Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

Get tugedha ilifana na ilikuwa bomba

weka maneno matamu matamu bana...kazi nzito hii.

SWADAKTA!katika kumkonvisi nguli SHAKA ONDOA!kuna vitu vingi naweza kushindwa......!lakini when it comes to convincing,I AM EXPERT.I THINK I WAS BORN FOR THIS
 
swadakta!katika kumkonvisi nguli shaka ondoa!kuna vitu vingi naweza kushindwa......!lakini when it comes to convincing,i am expert.i think i was born for this

so do i.
 
Fidel80 uko juu babake,au Invizibo kakupa kazi ya ureception wa Jeiefu? naona una kontacta za wana jf wote.

Hahahahaha nataka nigombee Ubunge mwakani nahitaji support yenu wakuu.
Hii ni siri ya jeshi hahahahaha
 
correction: Kila She

Na ndio maana kanipokonya nyama yao alafu ana ni PM nitakupa SEMENYA hivi unanitakia nini mpwa? kumbuka marafiki zangu wengi ni flying drs siku tukutuku likikosa breki kabiiiiiiiisa nitakuchukua na helkopta nikuwahishe hospital.
 
Na ndio maana kanipokonya nyama yao alafu ana ni PM nitakupa SEMENYA hivi unanitakia nini mpwa? kumbuka marafiki zangu wengi ni flying drs siku tukutuku likikosa breki kabiiiiiiiisa nitakuchukua na helkopta nikuwahishe hospital.

Hahahahaha taratibu mpwa Nyamayao kaweka wazi yupo single maanake Kaizer hajafika dau.
 
Na ndio maana kanipokonya nyama yao alafu ana ni PM nitakupa SEMENYA hivi unanitakia nini mpwa? kumbuka marafiki zangu wengi ni flying drs siku tukutuku likikosa breki kabiiiiiiiisa nitakuchukua na helkopta nikuwahishe hospital.
una maanisha na breki za nyuma zikiisha?
 
Back
Top Bottom