Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Duuuh, nilikosa uhondo aseee
 
Itakayofuata itakuwa family day kabisa huh hu huh
 
hapana haaa Carmel niambie unanitania, kwani hayo ma beer bado yapo kweli? na huyo kunywa ma molasesi ni nini? amemeza metakefin?


hihi hihihi nimecheka hapa sina mbavu! Mrs bana!πŸ˜€
 
bado naandaa shairi la kukuimbia si unajua tena zenji siwezi kuipindua hivihivi bila maandalizi?

Mpwa unataka kumuimbia shairi binamu? Kaaaazi kwelikweli.
 
Asante kwa kujali shemegiπŸ˜€




Ukirudi leo uje na fimbo kabisa.....yu know wara am sain!πŸ˜€πŸ˜€

Hahahah kaka umeniangusha .........fimbo tu? (nyamayao leo atanila nyama- potelea pote bana nalinda mali za kaka yangu-atasema wifi mwenye gubu lol)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…