Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
Baaaab' kubwa! Anajua kuogelea lakini?
Najua kupiga mbizi mazee!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baaaab' kubwa! Anajua kuogelea lakini?
Duuuh, nilikosa uhondo aseee
Itakayofuata itakuwa family day kabisa huh hu huh
hapana haaa Carmel niambie unanitania, kwani hayo ma beer bado yapo kweli? na huyo kunywa ma molasesi ni nini? amemeza metakefin?
hihi hihihi nimecheka hapa sina mbavu! Mrs bana!😀
Itakayofuata itakuwa family day kabisa huh hu huh
Hahaha! Mi jana nilikuwa na familia yangu. Kalikosekana kabinti ketu tu pale.
Kwani Xpin na ZD tayari mna mwana?
mwache acheke tu ataishia kulia si unajua tena bado hajamaliza hata kusoma post ya ishiriniEheeeeee.......nasubiri kuona mwisho wa cheko.
nyamayaoooo njooo
mwache acheke tu ataishia kulia si unajua tena bado hajamaliza hata kusoma post ya ishirini
bado naandaa shairi la kukuimbia si unajua tena zenji siwezi kuipindua hivihivi bila maandalizi?Sijapata PM yako bwana vipi lakini, Karibu Zanzibar
Yaani hapa nimesimamia kidole gumba ati kuushuhudia ugomvi wa mtu na mrs wake lol!
bado naandaa shairi la kukuimbia si unajua tena zenji siwezi kuipindua hivihivi bila maandalizi?
nimekusoma.....uje wakati wa jahazi music awards!
sio sauti za busara!
bado naandaa shairi la kukuimbia si unajua tena zenji siwezi kuipindua hivihivi bila maandalizi?
Hivi huyu Kaizer kapigwa bani nini leo? mie simo kwenye ushahidi
hiyo kec ZD.....
Asante kwa kujali shemegi😀
Ukirudi leo uje na fimbo kabisa.....yu know wara am sain!😀😀