Get tugedha ya wapwa na mabinamu wa mahusiano.

Get tugedha ya wapwa na mabinamu wa mahusiano.

Ushanitia kiu mgoja nisepe. So long zaidi ya 75% ya wapwa na mabinamu wameconfirm kushiriki, ngoja nikajipongeze japo na kandovu ka baridi. Usisahau kuja na dada akiwa ameshika red flowers.


kanywe ndovu kwa afya zao bana!sasa sijui hawa viumbe wamekupa namba zao?

maanake mimi sipendi kuona ndafu ninayemuandaa haishi kwasababu hawaji😀
 
hahahahahha, Xpin unajua kuna watu wakisema kidude cha thanks hawakioni, nilikuwa siwaelewi. sasa imenitokea kwa mara ya kwanza, siamini!

Mpwa nakutaka radhi ukurasa wa mbele wa gazeti la udaku, nadhani wataiweka hii badala ya habari za auntie exekiel na wema na hatmani! kwa hiyo supposedly utawahi mpwa?

Post zako inabidi nizisome kwa makini sana! Hahaha lakini nimekugongea thanks, rudi kaitazame.
 
hehehehehe!leo ijumaa bana kuna foleni kweli!lazima tuanzie breki-pointi mpaka tufike kibamba tumelewa kweli kweli

Nimesahau viatu vyangu kwa huyo dogo anayetembea akitafuta deal la kupiga rangi kwa wateja, mfupi mweusi ana maneno maneno sana,, ebu fanya fanya vitie kwneye buti mpwa! LOL....BP!
 
kanywe ndovu kwa afya zao bana!sasa sijui hawa viumbe wamekupa namba zao?

maanake mimi sipendi kuona ndafu ninayemuandaa haishi kwasababu hawaji😀

Niko nao sambamba. We mlete sista na maua yake mekundu. Mwambie meneja atuwekee jenereta inkesi TANESCO wakiamua kuingia kazini.
 
Nimesahau viatu vyangu kwa huyo dogo anayetembea akitafuta deal la kupiga rangi kwa wateja, mfupi mweusi ana maneno maneno sana,, ebu fanya fanya vitie kwneye buti mpwa! LOL....BP!

HAHAHAHAHA!naomba nikuvute chemba kudogo tuongee mzazi!nipe contacts
 
Niko nao sambamba. We mlete sista na maua yake mekundu. Mwambie meneja atuwekee jenereta inkesi TANESCO wakiamua kuingia kazini.

Wakati sisi tukipanga mikakati ya wk end yetu ya kihistoria msisahau dada kashaamka na ana hasira kweli...be careful.
 
Wakati sisi tukipanga mikakati ya wk end yetu ya kihistoria msisahau dada kashaamka na ana hasira kweli...be careful.

tumeshamwona na tumempa pole zake nyingi.
 
Niko nao sambamba. We mlete sista na maua yake mekundu. Mwambie meneja atuwekee jenereta inkesi TANESCO wakiamua kuingia kazini.

dada ako lazima atie timu!MASTI wanaita wenyewe
 
HAHAHAHAHA!naomba nikuvute chemba kudogo tuongee mzazi!nipe contacts

Hahaha! Wameokoa ndoa yako bwashee! Contacts zao ntampa sista hiyo sande ali ukimletea za kuleta awatwangie.
 
wapendwa na mie nitapiga nichonge na wooooote hapo sitapata nafasi ya kuwa mahali hapo ingawa natamani..next tiem mkiandaa labda nitakuwa mitaa hiyo
ila wish u all the best Carmel wasilisha mawazo yangu
 
Mi mnikabidhi kitengo cha vinywaji kesho msiwe na wasi wasi.
 
ole watu wakose vinywaji utajibu shutuma hii nzito

Hahahaha hawawezi kosa labda niwe nimezidisha % alcohol ila jamani wanao tumia Heiken na zile zingine zingine tafadhari kesho hazita ruhusiwa tutakuwa tunacheza na vinywaji vya hapa hapa Nyumbani vya kigeni NO.
 
Hahahaha hawawezi kosa labda niwe nimezidisha % alcohol ila jamani wanao tumia Heiken na zile zingine zingine tafadhari kesho hazita ruhusiwa tutakuwa tunacheza na vinywaji vya hapa hapa Nyumbani vya kigeni NO.

hahaha! Mpwa bana. Unakwepa gharama au unadumisha uzalendo?
 
Hahahaha hawawezi kosa labda niwe nimezidisha % alcohol ila jamani wanao tumia Heiken na zile zingine zingine tafadhari kesho hazita ruhusiwa tutakuwa tunacheza na vinywaji vya hapa hapa Nyumbani vya kigeni NO.
Usitusahau na sisi tunaotumia juice natural za nanasi,zikikosekana nitajua una visa na shemeji yako.
 
hahaha! Mpwa bana. Unakwepa gharama au unadumisha uzalendo?

Hahaha yeah nadumisha uzalendo mpwa lazima tutumie bidhaa zetu za nyumbani kwanza.


Usitusahau na sisi tunaotumia juice natural za nanasi,zikikosekana nitajua una visa na shemeji yako.

Yeah hizo zitakuwepo usiwe na shaka hata juice ya matikiti maji nayo itakuwepo kama kawa.
 
nyie hapo juu kwa pamoja mkifika kwenye geti tugeza yenu mnidipu nichonge na nyie
MRS firstlady1
 
Back
Top Bottom