Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siogopi binamu,nitawatwangia Fidel anaelewa niko wapi,kwa hiyo kwangu itakuwa ngumu ku-attend.
weka maneno matamu matamu bana...kazi nzito hii.
swadakta!katika kumkonvisi nguli shaka ondoa!kuna vitu vingi naweza kushindwa......!lakini when it comes to convincing,i am expert.i think i was born for this
kila mtu anasema fide anajua,fide anajua!......😀Hehehe sasa unashtuka nini mpwa?
Fidel80 uko juu babake,au Invizibo kakupa kazi ya ureception wa Jeiefu? naona una kontacta za wana jf wote.
Fidel80 uko juu babake,au Invizibo kakupa kazi ya ureception wa Jeiefu? naona una kontacta za wana jf wote.
Usiniambie na zako anazo. Please!
kila mtu anasema fide anajua,fide anajua!......😀
sijui aliipata wapi? si ndio hapa anatushangaza ,hebu muulize anazipataje?
correction: Kila She
hahahaaa,kumbe za she tu ndio anazo?mbona ya Geoff anayo hata yako mchumba? hapa unamaanisha nini? sikuelewi?hebu nifafanuliecorrection: Kila She
correction: Kila She
Na ndio maana kanipokonya nyama yao alafu ana ni PM nitakupa SEMENYA hivi unanitakia nini mpwa? kumbuka marafiki zangu wengi ni flying drs siku tukutuku likikosa breki kabiiiiiiiisa nitakuchukua na helkopta nikuwahishe hospital.
...jamaa uwt nini?!
una maanisha na breki za nyuma zikiisha?Na ndio maana kanipokonya nyama yao alafu ana ni PM nitakupa SEMENYA hivi unanitakia nini mpwa? kumbuka marafiki zangu wengi ni flying drs siku tukutuku likikosa breki kabiiiiiiiisa nitakuchukua na helkopta nikuwahishe hospital.
Hahahahaha taratibu mpwa Nyamayao kaweka wazi yupo single maanake Kaizer hajafika dau.
Nahisi naibiwa, nachanganyikiwa!