Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binamu hilo nalo neno. Yule sitam-PM mpaka nipate uhakika wa mahudhurio ya mpwa fidel.
MASANILO unavaa msuli? kwani una ule ugonjwa unaowapata watu wa pwani, adui yake na honi ya gari?
hahahaha!nasikia kale kaugonjwa kanaongezaga kionjo cha ziada kwenye mambo yenu yaleeeeee!Mpwa naona unaanza kwenda out of key. Hahaha! Nimecheka vibaya sana. Kama mpwa atakuwa nako hako kaugonjwa basi jamvi litakuwa limeenea.
Kale kadude ka senks kanaingia na kutoka. Labda jamaa zake nguli wameshaamka wanaanza visa.
kibajaji kitatia team na mtu full wide load hadi fidel mwenyewe anayependa wide load atafurahi😀Hahaha! Naimagine utakavyoingia na bajaji! hehehe!
MASANILO unavaa msuli? kwani una ule ugonjwa unaowapata watu wa pwani, adui yake na honi ya gari?
nasikia linasaidia sana katika kipindi cha kumpetti petti dem na kumtekenya!ai miini linapomgusa gusa maeneo ya ikulu😀Nasikia mabinti wanayapenda sana, Carmel yuko online atatufafanulia.
bado nasubiri serikali iniruhusuHahaha! Unamiliki bastola?
hehehehe nitake radhi, mimi si Zakumi sina kabisa yakhe hilo ni vazi la kimwambao napiga kanzu na koti juu!
hahaaa, unajua mi sijui bei ya bia, kwani sh ngapi, mi situmiagi bwana ndo maana nikaagiza jithi ya pipipilimimi nasubiri taska zangu sita kutoka kwa carmel!😀
Mwanagu lile dude noma nimekutumia picha ya GEOF naona umeipata.