Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

hahaha!
dani za ANDANENGA zimekukaa!naona wewe ni BLUREI wa kiswahili
 


eehhh.....
 
Hiki ni kiBluray cha kiswahili,tafsiri yake ni MBA.
 
ahaaa cjashtuka, urefu nimeupenda, umri aujanishtua, btw na mie mwenyewe nipo cngo.

Hongera sana Nyamayao lakini akiona Kaizer hii kitu italeta mtafaruko.
 
Mkuu Nguli alikuwa photographer wetu. tatizo alivozidiwa na makonyagi, sijua kama baadhi ya picha zitatoka vizuri. Ila jibu ni kuwa TULIFANIKIWA!

Ok thanks,good to hear that cousin,next time mtwambie na sisi wengine japo tuwapigie simu ili tuongee.
 
Ok thanks,good to hear that cousin,next time mtwambie na sisi wengine japo tuwapigie simu ili tuongee.

Hili lisikupe hofu utaambiwa tu naoana wakuu watakaa sijui next time iwe jmosi au j2 kama kawa?
 
laazizi wa moyo huyo, anaelewa wife napenda utani...lol

Kuna watu hawapendi kuona mishumaa ya wenzao iking'aa gizani mh! sipendi kuwa spare tairi ngoja nitafute mwingine. Na shairi nafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…