FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,789
- 5,401
... Chafu!
mlimwambia awe anaziosha jamani
yo yo mbona wanakusema hivi ya kweli hayo ???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... Chafu!
... chafu!
Mpwa ndio kusema?
hiyo ni kazi ya masanilo na kabezi kake
Habari ya asubuhi? Naona kumekucha.
hajakosea njia kwli huyu? si mtu wa serious national issues?? I mean politrics.
they are matching in A SINGLE PROFILE!(tuliopita jeshini tunajua maana yake!😀)
Dah mama unanikumbusha machungu ambapo kidonda nilisha kiponya jana tulipo kuwa na wapwa.
mlimwambia awe anaziosha jamani
yo yo mbona wanakusema hivi ya kweli hayo ???
nakuharibia tena?mimi nilidhani nakupigia debe😀
substantiate shemeji!...............Nguli vs bluray
mlimwambia awe anaziosha jamani
yo yo mbona wanakusema hivi ya kweli hayo ???
Thats a promise am making here! We kujoin unaogopa?
Siogopi binamu,nitawatwangia Fidel anaelewa niko wapi,kwa hiyo kwangu itakuwa ngumu ku-attend.
Alikuwa bize kuweka ulinzi kina Carmel wasije kujisahau wakaondoka na glasi! Hahahaha!
Siogopi binamu,nitawatwangia Fidel anaelewa niko wapi,kwa hiyo kwangu itakuwa ngumu ku-attend.
Kwa mara ya kwanza leo nakwambia tutake radhi!Usije kuchapwa bure badae.