandika hata hutumii nusu saa unatumia dk 15 tu useme itaendelea kweLi
Sema mkuu majukumu mengi
Mda mwingi nipo kwenye gari nawapeleka wazungu porini
Ukishakuwa ndani ya mbuga simu un aweka mode ya ndege ili kuepusha kusumbua wanyama:
Sasa narudi jioni nikiwa nimechoka sana
Sena leo nitaendeleza kwa kirefu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…