Nimechelewa na minutes zishasomwa.anywei mie zangu ni shukrani za dhati kwa ajili ya lile bonge la fanksheni kwanza kabisa kwa my dia mchumba Xpin- mwenyekiti wa kamati ya maandalizi,Nguli -MC wetu(mzee wa vyuma),Geoff-Mgeni rasmi, mamaa wa ukweli Carmel,YoYo-cool guy,Fidel80-mzee wa vinywaji,na bila kumsahau Masanilo aliyetutwangia saa zima all the way from Zenj.
It was so nice to see you all live kabisa bila chenga za keyboard,I love you all!
Halafu nyamayo hanipendi hanipagi thanks wala kunikoti ila mimi nakupenda NYAMA.
Nahamu ya kumjua FARIDA kikao kijacho tunakuomba umwakilishe invisible yeye yuko serious mno.
Nimechelewa na minutes zishasomwa.anywei mie zangu ni shukrani za dhati kwa ajili ya lile bonge la fanksheni kwanza kabisa kwa my dia mchumba Xpin- mwenyekiti wa kamati ya maandalizi,Nguli -MC wetu(mzee wa vyuma),Geoff-Mgeni rasmi, mamaa wa ukweli Carmel,YoYo-cool guy,Fidel80-mzee wa vinywaji,na bila kumsahau Masanilo aliyetutwangia saa zima all the way from Zenj.
It was so nice to see you all live kabisa bila chenga za keyboard,I love you all!
Halafu nyamayo hanipendi hanipagi thanks wala kunikoti ila mimi nakupenda NYAMA.
leo umeamua kumsema invesible
Halafu nyamayo hanipendi hanipagi thanks wala kunikoti ila mimi nakupenda NYAMA.
hahahahahah teteteteh you make my day jamani yaani umenivunja mbavu zangu teh teh teh teh
Kwani miwani yako inasomaje mpenzi? you love me so much eenh?He! He! He! Naomba mawani yangu nisome upya hii.
haaa holalala nguli nimecheka mpaka basi mpenzi....looo! luv u 2 mpenzi 2po pa1.
Kwani miwani yako inasomaje mpenzi? you love me so much eenh?
Hivi huyu Kaizer kapigwa bani nini leo? mie simo kwenye ushahidihaaa holalala Nguli nimecheka mpaka basi mpenzi....looo! luv u 2 mpenzi 2po pa1.
You can say it again and again kwa ajili ya afya yangu.
haaa holalala Nguli nimecheka mpaka basi mpenzi....looo! luv u 2 mpenzi 2po pa1.
aleluya!:d:d
haaa holalala nguli nimecheka mpaka basi mpenzi....looo! Luv u 2 mpenzi 2po pa1.
Hivi huyu Kaizer kapigwa bani nini leo? mie simo kwenye ushahidi
Mmhh wakuu hiyo get together yenu kwa kweli inaonekana ilikua nzuri sana,binamu Chriss labda nikuulize,mlifanikiwa kupata picha ya pamoja kwa ajili ya ukumbusho?