hahaha!Nyamayao umenifurahisha sana, naona nimepata pumziko la moyo....nilikuwa na bubujiko la moyo nitakutungia mashairi matamu nitaku pm kuna watu ambao sio wapwa watanakili wakutumie wanipeperushie ndege wangu.
kwa kifupi mimi ni mrefu nina ft 2 na robo nina miaka 46 na niko single so am experiemced staff in that field of LOVE.
hahaha!
dani za ANDANENGA zimekukaa!naona wewe ni BLUREI wa kiswahili
Nyamayao umenifurahisha sana, naona nimepata pumziko la moyo....nilikuwa na bubujiko la moyo nitakutungia mashairi matamu nitaku pm kuna watu ambao sio wapwa watanakili wakutumie wanipeperushie ndege wangu.
kwa kifupi mimi ni mrefu nina ft 2 na robo nina miaka 46 na niko single so am experiemced staff in that field of LOVE.
wacha bwana!hebu gonga thenksi tena kwa afya yangusIKIONI KITUFE CHA TENKSI BRO.
wacha bwana!hebu gonga thenksi tena kwa afya yangu
eehhh.....
Hiki ni kiBluray cha kiswahili,tafsiri yake ni MBA.Nyamayao umenifurahisha sana, naona nimepata pumziko la moyo....nilikuwa na bubujiko la moyo nitakutungia mashairi matamu nitaku pm kuna watu ambao sio wapwa watanakili wakutumie wanipeperushie ndege wangu.
kwa kifupi mimi ni mrefu nina ft 2 na robo nina miaka 46 na niko single so am experiemced staff in that field of LOVE.
Hiki ni kiBluray cha kiswahili,tafsiri yake ni MBA.
USISHUTUKE! umeshtuka umri wangu au urefu wangu?
Umri huwa hautishagi ila urefu
Basi shemeji samahani,ulimi uliteleza.Sirudii tena.Shemeji umeenda nje ya pointi kumbuka mimi ni mwalimu wako wa mazoezi unaharibu hali ya moyo wangu.
USISHUTUKE! umeshtuka umri wangu au urefu wangu?
ahaaa cjashtuka, urefu nimeupenda, umri aujanishtua, btw na mie mwenyewe nipo cngo....lol
Mkuu Nguli alikuwa photographer wetu. tatizo alivozidiwa na makonyagi, sijua kama baadhi ya picha zitatoka vizuri. Ila jibu ni kuwa TULIFANIKIWA!
in BLURAY ...I gara two ft n half meeeeeeeen! whats up with ya meeeen?
Hongera sana Nyamayao lakini akiona Kaizer hii kitu italeta mtafaruko.
Ok thanks,good to hear that cousin,next time mtwambie na sisi wengine japo tuwapigie simu ili tuongee.
laazizi wa moyo huyo, anaelewa wife napenda utani...lol